Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
harisha ugoro wote wa kijani leo ila kituo cha polisi cha matope hakiwezi kubadilika na kuwa cha tofali kwa kuimba mapambio ya kusifu na kuabudu.Buda, mnakumbuka mlipokuwa mnaisambaza mitandaoni ile picha ya shule ya huko kenya iliyokuwa imejaa maji huku wanafunzi wamekaa kwenye mawe alafu mkaja kuumbuliwa[emoji50][emoji50][emoji50]
Sasa lete source ya picha ilipotoka either link, au video kama huna shut up [emoji23][emoji23][emoji23]
Buda sina chama lakini sipendagi ujinga.
harisha ugoro wote wa kijani leo ila kituo cha polisi cha matope hakiwezi kubadilika na kuwa cha tofali kwa kuimba mapambio ya kusifu na kuabudu.
harisha ugoro wote wa kijani leo.Huna fact zaidi ya kuokota okota tu ujinga humu [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaa! 😀 Kibao chenyewe kinakuambia mengi. Kwamba hawa ni watu ambao wamejipanga, ukiona kibao mtu huwa anatafuta 'arrow' kisha unaendelea na safari yako kulingana na sehemu ambayo inaashiria. Liboi Police Station ndio hii hapa.Na hapa wapi Mkuu? Kwa Jirani?
View attachment 1213518
Hii ni hatari! Wakenya tushukuru Mungu kwamba katiba mpya ilileta vitu kama IPOA(Independent Police Oversight Authority) taasisi huru la ku'police the police'. La sivyo vitu kama hivi vingekuwa vinatukwaza sana. Siku hizi polisi wana uoga wa kufanya uhuni kwasababu wanajua wapo kwenye darubini la IPOA.Unategemea nini kama polisi wenyewe ndio wanapiga siasa za chama, hebu cheki hii video
Hahaa! 😀 Hiki kibonzo kimenikumbusha vitu flani vya zamani sana.Umesema kweli aiseeHapo Jiwe kasikia kuna kituo kimetangaza madudu ya serikali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1213452
[emoji38][emoji38][emoji38]Hicho kituo kwn hakina jina...yani ccm wakifanyie ukarabati halafu wasikizindue...si dunia itaisha
joto la jiwe SI hapa mshukiwa akiwekwa ndani kazi Ni kukojolea ukuta Hadi akatoroka 😂😂😂😂Majirani zetu kutoka 'dona kantri', mnahitajika hapa kwa dharula. Hii nayo imepitiliza, ukizingatia zile mbwembwe zenu za 'tunajenga kwa hela zetu'. Sijui tutaiitaje hii, hali mbovu ya mazingira ya kazi na huduma msingi kwa wananchi au ni utepetevu na ujeuri tu wa viongozi? Mbaya zaidi ni kwamba hawa ni watumishi wa umma ambao wapo karibu sana na chama tawala. Nimezoea kuona 'barracks' mbovu za polisi kutoka kwa nchi mbali mbali za Afrika. Ama 'police posts' ambazo huwa ni temporary wakati wa vurugu na ukosefu wa usalama. Ila kituo cha polisi, kama hiki, ambacho ndio sura ya serikali ni aibu kubwa. Sio kwa nchi ya Tz pekee yake, bali ni kwa ukanda huu wote na bara hili la Afrika kwa ujumla. Huu wimbo hapa, Run away- Gentleman, una ujumbe kuntu sana, kwenu nyinyi wanakwaya kwenye jukwaa hili. How long you a go run away, from yourself.
joto la jiwe SI hapa mshukiwa akiwekwa ndani kazi Ni kukojolea ukuta Hadi akatoroka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaa! 😀 Hiki kibonzo kimenikumbusha vitu flani vya zamani sana.
Mimi na wewe majibu hatuna mkuu.Rais wao anayajua haya?
Nchi iliyo sawa kimaendeleao na USA hiyo [emoji23] [emoji23] [emoji23]Thibitisha kuwa hicho ni kituo cha polisi,
Sio kuokota okota picha,
Meanwhile nyumba za polisi kenya [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1213236View attachment 1213237View attachment 1213238
Sasa ikawaje wakakaa humo mzee? [emoji23] [emoji23]Polisi Kenya hawalazimishwi kuishi kwenye 'barracks' ama police lines. Alafu wote wanapata house allowance, k.m polisi kwenye level za chini, kama police constables, wanapata house allowance ya KES 19,500 kila mwezi. Hiyo ni house allowance tu, sio mshahara.Police officers to start living in rental houses next month : The Standard
Boinett has directed police officers who have not found accommodation in government police lines to find alternative housing next month.www.standardmedia.co.ke
Nchi iliyo sawa kimaendeleao na USA hiyo [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jombaa, hiyo picha ya kwanza kwenye mada ni ya hivi majuzi tu, hiyo ya pili ndio ya zamani kidogo. Wakati udongo bado upo fresh. [emoji1]Namuambia anipe source aliko otoa hizo picha hataki [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimefuatilia hizo picha ni za miaka iliyopita
Meanwhile kibera bado ipo hivo hivo flying toilets .
Jombaa, hiyo picha ya kwanza kwenye mada ni ya hivi majuzi tu, hiyo ya pili ndio ya zamani kidogo. Wakati udongo bado upo fresh. [emoji1]
Ma CCM kazi kupinga hata Ebola wanapinga kuwa haipo Tz.Jamaa wanapinga...mwengine kasema hyo pich si ya karne hii..nilishangaa sana
Ma CCM kazi kupinga hata Ebola wanapinga kuwa haipo Tz.
Nakusubiri uthibishe nikuumbue hapa ili ujue sio kila mtu ni mbumbumbu [emoji23][emoji23][emoji23]
Umesema picha ni za juzi ukimaanisha zimepigwa juzi.
Tuletee za sasa wewe unayepinga..