Majina ya Kinyakyusa na maana zake, twenzetu hapa

Majina ya Kinyakyusa na maana zake, twenzetu hapa

MAJINA YA KINYAKYUSA NA MAANA YAKE.

LUSAKO. BAHATI
LUSAJO. BARAKA
LUGHANO. UPENDO
LUTENGANO. AMANI
LUSEKELO. FURAHA
LUSUBILO. TUMAINI
TUPOKIGWE. TUMEOKOLEWA
TUPOKE. TUOKOE
MPELI. MUUMBA
NTULI. MSAIDIZI
NTOLI. MSHINDI
MPOKI. MUOKOZI
MBUTOLWE. SHIDA
KISSA. HURUMA
ULIMBOKA. NIOKOE
ANDINDILILE. AMENILINDA
ASUMILE. ALIOMBA
ANGANILE. ANANIPENDA
ATUGANILE. ANATUPENDA
ATUFIGWEGE. ASIFIWE
ANYISISILE. AMENIJIA
AFWILILE. ALINIFIA
AHOBOKIILE. AMENISAMEHE
ASAJILE. AMENIBARIKI
ANYOSISYE. AMENIBATIZA
ANYELWISYE. AMENITAKASA
NDIMBUMI. NIPO UZIMANI
NDIMBWELU. NIPO KWENYE NURU
ATUPELE. AMETUPA
TUMPALE. TUMSIFU
NELUSIGWE. NIMEBATIZWA
NTUFYE. MSIFU
GWANTWA. MWANA/ MTU WA MUNGU
GWAKISA. MWENYE HURUMA
GWAMAKA. MWENYE NGUVU
GWANDUMI. MALAIKA
TISEKIILE. TUMEFURAHI
SEKELA FURAHI
IPYANA. HEKIMA
ATUPAKISYE. ANATUJALI
USWEGE. UNISAMEHE
ANDONGWISYE. AMENIONGOZA
AMBWENE. AMENIONA
GWALUGANO. MWENYE UPNDO
MJE MASO. MUWE MACHO
NEGWAKO. NI WAKO
ANDWELE. AMENILETA
ANDOBWISYE. AMENIVUSHA
TUSAJIGWE. TUMEBARIKIWA
LUTUFYO SIFA
ANGUMBWIKE. AMENIKUMBUKA
AMBILIKILE. AMENISIKILIZA
AMBINDWILE. AMENIBADILI
AMBELE. AMENIPA
AMANYISYE. AMENIFUNDISHA
AMULIKE. AMENIANGAZA
LUMULI NURU
LUBATIKO. UTARATIBU
SUBILAGA. TUMAINIA
ANGETILE. AMENITAZAMA
ANDONDILE AMENITAFUTA
ANGANILE. ANANIPENDA
ANGOLWISYE. AMENINYOSHA
ANDOGWISYE. AMENIONGOZA
NSAJIGWA MBARIKIWA
NKUNDWE. MPENDWA.

HAYA NI BAADHI YA MAJINA YA KINYAKYUSA NA MAANA YAKE, ASILIMIA KUBWA YA MAJINA HAYA YAMEBEBA SIFA NA UTUKUFU WA MUNGU, PENDA MAJINA YA ASILI YAKO USIWE MTUMWA WA MILELE.

ULIZA JINA UNALOLIJUA LAKINI HUJALIONA HAPO WANAOFAHAMU MAANA YAKE WATAKUJA KUKUJIBU.

NAKUTAKIA SIKU NJEMA MTU WA MUNGU
TUSEKIILE. TUMEFURAHI
 
Sawa mkuu naomba kufahamu maana ya majina haya vilevile: Asukile,Mwakibinga,Mwakasege na Mwabulambo.

Mwakibinga,Mwakasege na Mwabulambo

Kiasili majina ya pili ya wanyakyusya ni tofauti sana na taratibu za kizungu.

Wanyakyusya hawarithi majina ya baba zao, wanaume wanarithi majina ya mashangazi, wana wanawake wanarithi majina wa mabibi zao upande wa baba. Tofauti tu ni kwamba wanaume wanawekewa "mwa" mbele ya hilo jina. Kwahiyo kama wewe ni mwanaume na dada yako anaitwa Ms Jane Kalinga, watoto zako wa kiume wataitwa Mr John Mwakalinga. Na kama mama yao alikuwa anaitwa Ms Anna Bulambo, basi watoto zako wa kike wataitwa Ms Amina Bulambo(bibi).

Na kwasababu wewe kama baba ulipata jina kwa shangazi yako sio ajabu kukuta baba surname anaitwa MwaAbc, mtoto wa kiume anaitwa surname MwaXyz na binti yako anaitwa surname anaitwa egh. Sema siku hizi watu hawafuati hizi taratibu, ndio unakuta Baba, Kijana wake wa kiume na wa kike wana surname zinafanana.

Kwanini waliweka utaratibu huo, nimewahi ambiwa kuwa hawakutaka majina ya watoto wao wa kike yapotee. Na ukiangalia, ni majina ya kiume ndio yanapotea, ya wa kike kwenye familia yanabebwa either ya watoto wa kiume(shangazi) au wa kike (bibi).
 
