Weeee [emoji44]....analipua? Ngoja nimwambie bro asipeleke gari lake paleMtaji ushaongezwa na mamaa, jamaa anapaka hadi rangi magari ila sasa wateja wanalalamika analipua kazi
Naomba nkuulize swali Numby.. Hivi ruge pamoja na kuwa tajiri wa kuogopwa leo hana hata nyumba ya kisasa au hata ghorofa aliuze badala ya kutembeza bakuli jamani.. Mi hata sielewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna qatu wanataka kumpigia dili huyu wanifaike.Oooops!
Huyu ni tajiri asitutanie asee, kama ni hivo ni ana hela bana, clouds wasitutanie ujue[emoji134][emoji134]
Kibaya zaidi ukute yeye kama yeye hataki mambo haya, ila kwa kuwa hajui kinachoendelea watu wanajifyatua tuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nkuulize swali Numby.. Hivi ruge pamoja na kuwa tajiri wa kuogopwa leo hana hata nyumba ya kisasa au hata ghorofa aliuze badala ya kutembeza bakuli jamani.. Mi hata sielewi
Sent using Jamii Forums mobile app
unaambiwa mpaka sasa ameshatumia mil 650.
sidhani kama ruge ni bilionea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weeee [emoji44]....analipua? Ngoja nimwambie bro asipeleke gari lake pale
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanajisahau sana wakiwa kwenye keyboards mkuu!Naziona kejeli zako then nacheka hihihi!
Page ya 9 hii unamwaga kejeli tu juu ya maradhi ya mtu!?
Ajabu.
Nimeisikiliza ile clip kupitia Youtube, nilichogundua ni kuwa siyo kwamba anaomba msaada,Bali kuna watu walijitolea kuonesha kuguswa ndipo wakaona watoe namba maalumu ya wote wanaoguswa iwe kwa Fedha au Faraja Isiyo Fedha.Naomba nkuulize swali Numby.. Hivi ruge pamoja na kuwa tajiri wa kuogopwa leo hana hata nyumba ya kisasa au hata ghorofa aliuze badala ya kutembeza bakuli jamani.. Mi hata sielewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Bundle kwako wewe ni habari /tatizo?
Bundle kwako wewe ni habari /tatizo?
Acha utoto/udada mzee!
Director mzima ana appartement tu?hii aibu. Kawezesha watu wengi leo mabilionea. Kumbe alikuwa anahubiri asichokitenda. Mungu amponye arudi kazini na awekeze hasa. Na awe na platnum issurance za kimataifa.
Watu wanajisahau sana wakiwa kwenye keyboards mkuu!
Yaani mtu tangu asubuhi ni majungu tu juu ya afya ya mtu.
Inastaajabisha sana.
Wewe unajua nini bwana umetoka kwenu sitimbi huko .hata ukoko wa shingo bado haujakutoka still unanuka jasho la beberu.... habari za mjini kama hizo utazijulia wapi !"
Au ndio unataka tuanze kukuhabarisha kijanja !?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye shobo yupi sasa baina yetu kati anaye mshobokea ruge na kujifanya anamjua sana Au mimi ambaye sina hata time nae ..... wenye shobo ni nyinyi hapo ambo mnamshobokea mtu ambaye hata hawajui ....mbaya zaidi yaweze kana hata wazazi wenu mnashindwa kuwakumbuka kuwa tumia hela ya panadol pindi wanapo umwa ....lakini hpa jf mnataka muonekane ma -decent kwa kupitia ugonjwa wa ruge ...periodMbona we ndo unaonekana mshamba zaidi, wajanja hawana shobo kama zako!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ana UKIMWI uliosababishwa na HIV. Ni kawaida sana ukitumia ARV kwa muda mrefu huwa zinasababisha kugaribika kwa organs. Ndo maana figo zimefeli. Pia inawezekana pamoja na kutumia ARV bado alikuwa anafanya ngono zisizo salama na wanawake tofauti tofauti,hivyo alikuwa anapata re infections.Duhh! Anatumia milioni tano kila kukicha kwa ajili ya matibabu. Tumuombee kwa Muumba ili avuke kipindi hiki kigumu katika maisha yake, manake hata Dimpoz alifanikiwa.
Ila huyu jamaa nina wasiwasi na ugonjwa wake, kama sio TANESCO basi atakuwa amepewa sumu
Huyo ana UKIMWI uliosababishwa na HIV. Ni kawaida sana ukitumia ARV kwa muda mrefu huwa zinasababisha kugaribika kwa organs. Ndo maana figo zimefeli. Pia inawezekana pamoja na kutumia ARV bado alikuwa anafanya ngono zisizo salama na wanawake tofauti tofauti,hivyo alikuwa anapata re infections.
Mmmmmmmhhhhh mapya haya.Huyo ana UKIMWI uliosababishwa na HIV. Ni kawaida sana ukitumia ARV kwa muda mrefu huwa zinasababisha kugaribika kwa organs. Ndo maana figo zimefeli. Pia inawezekana pamoja na kutumia ARV bado alikuwa anafanya ngono zisizo salama na wanawake tofauti tofauti,hivyo alikuwa anapata re infections.
Clouds 600mil wanaingiza faida kwa wiki moja... Kusaga anataka kuwapiga mabweha hela..Inamaanisha kabaki sifuri?
Bado ana mali
Wasimdhalilishe kwa michango
Sent using Jamii Forums mobile app