evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Aisee kama ni kweli, pole yao hao majiraniMbezi ya kimara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee kama ni kweli, pole yao hao majiraniMbezi ya kimara
Hatari sana mkuuAisee kama ni kweli, pole yao hao majirani
Kihasibu hii sioYaani kesi ni juzi tu leo hukumu. Huyu ni muongo mpumbavu
Mzee soma vizuri Uzi uelewe Mimi ni mtu wa aina gani katika hiyo kesi Mimi sihusiki na jamaa sio rafiki yangu kiufupi ni watu ambao hatuna mazoea ila baada ya kesi ndio Kila mtu anaongea yake kuhusu jamaa mtaani
SawaNakuhakikishia hakuna mahakama itakayotoa hukumu kama hiyo kwa kilichofanyika
Na kwa mahakama gani Tz ya kutoa hukumu fasta hivyo.Sasa weee jamaa unataka kuniambia mahakama hazimo kama wewe??! Kwa mujibu wa sheria za nchi na usalama wa wananchi, sheria imetoa idhini katika mazingira yoyote tatanishi na yanayotia shaka kutoa taarifa kwenye vyombo vya usalama! Sasa hapa kuna double standard! Vyombo vya usalama vinatakiwa kuwa na weredi wasitaje wanaowapa taarifa (informers). Kitendo cha kuwataja ni kinyume cha sheria hiyo na mahakama wanajua hivyo! Kwahiyo nqamimi na ninaungama na wadau kuwa uzi wako ni "CHAI"
Lete hukumu ya Mahakama tuisome alafu ndiyo tutajua kama imetenda haki au imebolonga!!Mrejesho wakuu nilileta hapa Uzi ambao majirani wawili huku mtaani kwetu walikua wanamhisi jamaa anafanya dili haramu wakaenda kumripoti polisi na hatimae polisi walimuweka ndani na katika kumchunguza jamaa ikagundulika jamaa kazi yake ni kubeti na akaonesha mikeka yake aliyowin na ilikua ni watu ambao wanaweka pesa nyingi sana amabapo Kuna mikeka mingine kastake mpaka 10M Sasa jamaa alienda kushtaki mahakamani Kwa kumdhalilisha na kumchafua mtaani majirani zake hao wawili jamaa Jana kashinda kesi mahakama imeamuru majirani wamlipe jamaa ndani ya wiki 2 hiyo pesa nimeona nilete mrejesho hapa Leo je mahakama umetenda haki au imewaonea Hawa majirani wadau
Hakuna amri ya mahakama ya 2 weeks. Tapeli wewe.Sio kosa lako Una matatizo ya afya ya akili yanaoyotokana na ugumu wa maisha
Hakuna amri ya mahakama ya 2 weeks. Tapeli wewe.