Majirani wameamriwa na Mahakama wamlipe jamaa Tsh. 500

Majirani wameamriwa na Mahakama wamlipe jamaa Tsh. 500

Mrejesho wakuu nilileta hapa Uzi ambao majirani wawili huku mtaani kwetu walikua wanamhisi jamaa anafanya dili haramu wakaenda kumripoti polisi na hatimae polisi walimuweka ndani na katika kumchunguza jamaa ikagundulika jamaa kazi yake ni kubeti na akaonesha mikeka yake aliyowin na ilikua ni watu ambao wanaweka pesa nyingi sana amabapo Kuna mikeka mingine kastake mpaka 10M Sasa jamaa alienda kushtaki mahakamani Kwa kumdhalilisha na kumchafua mtaani majirani zake hao wawili jamaa Jana kashinda kesi mahakama imeamuru majirani wamlipe jamaa ndani ya wiki 2 hiyo pesa nimeona nilete mrejesho hapa Leo je mahakama umetenda haki au imewaonea Hawa majirani wadau
Sasa weee jamaa unataka kuniambia mahakama hazimo kama wewe??! Kwa mujibu wa sheria za nchi na usalama wa wananchi, sheria imetoa idhini katika mazingira yoyote tatanishi na yanayotia shaka kutoa taarifa kwenye vyombo vya usalama! Sasa hapa kuna double standard! Vyombo vya usalama vinatakiwa kuwa na weredi wasitaje wanaowapa taarifa (informers). Kitendo cha kuwataja ni kinyume cha sheria hiyo na mahakama wanajua hivyo! Kwahiyo nqamimi na ninaungama na wadau kuwa uzi wako ni "CHAI"
 
Mrejesho wakuu nilileta hapa Uzi ambao majirani wawili huku mtaani kwetu walikua wanamhisi jamaa anafanya dili haramu wakaenda kumripoti polisi na hatimae polisi walimuweka ndani na katika kumchunguza jamaa ikagundulika jamaa kazi yake ni kubeti na akaonesha mikeka yake aliyowin na ilikua ni watu ambao wanaweka pesa nyingi sana amabapo Kuna mikeka mingine kastake mpaka 10M Sasa jamaa alienda kushtaki mahakamani Kwa kumdhalilisha na kumchafua mtaani majirani zake hao wawili jamaa Jana kashinda kesi mahakama imeamuru majirani wamlipe jamaa ndani ya wiki 2 hiyo pesa nimeona nilete mrejesho hapa Leo je mahakama umetenda haki au imewaonea Hawa majirani wadau
Kampuni gani hiyo anayoweza kuweka dau la 10mil kwa mkeka mmoja.
 
Vijamaa vyenyewe unakuta ndo vishinda vijiweni hiyo 500m hata ukoo wao mzima uchumishwe mchicha haupati, Jamaa aombe tu wamlipe 1m ila litakuwa funzo kwa wanoko wote mtaani hapo.
 
Nakala ya hukumu??
Mzee soma vizuri Uzi uelewe Mimi ni mtu wa aina gani katika hiyo kesi Mimi sihusiki na jamaa sio rafiki yangu kiufupi ni watu ambao hatuna mazoea ila baada ya kesi ndio Kila mtu anaongea yake kuhusu jamaa mtaani
 
Mrejesho wakuu nilileta hapa Uzi ambao majirani wawili huku mtaani kwetu walikua wanamhisi jamaa anafanya dili haramu wakaenda kumripoti polisi na hatimae polisi walimuweka ndani na katika kumchunguza jamaa ikagundulika jamaa kazi yake ni kubeti na akaonesha mikeka yake aliyowin na ilikua ni watu ambao wanaweka pesa nyingi sana amabapo Kuna mikeka mingine kastake mpaka 10M Sasa jamaa alienda kushtaki mahakamani Kwa kumdhalilisha na kumchafua mtaani majirani zake hao wawili jamaa Jana kashinda kesi mahakama imeamuru majirani wamlipe jamaa ndani ya wiki 2 hiyo pesa nimeona nilete mrejesho hapa Leo je mahakama umetenda haki au imewaonea Hawa majirani wadau
Kutoa taarifa ni jambo la kawaida ila polisi wanawajibika kufanya uchunguzi kabla ya kumkamata mdhaniwa, hapo tatizo si la majirani.
 
Mrejesho wakuu nilileta hapa Uzi ambao majirani wawili huku mtaani kwetu walikua wanamhisi jamaa anafanya dili haramu wakaenda kumripoti polisi na hatimae polisi walimuweka ndani na katika kumchunguza jamaa ikagundulika jamaa kazi yake ni kubeti na akaonesha mikeka yake aliyowin na ilikua ni watu ambao wanaweka pesa nyingi sana amabapo Kuna mikeka mingine kastake mpaka 10M Sasa jamaa alienda kushtaki mahakamani Kwa kumdhalilisha na kumchafua mtaani majirani zake hao wawili jamaa Jana kashinda kesi mahakama imeamuru majirani wamlipe jamaa ndani ya wiki 2 hiyo pesa nimeona nilete mrejesho hapa Leo je mahakama umetenda haki au imewaonea Hawa majirani wadau
Ndyo maana mm snaga shobo na umbea ya kufatilia life la mtu yangu enye sjamaliza ila dah ukute hao majamaa n day waka ajawa shka hata 1 million kwa keshi mahakama ibalanc mizania ili🤣🤣🤣 ukimuona mtu anatembea tako waz temana nae tu
 
Ndyo maana mm snaga shobo na umbea ya kufatilia life la mtu yangu enye sjamaliza ila dah ukute hao majamaa n day waka ajawa shka hata 1 million kwa keshi mahakama ibalanc mizania ili🤣🤣🤣 ukimuona mtu anatembea tako waz temana nae tu
Aisee ni hatari sana mkuu
 
Back
Top Bottom