Majirani na 'misplaced priorities': Hiki ni kituo cha polisi Muhange, maeneo ya Kigoma

Majirani na 'misplaced priorities': Hiki ni kituo cha polisi Muhange, maeneo ya Kigoma

Buda, mnakumbuka mlipokuwa mnaisambaza mitandaoni ile picha ya shule ya huko kenya iliyokuwa imejaa maji huku wanafunzi wamekaa kwenye mawe alafu mkaja kuumbuliwa[emoji50][emoji50][emoji50]
Sasa lete source ya picha ilipotoka either link, au video kama huna shut up [emoji23][emoji23][emoji23]
Buda sina chama lakini sipendagi ujinga.
harisha ugoro wote wa kijani leo ila kituo cha polisi cha matope hakiwezi kubadilika na kuwa cha tofali kwa kuimba mapambio ya kusifu na kuabudu.
 
Huna fact zaidi ya kuokota okota tu ujinga humu [emoji23][emoji23][emoji23]
harisha ugoro wote wa kijani leo ila kituo cha polisi cha matope hakiwezi kubadilika na kuwa cha tofali kwa kuimba mapambio ya kusifu na kuabudu.
 
Na hapa wapi Mkuu? Kwa Jirani?
View attachment 1213518
Hahaa! 😀 Kibao chenyewe kinakuambia mengi. Kwamba hawa ni watu ambao wamejipanga, ukiona kibao mtu huwa anatafuta 'arrow' kisha unaendelea na safari yako kulingana na sehemu ambayo inaashiria. Liboi Police Station ndio hii hapa.
images
Hizi ndio rangi rasmi za vituo vya Kenya Police.
 
Unategemea nini kama polisi wenyewe ndio wanapiga siasa za chama, hebu cheki hii video
Hii ni hatari! Wakenya tushukuru Mungu kwamba katiba mpya ilileta vitu kama IPOA(Independent Police Oversight Authority) taasisi huru la ku'police the police'. La sivyo vitu kama hivi vingekuwa vinatukwaza sana. Siku hizi polisi wana uoga wa kufanya uhuni kwasababu wanajua wapo kwenye darubini la IPOA.
 
fb_img_1555688348319-jpg.1075826
Majirani zetu kutoka 'dona kantri', mnahitajika hapa kwa dharula. Hii nayo imepitiliza, ukizingatia zile mbwembwe zenu za 'tunajenga kwa hela zetu'. Sijui tutaiitaje hii, hali mbovu ya mazingira ya kazi na huduma msingi kwa wananchi au ni utepetevu na ujeuri tu wa viongozi? Mbaya zaidi ni kwamba hawa ni watumishi wa umma ambao wapo karibu sana na chama tawala. Nimezoea kuona 'barracks' mbovu za polisi kutoka kwa nchi mbali mbali za Afrika. Ama 'police posts' ambazo huwa ni temporary wakati wa vurugu na ukosefu wa usalama. Ila kituo cha polisi, kama hiki, ambacho ndio sura ya serikali ni aibu kubwa. Sio kwa nchi ya Tz pekee yake, bali ni kwa ukanda huu wote na bara hili la Afrika kwa ujumla. Huu wimbo hapa, Run away- Gentleman, una ujumbe kuntu sana, kwenu nyinyi wanakwaya kwenye jukwaa hili. How long you a go run away, from yourself.

joto la jiwe SI hapa mshukiwa akiwekwa ndani kazi Ni kukojolea ukuta Hadi akatoroka 😂😂😂😂
 
Polisi Kenya hawalazimishwi kuishi kwenye 'barracks' ama police lines. Alafu wote wanapata house allowance, k.m polisi kwenye level za chini, kama police constables, wanapata house allowance ya KES 19,500 kila mwezi. Hiyo ni house allowance tu, sio mshahara.
Sasa ikawaje wakakaa humo mzee? [emoji23] [emoji23]
 
Namuambia anipe source aliko otoa hizo picha hataki [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimefuatilia hizo picha ni za miaka iliyopita
Meanwhile kibera bado ipo hivo hivo flying toilets .
Nchi iliyo sawa kimaendeleao na USA hiyo [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Namuambia anipe source aliko otoa hizo picha hataki [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimefuatilia hizo picha ni za miaka iliyopita
Meanwhile kibera bado ipo hivo hivo flying toilets .
Jombaa, hiyo picha ya kwanza kwenye mada ni ya hivi majuzi tu, hiyo ya pili ndio ya zamani kidogo. Wakati udongo bado upo fresh. [emoji1]
 
Nakusubiri uthibishe nikuumbue hapa ili ujue sio kila mtu ni mbumbumbu [emoji23][emoji23][emoji23]
Umesema picha ni za juzi ukimaanisha zimepigwa juzi.


Ma CCM kazi kupinga hata Ebola wanapinga kuwa haipo Tz.
 
Ndugu yako kasema hapo juu hizo pic ni za juzi [emoji23][emoji23][emoji23]
Nasubiri aseme zii nimletee hadi tarehe ambayo hizo picha zilipakiwa Mtandaoni na pia hadi sehemu alikotoa hizo picha yeye akazileta humu, wewe kaa kando tupishe kwanza.
Tuletee za sasa wewe unayepinga..
 
Back
Top Bottom