Majina ya vituo vya daladala sehemu mbalimbali

Majina ya vituo vya daladala sehemu mbalimbali

Maji chumvi,Kwa bibi,Migombani,Kwa Swai,TABATA hivyo!
 
Tarehe 23 nilipanda daladala ya kwenda msasani, pale Sinza kijiweni kupitia barabara ya uzuri, tulivofika kwa mtogole konda akatanga wakushaka "mahakama ya simu" wapo wakushuka. hii ilinacha mdomo wazi kwa mshangao, lakini konda aliniacha na mshao zaidi tulipofika pale makaburini. Alipotazanga oyaa "mwisho wa nyodo" wapo wakushuka, hii ilifanya nijiulize makonda wote wanaita majina hayo, na abiria wanayajua majina hayo.
 
Ni swaga za zamani mno. Ubunifu tu. Kuna kituo ulikipita uzuri sinza kinaitwa popobawa....makonda wanakiita kwashemeji...na watu wanapiga chini
 
Ni swaga za zamani mno. Ubunifu tu. Kuna kituo ulikipita uzuri sinza kinaitwa popobawa....makonda wanakiita kwashemeji...na watu wanapiga chini

duh! sasa kama ndo mgeni alafu katajiwa kituo husika cha kushuka si anapotea?
 
da inachekesha pia kuna kituo huko huko kinaitwa kwa bibi nyau nilimuuliza kwanini jina hilo akaniambia kuna bibi anaishi na paka wengi ya minyau da nikabaki nacheka
 
Ni swaga za zamani mno. Ubunifu tu. Kuna kituo ulikipita uzuri sinza kinaitwa popobawa....makonda wanakiita kwashemeji...na watu wanapiga chini



Sio swaga Mkuu
zinaitwa Old School.
 
da inachekesha pia kuna kituo huko huko kinaitwa kwa bibi nyau nilimuuliza kwanini jina hilo akaniambia kuna bibi anaishi na paka wengi ya minyau da nikabaki nacheka
Siku hizi kwa marehemu bi nyau, wakati wa uhai wake niliona picha yake mtandaoni, akiwa na paka wake kati wa tano ama sita hivi.
 
Back
Top Bottom