Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
- Thread starter
- #41
Sina Mimi huyo jamaa sio rafiki yanguattach hapa hiyo nakala ya Hukumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina Mimi huyo jamaa sio rafiki yanguattach hapa hiyo nakala ya Hukumu
Sawa ni vizuriChai hii
SawaMufindi baba.
sasa umeipataje? kesi hiyo ilisajiliwa kwa namba gani na mahakama gani.Sina Mimi huyo jamaa sio rafiki yangu
Hukumu zipo online unaweza ukaiweka kwa ajili ya ku-support thread.Mrejesho wakuu nilileta hapa Uzi ambao majirani wawili huku mtaani kwetu walikua wanamhisi jamaa anafanya dili haramu wakaenda kumripoti polisi na hatimae polisi walimuweka ndani na katika kumchunguza jamaa ikagundulika jamaa kazi yake ni kubeti na akaonesha mikeka yake aliyowin na ilikua ni watu ambao wanaweka pesa nyingi sana amabapo Kuna mikeka mingine kastake mpaka 10M Sasa jamaa alienda kushtaki mahakamani Kwa kumdhalilisha na kumchafua mtaani majirani zake hao wawili jamaa Jana kashinda kesi mahakama imeamuru majirani wamlipe jamaa ndani ya wiki 2 hiyo pesa nimeona nilete mrejesho hapa Leo je mahakama umetenda haki au imewaonea Hawa majirani wadau
Acha kumfukuza Mwanetu 😂Hukumu zipo online unaweza ukaiweka kwa ajili ya ku-support thread.
Sijui jinsi ya kutafutaHukumu zipo online unaweza ukaiweka kwa ajili ya ku-support thread.
mtaani inazungumziwa na jamaa Kila mara walikua wanaenda mahakamanisasa umeipataje? kesi hiyo ilisajiliwa kwa namba gani na mahakama gani.
Leta jina la wadaiwa tu search hapa fastafastaMahakama kuu ya dar es salaam
Mohamed na johsonLeta jina la wadaiwa tu search hapa fastafasta
Mzee mbona kama umechanganyikiwa majina kamili Mimi niyapate vipi wakati watu sio ndugu zanguMajina kamili acha janjajanja
Majina kamili acha janjajanjaMohamed na johson
Mzee mbona kama umechanganyikiwa majina kamili niyapate vipi wakati watu sio ndugu zanguMajina kamili acha janjajanja
Wewe ndio umechanganyikiwa na mvuto mkubwa thread yako ya kwanza iliyopata. Ukaaamua utunge muendelezoMzee mbona kama umechanganyikiwa majina kamili Mimi niyapate vipi wakati watu sio ndugu zangu
Chanzo : niamini broSijui Mimi hii habari imeongelewa mtaani Leo kwamba jamaa Jana WAMEAMRIWA wamlipe million 500 huyo jamaa
Sawa tufanye nimetunga shida nini kwaniWewe ndio umechanganyikiwa na mvuto mkubwa thread yako ya kwanza iliyopata. Ukaaamua utunge muendelezo