eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana!Wololo yaye. Hii umasikini ya Watanzania inatisha.
Soma comment number 13. Jibu lako liko hapo. Amepost picha nzima ya hicho kipolice post. Kina sura mbaya kama makalio ya nyani.Jaribu kua unasoma comment na kuzielewa kwanza kabla hujaamua kureply,hakuna sehemu yeyote niliyosema kua hiyo picha ni edited,mimi nimekuuliza wewe kua umethibitisha kua hiyo picha sio edited? au lugha ya Kiswahili kwako ni tatizo?
Mbona inakuwasha kwamba mapungufu yenu yanawekwa wazi?N
Naona akili yako ulikua umeshaikoki kubishana toka mwanzo tu! hakuna aliyebisha bali uliulizwa kua umethibitisha picha sio edited? ungejibu toka mwanzo ungepungukiwa na nini? au ulikua huna jibu ndio umelipata sasa hivi baada ya kuhangaika kulitafuta?
usipanic.
picha inaonyesha kabisa askari wa tanzania mbele ya kituo cha matope alafu wewe unajitekenya na kujichekesha mwenyewe.
Ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia hapo?Mbona inakuwasha kwamba mapungufu yenu yanawekwa wazi?
Yaonyesha hicho kituo anakifahamu..ndio manake kasema hyo pich asi ya karne hii...
Si ajabu ccm imeshatekeleza mradi hko kukajengwa kituo kingine bomba...
Muulize vizuri...huenda ukafaidika kuiona hyo pich ya karne ya sasa ya hicho kituo
Jibu swali.Ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia hapo?
Unapokua mjinga jaribu kukaa kimya ili kuficha ujinga wako,Soma comment number 13. Jibu lako liko hapo. Amepost picha nzima ya hicho kipolice post. Kina sura mbaya kama makalio ya nyani.
alete picha ya karne hii tuone hicho kituo bomba chenye jina hilo.
mataga wanapenda kutaga popote tu bila kujizuiya.
wewe leta picha ya leo ya hicho kituo.Nilimwambie alete alipotoa hiyo picha tuone picha ni ya lini, matokeo yake analeta picha bila source yoyote.
Naona una hasira ni kama unapitia hedhi sasa hivi.Unapokua mjinga jaribu kukaa kimya ili kuficha ujinga wako,
Swali langu niliuliza likiwa kwenye comment number 2 halafu wewe unaniambia nisome jibu kwenye post number 13
Hivi kwa akili yako unaona kua umeuliza swali? mbona unakua na akili nzito kiasi hicho?Jibu swali.
Kwahiyo ndio umeamua kutujuza kua umetoka kupitia hedhi sasa hivi? maana kwa kawaida mtu hukiwaza kile akifanyacho na hujiaminisha kua na wengine wanafanya kama yeye.Naona una hasira ni kama unapitia hedhi sasa hivi.
Duuh! Jamaa wanaishi maisha magumu!Thibitisha kuwa hicho ni kituo cha polisi,
Sio kuokota okota picha,
Meanwhile nyumba za polisi kenya [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1213236View attachment 1213237View attachment 1213238
Wewe unapenda majibizano. Hiyo sio tabia ya wanaume kamili.Kwahiyo ndio umeamua kutujuza kua umetoka kupitia hedhi sasa hivi? maana kwa kawaida mtu hukiwaza kile akifanyacho na hujiaminisha kua na wengine wanafanya kama yeye.
wewe leta picha ya leo ya hicho kituo.
Duuh! Jamaa wanaishi maisha magumu!
hapa kwenye hii thread ndiyo source na ndiyo zimepostiwa kwa mara ya kwanza hapa.Leteni source sehemu Hizo picha zilikopostiwa.