Majirani wamemripoti jamaa kituo cha polisi kisa kazi yake haijulikani! Sasa anadai Milioni 500 kwa kuletewa usumbufu

Ishu ni serious sana.Na hao majirani lazima watandikwe Bakora 12 maana wanakosa adabu kabisa.Ndio maana TAIFA letu linazidi kuwa maskini.Na huyo Jamaa aache Kubeti.
 
Wewe
Ishu ni serious sana.Na hao majirani lazima watandikwe Bakora 12 maana wanakosa adabu kabisa.Ndio maana TAIFA letu linazidi kuwa maskini.Na huyo Jamaa aache Kubeti.
Unaweza kuacha kazi inayokuingizia pesa utakula nini Sasa au utakula mchanga
 
Hamna kesi hapo , ninachojua mimi kuna kosa la malicious prosecution .
Hii na hadi mtu apelekwe mahakamani mahakama imkute hana hatia .
Sasa kama ishu imeishia polisi, Polisi ndio watakuwa na makosa kwa nini wamtaje mtoa taarifa za siri
Sawa ngoja tuone
 
Hakuna kesi hapo,
Mahakamani wanahitaji ushahidi usio na shaka, jamaa ajipange kutoa uthibitisho wa kushiriki na kushinda hizo betting.
 
Hakuna kesi hapo,
Mahakamani wanahitaji ushahidi usio na shaka, jamaa ajipange kutoa uthibitisho wa kushiriki na kushinda hizo betting.
Ushahidi so upo kwenye simu yake ndio maana polisi wamemuachia
 
Unachanganya vitu wewe. Snowden yeye alitoa siri za nchi kwa nchi za nje lakini majirani wametoa taarifa kwa Polisi ndani nchi na sheria ya whistle blowing ni ya Tz siyo ya Marekani.
 
Anaweza kushinda hata kwa fidia ya chini ya m500

Ila Betting 😑😑
 
Ile intelejinsia ya greengurd Iko wapi sasaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Nchi hii πŸ€”.
 
Huyo jamaa nachoona ni kwamba, anajua kabisa hao majirani hawana huo uwezo hata wa kumlipa mil.5, ila anachofanya ni kama kuwapa somo la kuacha umbea na kufuatilia maisha ya wengine. Kutafuta pesa sio mpaka utoke nje ya makazi yako. Kuna wanaojipatia pesa kwa njia za online ikiwemo hiyo betting, cryptocurrency, Forex, freelrncing n.k. ila eengi hawajui wanaamini kutafuta riziki ni lazima utoke asubuh urudi jioni... So hapo atawasamehe ila atakuwa kawapa somo na hawatorudia tena hizo mambo ktk maisha yao..
 
Kushitaki ni kutoa ushahidi wa tukio la kihalifu..., kutoa taarifa ni kutoa hisia kwamba huenda kuna uhalifu, kutoa taarifa ndio polisi na vyombo vya kisheria vinashauri ufanye
Na ndio maana kuna Mabalozi wa mitaa, walitakiwa walifikishe kwa balozi kisha baloz ndo alifuatilie kwa hekima likimshinda ndio alipeleke polisi.
 
Huyu ndio ana invest kwenye kubet sasa sio sisi wazee wa mikeka team 20
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…