greybakuza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 897
- 1,276
Kwani lini kakwambia ye tajiri!!?Huyu ndo tajiri wa kwanza kuona anatembeza bakuli.Lissu sio tajiri hivyo hata akihitaji michango ni sawa.Ukweli ni kwamba wabongo wengi hawana kitu sema misifa na kujikweza ndo tuko vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia ina maajabu kweli, Fukara kumuita tajiri Matonya!Haha siwezi kuchanganya damu yangu na matonya .... unanishauri ujinga ili na mimi nije kupata stress kama ambavyo wewe zamaradi unavyo zipata hivi sasa !?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa mkuuUnaposema tunauza majumba,mashamba yetu,nami nimeuliza hivyo vitu vyenyewe viko wapi?
Nikimaanisha watanzania wa kawaida hivyo vitu vyenyewe ulivyotaja unadhani tuna uwezo hata wa kuvimiliki?
Naomba nkuulize swali Numby.. Hivi ruge pamoja na kuwa tajiri wa kuogopwa leo hana hata nyumba ya kisasa au hata ghorofa aliuze badala ya kutembeza bakuli jamani.. Mi hata sielewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha sawa...Aggyjay haya mambo magumu mno sio kila anayemwaga pesa ni zake wengine deiwaka tu.
Mhh...nadhani ni zaidi ya figo maana matibabu ya figo yazidi milioni 600?
Yule itakuwa aliuza kwa maslahi yake!
Mbona hatuoni hizo pesa alichofanyia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara anasema usalama wataifa .
Figo watu siwa wanauza tu mkuu ml.150 ...inakuwaje matibabu yafigo yafikie Ml.600 ..jiongeze aiseMhh...nadhani ni zaidi ya figo maana matibabu ya figo yazidi milioni 600?
Sent using Jamii Forums mobile app
Maajabu haya mkuu.Figo watu siwa wanauza tu mkuu ml.150 ...inakuwaje matibabu yafigo yafikie Ml.600 ..jiongeze aise
Sent using Jamii Forums mobile app
ruge ana mali kibao.. na baba yake ni proffessa.. kwao wana pesa na yeye ana mali kibao.. nashangaa why watu wanachangishwa.. ile escape one beach ni ya ruge , ile tatu mzuka inayotoa mazawadi kila wiki mahela ni ya ruge.. ile THT wasanii ni ya ruge..
Gari anazotembelea ruge sio used za kijapan.. ufupi maisha yake ni ya kitajiri.. nashangaa why asiuze asset zake?
Haha saana mnoo mkuu ..Saiv atakua na mawazo sana kuliko hata ndugu wa mgonjwa.
Oooops!
Aisee kwahiyo yule bwana wake nayeye ni marioo tu ..... !?Hukumu mbaya ila labda ni njia ya mkato ya kumkata zamaradi na mirija yote ya kupatia pesa kupitia ruge. Maana bidada kama ni pesa anazichota za maana kisingizio watoto kumbe malezi ya bwana wake
Ndio hicho ambacho mimi nimekiona watu wameamua kumgeuza fursa ...dahh mbaya Sana hii ...nadhani wameshahisi kuwa jamaa hatoweza ku survive ...kama ataweza ku survive kweli then anakuja kukuta Kwamba walimdhalilisha kwa kum changia michango ...aise sijui atakuwa na hali gani kifikiraOooops!
Huyu ni tajiri asitutanie asee, kama ni hivo ni ana hela bana, clouds wasitutanie ujue[emoji134][emoji134]
Kibaya zaidi ukute yeye kama yeye hataki mambo haya, ila kwa kuwa hajui kinachoendelea watu wanajifyatua tuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi kuna harufu ya michezo hapa ktk hii michango...I smell honey badger analruge ana mali kibao.. na baba yake ni proffessa.. kwao wana pesa na yeye ana mali kibao.. nashangaa why watu wanachangishwa.. ile escape one beach ni ya ruge , ile tatu mzuka inayotoa mazawadi kila wiki mahela ni ya ruge.. ile THT wasanii ni ya ruge..
Gari anazotembelea ruge sio used za kijapan.. ufupi maisha yake ni ya kitajiri.. nashangaa why asiuze asset zake?
Yaaaan nimeshangaa kweli daaah!Hapa ndio panapo tushangaza .... wameshazoea kuwageuza wabongo ng'ombe wa maziwa ....hao
Sent using Jamii Forums mobile app