The Hot Crystapen
Member
- Apr 26, 2019
- 47
- 80
-Kuna msukuma fulani nae anaitwa John
-Kuna hili la "Baltazary" wachaga wanalipenda sana pia
-Kuna hili la "Baltazary" wachaga wanalipenda sana pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Melchior-Kuna msukuma fulani nae anaitwa John
-Kuna hili la "Baltazary" wachaga wanalipenda sana pia
Jina kuu la waPemba ni "Makame"18. Wapemba na Seif/Said/Saleh/Salum/Ali /Ahmed
Ukiwakuta wapemba 10 hamna mwenye jina mojawapo hapo nakupa hela
19. Wagogo na Samwel/Elias
Juma, HAMISi, Asha, Maria, Susana, Raheli, Naomi, James, ZABRONI, Abudala, Shaban hayo ni baadhi tu ya Majina yanayotumiwa usukumani bila mipaka ya udini yaani awe mkiristo, mwislamu , mpagani, mchunga ng'ombe nk wanatumiaDah, kwa wasukuma umepatia kweli hayo majina [emoji2][emoji2][emoji2].
Mimi ilinipa shida sana kujua kuhusu majina ya Juma na Hamisi.
Pia umesahau jina la Juma_ kwa wasukuma.
Kweli kabisa ulichokisema!Juma, HAMISi, Asha, Maria, Susana, Raheli, Naomi, James, ZABRONI, Abudala, Shaban hayo ni baadhi tu ya Majina yanayotumiwa usukumani bila mipaka ya udini yaani awe mkiristo, mwislamu , mpagani, mchunga ng'ombe nk wanatumia
hayo ni majina pendwa ukanda wa Pwani wote kwa ujumla wale Kuanzia Tanga, Pemba, Mafia, DSM, Mtwara, Lindi na baadhi ya Maeneo kama Morogoro, Kilosa, Kondoa na baadhi ya maeneo ya Tabora!18. Wapemba na Seif/Said/Saleh/Salum/Ali /Ahmed
Ukiwakuta wapemba 10 hamna mwenye jina mojawapo hapo nakupa hela
19. Wagogo na Samwel/Elias
Wanyamwezi: Mrisho
Sisi huku kwetu kuna akina msambatavangu, mfalamagoha,ngalalelokumtwa.....Kamwene wahehe