Huwa napata mtihani sana kwani kituo changu cha daladala kinaitwa SAMAKI kiko hapa Mbezi Beach
Mara nyingi tukikaribia kufika utasikia konda anauliza Samaki wapo?
Dah, napata mtihani sana kusema TUPO...... (maana infwakiti mimi sio samaki ni mtu) BAHATI MBAYA ABIRIA WENGINE ILI ASIPITISHWE UTASIKIA SHUSHA SAMAKI
Je unajua kituo gani kingine ambacho ni "mtihani"?
Shinyanga kuna kijiji kinaitwa kagongwa lakini ina vituo viwili ndani yake,kagongwa mbele na kagongwa nyuma.......
umenikumbusha baada ya Igunga kuna kitua kinatwa Choma halafu Ziba kwa mbele yakemkuu umeua.
hahahaaaa haaaa mama johniiiii shusha!!!! Hadi wababa wanashuka sijui nao ni wamama john??????
Matombo
Nyegezi
Makunduchi
unajua nami nimecheka,nahis hata uzi ameuandikia kwenye daladala,mkuranga kuna kituo kinaitwa MKOROSHOKIGOLIMkuu nimecheka sana
njia ileile kuna kwa mti mkavu na pia kuna kwa mchumia juaniDodoma: kituo kinaitwa wajenzi. Basi konda anauliza "wajenzi wapo?", raia wanaoshuka utawasikia tupo; hata kama wao ni manesi, walimu, wazururaji n.k.Dar: kituo kinaitwa madukani. Basi konda anauliza, "maduka mpo?" raia utawasikia tupo!!Dar: kituo kinaitwa manyanya. Konda anauliza, "manyanya mpo?", raia wanaoshuka, utawasikia, tupo!! Hivi itakuwaje pale muisrael atapotumia daladala kwenda kwa mwenyeji wake anayekaa Sinza Palestina?!? Ishu itakuwa balaa pale konda atakapouliza raia, Palestina hamshuki? Muisrael atasema shusha Palestina kweli?!
mwananyamala kuna kituo kinaitwa KWA MAMA ZAKARIA[color]utaskia konda anaita kwa mama.....Mama zakaria mpo???Dodoma: kituo kinaitwa wajenzi. Basi konda anauliza "wajenzi wapo?", raia wanaoshuka utawasikia tupo; hata kama wao ni manesi, walimu, wazururaji n.k.Dar: kituo kinaitwa madukani. Basi konda anauliza, "maduka mpo?" raia utawasikia tupo!!Dar: kituo kinaitwa manyanya. Konda anauliza, "manyanya mpo?", raia wanaoshuka, utawasikia, tupo!! Hivi itakuwaje pale muisrael atapotumia daladala kwenda kwa mwenyeji wake anayekaa Sinza Palestina?!? Ishu itakuwa balaa pale konda atakapouliza raia, Palestina hamshuki? Muisrael atasema shusha Palestina kweli?!