Majina ya Kizungu na Kiarabu ambayo yamekuwa "Africanized" na kupata hadhi ya kuwa majina ya Kiafrika

Majina ya Kizungu na Kiarabu ambayo yamekuwa "Africanized" na kupata hadhi ya kuwa majina ya Kiafrika

Aisee namba 7 hujakosea kabisaaa....Remigius, Eliphius, Ruticus, Speratus[emoji23][emoji23]sijui kuna siri gani na hayo majina
 
Yapo majina ya kizungu na kiarabu ambayo yanatumiwa na kuhusudiwa sana na baadhi ya makabila ya kitanzania kiasi kwamba sasa yanaonekana kama ni majina ya makabila hayo.

Baadhi ya majina hayo ni pamoja na :
1. John : Wasukuma. Wasukuma wanalipenda sana hili jina. Ukikutana na mtanzania anaeitwa John basi most of the time atakuwa ni msukuma. Akina " John Msukuma" wapo wengi sana mitaani.


2. Erasto :Wachaga ; Unaweza kudhani Erasto ni jina la kichaga kwa namna ambavyo wachaga wanalipenda jina hili.


3. Raphael: Wachaga:Uchagani kuna hadi " ukoo wa Raphael "if am not mistaken.


4. Bilal : Waha

5. Cyprian : Wajita

6. Wlibroad : Wambulu/ Wairaq.

7. Respicius na majina yote yanayoishia na " us " : Wahaya.

8. Feisal: Wapemba.

9. Anzuruni : Waha.

10: Rasul : Waha.

11. Fatuma : Waha.

12. Hamisi : Wasukuma ( Hili jina wasukuma wanalitumia wote wakristo kwa waislamu )

13. Shabani: Wasukuma ( wanalitumia wakristo kwa waislamu )

14. Veronika : Wasukuma.

15. Rahel ( Not Rachel ): Wasukuma.

16. Rhoda : Wasukuma.

17.Ruthu : Wasukuma.
18.
19.
20.

10000.
Mkuu sijakuelewa una maana jina la John kama limependwa sana na Wasukuma leo linaonekana kama jina la Kisukuma???!!! Au Raphael linaonekana jina la Kichaga??!!! Sijajua mantiki ya uzi huu ni nini haswa!!!!! Unataka kusema nini Mkuu inawezekana una hoja ya maana sana lakini imefichika.
 
Aisee namba 7 hujakosea kabisaaa....Remigius, Eliphius, Ruticus, Speratus[emoji23][emoji23]sijui kuna siri gani na hayo majina
Liberatus, Renatus, Benatus,Methodus.
 
Abdalla/ Dulla usukumani wapo kibao tena wengine si waislam wala wakristu hata,au wakristu wengi tu wanaitwa hivyo pamoja na Selemani, Ibrahim/IBRA, Hamza usukumani yanatumika kama majina ya kilugha tu sijui walitoka wapi na hayo majina
kuna kabila linapenda kutumia jina la Abdi huwezi kuwakuta 5 bila kukosa jina la Abdi
 
Aisee namba 7 hujakosea kabisaaa....Remigius, Eliphius, Ruticus, Speratus[emoji23][emoji23]sijui kuna siri gani na hayo majina
Hapa mkuu umenikumbusha yule mwanafunzi "Sperius Eradius" na mwl wake "Respicius Mutazangira"....... Sijui wahaya wana nn kwenye haya majina asee
 
Msimbe,Kibena,Bang'ala,Mkude,Mwenda,.Bora waluguru hawataki gozi gozi.
 
Yapo majina ya kizungu na kiarabu ambayo yanatumiwa na kuhusudiwa sana na baadhi ya makabila ya kitanzania kiasi kwamba sasa yanaonekana kama ni majina ya makabila hayo.

Baadhi ya majina hayo ni pamoja na :
1. John : Wasukuma. Wasukuma wanalipenda sana hili jina. Ukikutana na mtanzania anaeitwa John basi most of the time atakuwa ni msukuma. Akina " John Msukuma" wapo wengi sana mitaani.


2. Erasto :Wachaga ; Unaweza kudhani Erasto ni jina la kichaga kwa namna ambavyo wachaga wanalipenda jina hili.


3. Raphael: Wachaga:Uchagani kuna hadi " ukoo wa Raphael "if am not mistaken.


4. Bilal : Waha

5. Cyprian : Wajita

6. Wlibroad : Wambulu/ Wairaq.

7. Respicius na majina yote yanayoishia na " us " : Wahaya.

8. Feisal: Wapemba.

9. Anzuruni : Waha.

10: Rasul : Waha.

11. Fatuma : Waha.

12. Hamisi : Wasukuma ( Hili jina wasukuma wanalitumia wote wakristo kwa waislamu )

13. Shabani: Wasukuma ( wanalitumia wakristo kwa waislamu )

14. Veronika : Wasukuma.

15. Rahel ( Not Rachel ): Wasukuma.

16. Rhoda : Wasukuma.

17.Ruthu : Wasukuma.
18.
19.
20.

10000.

Huu uzi umewagusa wanangu kama watatu basi nikasema inatosha huu uzi upitishwe
 
Back
Top Bottom