T
MAJINA YA KINYAKYUSA NA MAANA YAKE.

LUSAKO. BAHATI
LUSAJO. BARAKA
LUGHANO. UPENDO
LUTENGANO. AMANI
LUSEKELO. FURAHA
LUSUBILO. TUMAINI
TUPOKIGWE. TUMEOKOLEWA
TUPOKE. TUOKOE
MPELI. MUUMBA
NTULI. MSAIDIZI
NTOLI. MSHINDI
MPOKI. MUOKOZI
MBUTOLWE. SHIDA
KISSA. HURUMA
ULIMBOKA. NIOKOE
ANDINDILILE. AMENILINDA
ASUMILE. ALIOMBA
ANGANILE. ANANIPENDA
ATUGANILE. ANATUPENDA
ATUFIGWEGE. ASIFIWE
ANYISISILE. AMENIJIA
AFWILILE. ALINIFIA
AHOBOKIILE. AMENISAMEHE
ASAJILE. AMENIBARIKI
ANYOSISYE. AMENIBATIZA
ANYELWISYE. AMENITAKASA
NDIMBUMI. NIPO UZIMANI
NDIMBWELU. NIPO KWENYE NURU
ATUPELE. AMETUPA
TUMPALE. TUMSIFU
NELUSIGWE. NIMEBATIZWA
NTUFYE. MSIFU
GWANTWA. MWANA/ MTU WA MUNGU
GWAKISA. MWENYE HURUMA
GWAMAKA. MWENYE NGUVU
GWANDUMI. MALAIKA
TISEKIILE. TUMEFURAHI
SEKELA FURAHI
IPYANA. HEKIMA
ATUPAKISYE. ANATUJALI
USWEGE. UNISAMEHE
ANDONGWISYE. AMENIONGOZA
AMBWENE. AMENIONA
GWALUGANO. MWENYE UPNDO
MJE MASO. MUWE MACHO
NEGWAKO. NI WAKO
ANDWELE. AMENILETA
ANDOBWISYE. AMENIVUSHA
TUSAJIGWE. TUMEBARIKIWA
LUTUFYO SIFA
ANGUMBWIKE. AMENIKUMBUKA
AMBILIKILE. AMENISIKILIZA
AMBINDWILE. AMENIBADILI
AMBELE. AMENIPA
AMANYISYE. AMENIFUNDISHA
AMULIKE. AMENIANGAZA
LUMULI NURU
LUBATIKO. UTARATIBU
SUBILAGA. TUMAINIA
ANGETILE. AMENITAZAMA
ANDONDILE AMENITAFUTA
ANGANILE. ANANIPENDA
ANGOLWISYE. AMENINYOSHA
ANDOGWISYE. AMENIONGOZA
NSAJIGWA MBARIKIWA
NKUNDWE. MPENDWA.

HAYA NI BAADHI YA MAJINA YA KINYAKYUSA NA MAANA YAKE, ASILIMIA KUBWA YA MAJINA HAYA YAMEBEBA SIFA NA UTUKUFU WA MUNGU, PENDA MAJINA YA ASILI YAKO USIWE MTUMWA WA MILELE.

ULIZA JINA UNALOLIJUA LAKINI HUJALIONA HAPO WANAOFAHAMU MAANA YAKE WATAKUJA KUKUJIBU.

NAKUTAKIA SIKU NJEMA MTU WA MUNGU
Tuletee na ya akina mangi bana
 
Mwakibinga,Mwakasege na Mwabulambo

Kiasili majina ya pili ya wanyakyusya ni tofauti sana na taratibu za kizungu.

Wanyakyusya hawarithi majina ya baba zao, wanaume wanarithi majina ya mashangazi, wana wanawake wanarithi majina wa mabibi zao upande wa baba. Tofauti tu ni kwamba wanaume wanawekewa "mwa" mbele ya hilo jina. Kwahiyo kama wewe ni mwanaume na dada yako anaitwa Ms Jane Kalinga, watoto zako wa kiume wataitwa Mr John Mwakalinga. Na kama mama yao alikuwa anaitwa Ms Anna Bulambo, basi watoto zako wa kike wataitwa Ms Amina Bulambo(bibi).

Na kwasababu wewe kama baba ulipata jina kwa shangazi yako sio ajabu kukuta baba surname anaitwa MwaAbc, mtoto wa kiume anaitwa surname MwaXyz na binti yako anaitwa surname anaitwa egh. Sema siku hizi watu hawafuati hizi taratibu, ndio unakuta Baba, Kijana wake wa kiume na wa kike wana surname zinafanana.

Kwanini waliweka utaratibu huo, nimewahi ambiwa kuwa hawakutaka majina ya watoto wao wa kike yapotee. Na ukiangalia, ni majina ya kiume ndio yanapotea, ya wa kike kwenye familia yanabebwa either ya watoto wa kiume(shangazi) au wa kike (bibi).
kwa hili nimeelewa utamaduni mzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom