Majizzo Ndani ya Clouds360 on Clouds Tv February 20

Alipokosea ni wapi? Lini alijitapa utajiri!?
Kosa lake ni kuitwa Boss!? Kwani huyo aliyekuajiri hapo gengeni siyo Boss wako?
Naona chuki, wivu na roho mbaya tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wakiwa wazima wa afya wanajifanya wanambwembwe na kujisifu kuwa wana mshiko, wakiugua wanajifanya kujishusha na kutuomba michango walala hoi. wasanii wa bongo vituko kama wa US tu,,,, GOFUNDME

Ugonjwa ni suala linaloweza kumtokea mtu yeyote regardless ni tajiri au maskini,
Watu wengi maskini humtegemea Mungu zaidi na hivyo ushiriki wao wa namna yoyote huwa ni maombi. . So usidhhaki kuwa matajiri wanakuwa na mbwembwe, sikatai wapo lakini kwa Ruge Mungu ni shahidi pamoja na mapungufu yake amesaidia wengi Ninayo imani kuwa maombi ya maskini yatamponya Ruge. Kumbuka kuwa pia ugumu wa utafutaji wa pesa kwa maskini inatafutwa kwa shida hivyo baraka za Pesa hizo huanzia hapo na hivyo ni Sala tosha kwa Ruge.

Tumwombee Mwenztu!!
 
Uchawi siyo mpaka upige manyanga, Chuki mlizonazo ni uchawi tosha.
Basi tufanye hajatumia hata senti yake, umeridhika?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa katumia senti lakini sio ml 600 ... alikuwa anaendekeza sana mahitaji ya kichwa cha chini huyo .... so mali zake nyingi kaishia kuwanufaisha ma slay queen tu ..... hakuwa anajua kuwa haba na haba hujaza kibaba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alipokosea ni wapi? Lini alijitapa utajiri!?
Kosa lake ni kuitwa Boss!? Kwani huyo aliyekuajiri hapo gengeni siyo Boss wako?
Naona chuki, wivu na roho mbaya tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unajua nini bwana umetoka kwenu sitimbi huko .hata ukoko wa shingo bado haujakutoka still unanuka jasho la beberu.... habari za mjini kama hizo utazijulia wapi !"

Au ndio unataka tuanze kukuhabarisha kijanja !?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani anaumwa nini hadi matibabu yafikie huko na pengine bado hela inahitajika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mi sipo huko na wala kamwe siwez chukia mtu alie katika shida kusaidiwa. Huko ni kukosa ubinadamu
Mi nlihoji tu kwamba ruge ni tajiri kasaidia wengi.. Na ana mali ukiangalia maisha aliokua anaishi.. Kwanini watu wadhalilishe kisa mchango? Kwanini yeye na familia haqakupata hata wazo la kuuza asset zake kama nyumba na magari mashamba ili apone.. Kikubwa uhai kama mali zinatafutwa.
Mi sipendi haya makelele oh mda ruge kaharibu maisha ya vijana wengi simchangii,,, oh mara sijui kafanya hiki na kile.. Mara sijui hvi...
Haya yote yakisikika huko yanaweza mkosesha nafuu akawa mnyonge zaidi na kushindwa kupona.
Ndo nkaja na wazo kwanini watu wanaomuuguza wasiuze asset ajitibie bila haya makelele ya walimwengu..
Ni hayo tu
Ni zaidi ya uchawi Kumchukia na kumuonea wivu mgonjwa, basi umweni nyie tuwachangie.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo shost niliposikia umejifungua nikaona nifate mkondo.

Sent using Jamii Forums mobile app
I bet itakuwa umeuza mechi ... mimba ni yaruge hiyo umemsingizia mumeo .... sasa ukitazama ruge now anaumwa basi unazidi kuchanganyikiwa kicha kina waka moto kama jiko la gesi ....

Usijali mzee baba atapona tu " Subiri tumchangie kwanza ...haha ha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi naweza kupata shamba hapo Vikindu?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…