NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
Failed state.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maswali zingine ni za ujinga. Ni kama umewekewa mavi kwa kichwa badala ya akili.Nimekuuliza swali jibu swali sio unaleta game la hide and seek.
Nimemwambia athibitishe anaruka ruka tu [emoji23][emoji23][emoji23]
😕😕😕 Nithibitishieni kwamba mna akili timamu.Jaribu kua unasoma comment na kuzielewa kwanza kabla hujaamua kureply,hakuna sehemu yeyote niliyosema kua hiyo picha ni edited,mimi nimekuuliza wewe kua umethibitisha kua hiyo picha sio edited? au lugha ya Kiswahili kwako ni tatizo?
Failed state.
Naona akili yako ulikua umeshaikoki kubishana toka mwanzo tu! hakuna aliyebisha bali uliulizwa kua umethibitisha picha sio edited? ungejibu toka mwanzo ungepungukiwa na nini? au ulikua huna jibu ndio umelipata sasa hivi baada ya kuhangaika kulitafuta?😕😕😕 Nithibitishieni kwamba mna akili timamu.![]()
Swali huonekana ni la kijinga ikiwa limesomwa na mjinga,uandishi wako tu unaonesha kabisa kua wewe ni mtu wa aina gani,badilika bado unayo nafasi.Maswali zingine ni za ujinga. Ni kama umewekewa mavi kwa kichwa badala ya akili.
N
Naona akili yako ulikua umeshaikoki kubishana toka mwanzo tu! hakuna aliyebisha bali uliulizwa kua umethibitisha picha sio edited? ungejibu toka mwanzo ungepungukiwa na nini? au ulikua huna jibu ndio umelipata sasa hivi baada ya kuhangaika kulitafuta?
Ulileta ujuaji na ubishi wa nini, kama ulijua mapema kwamba huna hoja ya maana? Nilikuwa nayo tangu mwanzo na nikakueleza wazi kwamba muda sio mrefu yataeleweka tu. In a game of poker always play your best cards close to your heart.- Words of a wise man.N
Naona akili yako ulikua umeshaikoki kubishana toka mwanzo tu! hakuna aliyebisha bali uliulizwa kua umethibitisha picha sio edited? ungejibu toka mwanzo ungepungukiwa na nini? au ulikua huna jibu ndio umelipata sasa hivi baada ya kuhangaika kulitafuta?
Ghafla imekuwa kweli kwamba ni kituo cha polisi. Sasa najua utaniambia nithibitishe kwamba hizo sare za huyo afisa sio za mtumba.Hawa jamaa wana akili fupi mnoo [emoji23][emoji23][emoji23]
Ameenda kuokota picha sijui za mwaka gani,
Hivi anavofungua nyuzi za kijinga hivi au anataka na sisi tufungue nyuzi za nyumba za polisi kenya tena za mwaka huu.
Naona unajificha kisha una anza kujitafuta wewe mwenyewe! halafu ukijipata unajipongeza!Ulileta ujuaji na ubishi wa nini, kama ulijua mapema kwamba huna hoja ya maana? Nilikuwa nayo tangu mwanzo na nikakueleza wazi kwamba muda sio mrefu yataeleweka tu. In a game of poker always play your best cards close to your heart.- Words of a wise man.
Ghafla imekuwa kweli kwamba ni kituo cha polisi. Sasa najua utaniambia nithibitishe kwamba hizo sare za huyo afisa sio za mtumba.
Unategemea nini kama polisi wenyewe ndio wanapiga siasa za chama, hebu cheki hii video
Kama lengo lake ni hilo basi ilibidi akili kwanza kua hafahamu kua hiyo picha ni OG au edited,lakini badala ya kujibu swali nae anauliza swali! hiki ni kichekesho na ni tafsiri ya mtu asiyejiamini.
Swali huonekana ni la kijinga ikiwa limesomwa na mjinga,uandishi wako tu unaonesha kabisa kua wewe ni mtu wa aina gani,badilika bado unayo nafasi.
Hawa jamaa wana akili fupi mnoo [emoji23][emoji23][emoji23]
Ameenda kuokota picha sijui za mwaka gani,
Hivi anavofungua nyuzi za kijinga hivi au anataka na sisi tufungue nyuzi za nyumba za polisi kenya tena za mwaka huu.
Ni bora kuliko hawa wenu wanaoua raia wa kutosha ovyo
An idiot is an idiot and you are one. Hata ukilia hapa ndio uonewe huruma tutakuita idiot. Wacha kuuliza maswali za kijinga.Swali huonekana ni la kijinga ikiwa limesomwa na mjinga,uandishi wako tu unaonesha kabisa kua wewe ni mtu wa aina gani,badilika bado unayo nafasi.
Huko wanachinja nyama kabisa, ona huyu mwandishi Mwangosi Daudi alichofanyiwa nyama nje nje
![]()
![]()
Paparazi asimulia magumu aliyopata akipiga picha mauaji ya Mwangosi
Mfumo wa picha uliotengenezwa na kurushwa na mitandao ya kijamii ukionyesha namna marehemu Daud Mwangosi aliyekuwa mwanadishi wa kituo c...micharazomitupu.blogspot.com