Vesuvius
JF-Expert Member
- Jun 27, 2021
- 2,478
- 5,102
Hakuna shida wacha tuinjoi kama chai tuSawa tufanye nimetunga shida nini kwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna shida wacha tuinjoi kama chai tuSawa tufanye nimetunga shida nini kwani
Ndio chai kwani shida nini
SawaHii ni chai ya tangawizi ila kuna la kijifunza kwa wale visabengo wanaopenda kufuatilia mambo ya watu
Sasa weee jamaa unataka kuniambia mahakama hazimo kama wewe??! Kwa mujibu wa sheria za nchi na usalama wa wananchi, sheria imetoa idhini katika mazingira yoyote tatanishi na yanayotia shaka kutoa taarifa kwenye vyombo vya usalama! Sasa hapa kuna double standard! Vyombo vya usalama vinatakiwa kuwa na weredi wasitaje wanaowapa taarifa (informers). Kitendo cha kuwataja ni kinyume cha sheria hiyo na mahakama wanajua hivyo! Kwahiyo nqamimi na ninaungama na wadau kuwa uzi wako ni "CHAI"Mrejesho wakuu nilileta hapa Uzi ambao majirani wawili huku mtaani kwetu walikua wanamhisi jamaa anafanya dili haramu wakaenda kumripoti polisi na hatimae polisi walimuweka ndani na katika kumchunguza jamaa ikagundulika jamaa kazi yake ni kubeti na akaonesha mikeka yake aliyowin na ilikua ni watu ambao wanaweka pesa nyingi sana amabapo Kuna mikeka mingine kastake mpaka 10M Sasa jamaa alienda kushtaki mahakamani Kwa kumdhalilisha na kumchafua mtaani majirani zake hao wawili jamaa Jana kashinda kesi mahakama imeamuru majirani wamlipe jamaa ndani ya wiki 2 hiyo pesa nimeona nilete mrejesho hapa Leo je mahakama umetenda haki au imewaonea Hawa majirani wadau
Kampuni gani hiyo anayoweza kuweka dau la 10mil kwa mkeka mmoja.Mrejesho wakuu nilileta hapa Uzi ambao majirani wawili huku mtaani kwetu walikua wanamhisi jamaa anafanya dili haramu wakaenda kumripoti polisi na hatimae polisi walimuweka ndani na katika kumchunguza jamaa ikagundulika jamaa kazi yake ni kubeti na akaonesha mikeka yake aliyowin na ilikua ni watu ambao wanaweka pesa nyingi sana amabapo Kuna mikeka mingine kastake mpaka 10M Sasa jamaa alienda kushtaki mahakamani Kwa kumdhalilisha na kumchafua mtaani majirani zake hao wawili jamaa Jana kashinda kesi mahakama imeamuru majirani wamlipe jamaa ndani ya wiki 2 hiyo pesa nimeona nilete mrejesho hapa Leo je mahakama umetenda haki au imewaonea Hawa majirani wadau
1xbet ndio aliyokua anaitumiaKampuni gani hiyo anayoweza kuweka dau la 10mil kwa mkeka mmoja.
Hatari sana mkuu wanataka kukata rufaaVijamaa vyenyewe unakuta ndo vishinda vijiweni hiyo 500m hata ukoo wao mzima uchumishwe mchicha haupati, Jamaa aombe tu wamlipe 1m ila litakuwa funzo kwa wanoko wote mtaani hapo.
Mzee soma vizuri Uzi uelewe Mimi ni mtu wa aina gani katika hiyo kesi Mimi sihusiki na jamaa sio rafiki yangu kiufupi ni watu ambao hatuna mazoea ila baada ya kesi ndio Kila mtu anaongea yake kuhusu jamaa mtaaniNakala ya hukumu??
SawaMovie za akina JB.
Kutoa taarifa ni jambo la kawaida ila polisi wanawajibika kufanya uchunguzi kabla ya kumkamata mdhaniwa, hapo tatizo si la majirani.Mrejesho wakuu nilileta hapa Uzi ambao majirani wawili huku mtaani kwetu walikua wanamhisi jamaa anafanya dili haramu wakaenda kumripoti polisi na hatimae polisi walimuweka ndani na katika kumchunguza jamaa ikagundulika jamaa kazi yake ni kubeti na akaonesha mikeka yake aliyowin na ilikua ni watu ambao wanaweka pesa nyingi sana amabapo Kuna mikeka mingine kastake mpaka 10M Sasa jamaa alienda kushtaki mahakamani Kwa kumdhalilisha na kumchafua mtaani majirani zake hao wawili jamaa Jana kashinda kesi mahakama imeamuru majirani wamlipe jamaa ndani ya wiki 2 hiyo pesa nimeona nilete mrejesho hapa Leo je mahakama umetenda haki au imewaonea Hawa majirani wadau
Sawa mkuuKutoa taarifa ni jambo la kawaida ila polisi wanawajibika kufanya uchunguzi kabla ya kumkamata mdhaniwa, hapo tatizo si la majirani.
Ndyo maana mm snaga shobo na umbea ya kufatilia life la mtu yangu enye sjamaliza ila dah ukute hao majamaa n day waka ajawa shka hata 1 million kwa keshi mahakama ibalanc mizania ili🤣🤣🤣 ukimuona mtu anatembea tako waz temana nae tuMrejesho wakuu nilileta hapa Uzi ambao majirani wawili huku mtaani kwetu walikua wanamhisi jamaa anafanya dili haramu wakaenda kumripoti polisi na hatimae polisi walimuweka ndani na katika kumchunguza jamaa ikagundulika jamaa kazi yake ni kubeti na akaonesha mikeka yake aliyowin na ilikua ni watu ambao wanaweka pesa nyingi sana amabapo Kuna mikeka mingine kastake mpaka 10M Sasa jamaa alienda kushtaki mahakamani Kwa kumdhalilisha na kumchafua mtaani majirani zake hao wawili jamaa Jana kashinda kesi mahakama imeamuru majirani wamlipe jamaa ndani ya wiki 2 hiyo pesa nimeona nilete mrejesho hapa Leo je mahakama umetenda haki au imewaonea Hawa majirani wadau
Aisee ni hatari sana mkuuNdyo maana mm snaga shobo na umbea ya kufatilia life la mtu yangu enye sjamaliza ila dah ukute hao majamaa n day waka ajawa shka hata 1 million kwa keshi mahakama ibalanc mizania ili🤣🤣🤣 ukimuona mtu anatembea tako waz temana nae tu
SawaMajirani wakome japu uzi muongo huu hauna uhalisia
Hahaaaaa mitaa gani hiyo mazeeNi hatari hii habari ndio inaongelewa Sasa hivi hapa mtaani labda jamaa watakata rufaa
Mbezi ya kimaraHahaaaaa mitaa gani hiyo mazee