Majina yangu 10 yanayofaa Nafasi ya Msemaji Mkuu wa Serikali

baruan muhunza yule jamaa ni hatari
 
KiGEZO ni masyers degree,kikeke ana diploma tu
 
Umewasahau wale wadada wawili wa itv, na ivona wa azam tv
 
Kwani ofisi ya msemaji wa serikali haina watu ambao wanastahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…