Majirani vioja vyenu vinasababisha EAC tuonekane mabogus na shithole kabisa

Wakenya wote ni mademu zangu, huwa nawadinya....
 
Uwii nyasi nyingine tena kwenye umeme, hivi vyama vinavyotawala Africa Mungu atusaidie tu

Wapi umeona nyasi hapo, labda unisaidie kuona vizuri....halafu kukata utepe ni kioja cha mwaka. Kama ile ya kuzindua lift mkoa wote wa Mbeya.
 
Mkuu. So hoja yako ilikua ni mkasi tuu. ? .

Africa ni walewalee akili zetu twazijua wenyewee

USOGA WI KUA KATI MWINA NSONGOO
Jombaa, wazo la kuwaunganisha umeme wanaoishi kwenye nyumba za matope ni wazo nzuri. Yaani umeme kwa kila mwananchi, kama haki yao. Ila nyinyi wauza sura na wabeba mkasi mmezidi. Mnakata utepe na kuzindua kutoka kwa transfoma, kwa nyanya hadi mnakata utepe kwenye nyumba ya mtu, utadhani ndio alizaliwa jana. Hahaha! 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…