Majina ya wanafunzi walio chaguliwa kujiunga na vyuo vya ualimu 2014/2015

Majina ya wanafunzi walio chaguliwa kujiunga na vyuo vya ualimu 2014/2015

Status
Not open for further replies.
Mkuu punguza jazba, kuhusu butimba wanafunz waliopelekwa kusoma michezo maana yake wanasoma na somo moja la kufundisha shuleni, mkuu muda si mrefu ---- wanafunz 345 wa mafunzo maalum rekebishi walipelekwa monduli so its over, kuhusu vyuo hivyo vingine ulvyotaja sijui.
Kumbuka watu maweomba kusoma diploma ya elimu wamepangwa Advanced diploma ya elimu ambayo ni sawa na degree ya elimu mkuu upo hapo!
Sikukatishi tamaa ila nakupa moyo ili uwe na moyo positive ndugu yangu na huo ndo ukweli

Huo ni ukweli wako mtu mzima, mafunzo ya ualimu rekebeshi kwa walioendaga monduli lengo ilikua ni kupewa mafunzo maalumu ili wapate sifa za kuendelea na advanced diploma, ndio mana kama ulifuatilia vizuri wachaguliwa walikua na principal moja moja kwenye combination na hata wengine kuwa s~flat. so mi cwez kukuamini kabisa boss
 
Kumbe ualimu ni dili au mlofeli ndo mwachachawa kutoona majina yenu?
 
Ni bora ufahamu ukweli ndugu yangu ili ujipange mapema.
Ndugu yangu, selection ya vyuo vya serikali ndo imetoka hivyo labda kama kuna wanafunz wa akiba, lkn ukiangalia utaona vyuo vyote wamepangwa wanafunz, m ---- madogo nlkuw nawachek n 4m 4 wamepangwa diploma ya awali na kuna m1 n 4m 6 kapangwa Advanced diploma, ni vyuo vyote vya umma wamepeleka watu na utafahamu hilo kama unaangilia kwa kutumia computer coz inakuw simple kuona kila kitu mpk vyuo mkuu,
Pole sana ila kama uliomba na Udom ile programme mpya poa.

Kwan walochaguliwa waliapply online?
 
Kumbe ualimu ni dili au mlofeli ndo mwachachawa kutoona majina yenu?

na wewe toa kimeta chako, walofeli wana division one~division three advanced level. Tuliaply advanced diploma ili tuingie kwenye system mapema, pia sababu nyingine kulegalega kwa bodi ya mikopo kushindwa kufadhili wanafunzi wote wa elimu ya juu, usituone tumefeli kimeta unakosea! mi uhakika ninao hauja nishinda matokeo ya form six wewe kelele tu kwenye mtandao
 
Vp kuhusu wale wa certificate?

sijajua kuhusu walioomba certificate ndugu yangu. Mimi kuna dogo fulani wa jiran aliomba kusoma ile advance + education tena alchagua CBE (Chemistry, biology na Education) lkn cha kushangaza wamempeleka diploma ya awali.
 
sijajua kuhusu walioomba certificate ndugu yangu. Mimi kuna dogo fulani wa jiran aliomba kusoma ile advance + education tena alchagua CBE (Chemistry, biology na Education) lkn cha kushangaza wamempeleka diploma ya awali.

Alituma online au manually?
 
Huo ni ukweli wako mtu mzima, mafunzo ya ualimu rekebeshi kwa walioendaga monduli lengo ilikua ni kupewa mafunzo maalumu ili wapate sifa za kuendelea na advanced diploma, ndio mana kama ulifuatilia vizuri wachaguliwa walikua na principal moja moja kwenye combination na hata wengine kuwa s~flat. so mi cwez kukuamini kabisa boss

Ndugu yangu SOCIETY'S FOCUS, ukweli unauma lkn n bora ujue ukweli, muda utafika utakubali tu mkuu.
 
Kuwa mkweli, chuo gani cha umma hakijatoa majina?
Ukweli unauma lkn wametoa vyuo vyote vya serikali, 4m six wamepangwa Advanced diploma na 4m 4 diploma ya awali na wengine diploma ya elimu ya msingi.
Ambayo hawajatoa niya Udom tu lkn ya vyuo vya umma yametoka nani vyuo vyote uvijuavyo labda kama kuna idadi nyingine ya wanafunzi ktk vyuo husika.

chuo cha KASULU hakijatoa majina ww ucbshe ovyo
 
Habarri yenu tena wadau wa blog hii
pendwa ya MASWAYETU EXCLUSIVE
BLOG LEO TENA TUMEWALETEA
majina ya wanafunzi waliochaguliwa
vyuo vya ualimu mwaka wa masomo
2014/2015 .
Kama ilivyo kawaida yetu tutatoa
huduma ya kuangalizia majina kwa
wale wote mtakao hitaji huduma
yetu,ili kuangaliziwa jina lako fanya
yafuatayo:
1.Tuma jina lako na shule
uliyomalizia.
2.Tuma tsh.800 kwa mpesa kama
huna mpesa tuma kwa salio kwenda
namba 0768260834.(pesa ya
huduma)
3.Hatutajibu mtu ambaye hatatuma
pesa.
4.Kama unatumia tigo,airtel au zantel
tafadhali tafuta mtu mwenye voda
utume pesa hiyo hatupokei vocha
number.
5.Utajibiwa mda mfupi mara tu
utakapotuma pesa yako.
6.endapo utamtumia namba hii
mwenzako mwambie atume pesa ndo
atajibiwa.
USIPIGE SIMU TAFADHALI
HATUTAPOKEA SIMU YA MTU
YOYOTE


Nime copy hivyo kwa kuwa link zilizowekwa hazifunguki kule nacte na hata kwa blog hii ya maswayetu.
Jaribu hiyo njia nyingine ya kulipia
 
chuo cha KASULU hakijatoa majina ww ucbshe ovyo
Ok, upo sawa lkn umeshajiuliza kwann mwaka huu vyuo mfano: korogwe na klerruu vimebadilishwa kuacha kutoa Ordinary diploma ya elimu na kuanza kutoa Advanced diploma ya elimu? Na kama ujuavyo Advanced diploma ya elimu ni sawa na degree ya elimu hamna utofauti ushajiuliza hilo? Why vyuo vya vingine mfano: tarime klkuw kinatoa diploma ya elimu ya sekondari kwa sasa kimepangwa kutoa diploma ya elimu ya awali + diploma ya elimu ya shule za msingi.
Hali imebadilika sana hivyo ni bora ujipange kutuma vyuo vingine ili ata kama ukikosa kasulu ujue unaibukia wapi lkn kusubilia wth all confidence itakucost, nchi yetu kila kitu siasa we fikiria kwa sasa chuo mfano korogwe kinavyotoa Advanced diploma kinakuwa sawa na mkwawa university au DUCE coz Advanced diploma is equivalent to degree, au hilo nalo unabisha? Ukishindwa kuona kwa macho papasa kwa mikono utapata majibu.
Tambua m sikukatishi tamaa bali nakupa uelewa wa hali inavyoenda, ikitokea chuo cha kasulu wakaletwa watu ndio neema yenu lkn tena huwezi jua watapelekwa watu wa sifa zipi kulingana na upangaji wa vyuo na mazomo ulivyobadilishwa kimyakimya ndugu yangu. Usikate tamaa.
All in all, I wish u all ze best
 
Hivi siyo utapeli huu jamani? Kwanini hiyo link ya Nacte isifunguke?
 
Habarri yenu tena wadau wa blog hii
pendwa ya MASWAYETU EXCLUSIVE
BLOG LEO TENA TUMEWALETEA
majina ya wanafunzi waliochaguliwa
vyuo vya ualimu mwaka wa masomo
2014/2015 .
Kama ilivyo kawaida yetu tutatoa
huduma ya kuangalizia majina kwa
wale wote mtakao hitaji huduma
yetu,ili kuangaliziwa jina lako fanya
yafuatayo:
1.Tuma jina lako na shule
uliyomalizia.
2.Tuma tsh.800 kwa mpesa kama
huna mpesa tuma kwa salio kwenda
namba 0768260834.(pesa ya
huduma)
3.Hatutajibu mtu ambaye hatatuma
pesa.
4.Kama unatumia tigo,airtel au zantel
tafadhali tafuta mtu mwenye voda
utume pesa hiyo hatupokei vocha
number.
5.Utajibiwa mda mfupi mara tu
utakapotuma pesa yako.
6.endapo utamtumia namba hii
mwenzako mwambie atume pesa ndo
atajibiwa.
USIPIGE SIMU TAFADHALI
HATUTAPOKEA SIMU YA MTU
YOYOTE


Nime copy hivyo kwa kuwa link zilizowekwa hazifunguki kule nacte na hata kwa blog hii ya maswayetu.
Jaribu hiyo njia nyingine ya kulipia

AAAAAAAAAAA CHAAAAAAAAA. mmmmhmmhhhhhh huo uongo sasa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom