Major Claude NDIKUMANA wa jeshi la Burundi, akamatwa akiwa mzima na M23 huko Kivu kusini

Nataka kumjua zaidi Mswahili Sultani Makenga
Kwa ufupi tu ni raia wa Congo.
Alizaliwa huko Rutshuru, Kivu Kasikazini.
Miaka ya 1990, alijiunga na jeshi la chama cha RPF cha Rwanda, kipindi hicho wapo maporini kwa maandalizi ya kuikomboa Rwanda.
Badae aliamua kurudi kwao, na ndo kaamua aanzishe M23.(hiyo ni historia fupi)

Chanzo cha haya yote ni baada yaserikali ya zamani ya Rwanda kuzidiwa nguvu,ikiwa na msaada wa wafaransa, ambao walikuwa pete na kidole na Zaire, ambayo ndo DRC ya leo. Huko walikofika, waliendeleza mauaji ya watutsi kambini.
Lakini pia,kwa sababu Zaire ilikuwa na watutsi, na wauaji,ambao ndi FDLR ya leo, mazoezi ya kijeshi(walikuwa nakiingiza wanajeshi wapya) yalikuwa yakifanyika nje ya kambi. Hivyo, sehemu ya kupata huduma, ikawa ni uraiani.
Huko, kulikuwa na watutsi. Ndipo vitendo vya kuwaua na kubaka wanawake vikaanza.

Kuona hivyo, akaona hakuna haja ya kukaa kimya.
 
🙏
 
Duuh kachoka hadi huruma rais wao Mungu anamuona
Wala. Rais kasaini dili la mamilioni, akawapeleka watu bila hata advance,wamefeli,mshikaji hakuna cha ilienda ikarudi,unataka wafanyeje sasa! Aliambiwa basi arudishe tu Kivu kusini,ndo haya yanayomkuta. Iwe huyu,iwe boss wake,wote desperate. Sasa ameshakubali kukaa meza na gaidi wake. Hawa wamepoteza maisha wangapi? Familia zao zitaishije! Hawawezi kuwa hawana hata hela ya sukari na mafuta, wapate za rambi rambi familia zote.

Haiishi mpaka iishe.
 
Siasa ni mchezo mchafu viongozi wanawachukulia wananchi kama vikalagosi. Wakirudi kwao bora wapindue meza kama wana uwezo vinginevyo watakufa kwa depression 😢
 
Jeshi la Burundi ni masikini sana na hawataweza kupigana Vita vya miezi miwili mfululizo watatembea peku.
 
Hauna uelewa wa mambo ya field ndo maana umeuliza maswali ya kijinga
 
kwann unaamin kuwa ni major , je kama M23 wanatumia hiyo fursa kuichafua Burundi ?
 
m23 ni wavamiz , hiz wanafanya kuwapumbaza akili , maana wanajuwa bila propaganda hawatoboi , propaganda zinawagawa maadui wengine wakisema m23 ni wema na wengine wakisema m23 ni wabaya

nipo kwenye page kadhaa za wakongo , wanasema kuna mauaji kwa wabantu huko Bukavu , wanakuja usiku m23 wanaua nyumba nzima na zipo hadi picha zinatumwa .

HAWA M23 NYUMA YAO KUNA MABEBERU NA NDIO MAANA WAKIRUDIASHWA NYUMA HUTOONA HABARI ILA WAKISONGA UNALETEWA HABARI CHAPU NA BBC , CNN NA MEDIA ZOTE DUNIANI
 
hii story yako imepikwa na mtutsi , Makenga kama mkongo alienda kishiriki uvamiz wa Rwanda na kumuua rais halali wa Rwanda Habyamara na Kagame anendeleza harakati zao zilizoanzia Uganda mwaka 1986 kisha Rwanda 1994 Kisha Burundi waliferi na leo wanapambania kulipata taifa kubwa la DRC , ukiangalia Waliopigana UGANA kama NRF ndo hao hao waliopigana Rwanda kama RPF na leo wanapigana huko DRC kama M23
HAWA WATUTSI NI WAUAJI NA WABINAFSI SANA , KESHO WATAKUJA TZ WAKIWA NA JINA LINGINE
 
Uzuri mmeshajua watakuja, basi jiandaeni.

Kwa hiyo,unataka kutuaminisha kuwa hakuna watanzania wanaopigana upande wa M23? Nijibu hili kwanza.
Kama jibu unalo basi, kipindi RPF ni waasi, walipokea kila raia.

Na M23, ina huo uhuru wa kupokea kila raia.
 
Unakuta walinzi wako ni kama huyu!!!🤣🤣
Your browser is not able to display this video.
 
Kimeumana
 
kwann unaamin kuwa ni major , je kama M23 wanatumia hiyo fursa kuichafua Burundi ?
Sijaamini kuwa ni major. Ndo msingi wa hoja na maswali yangu.
Kama M23 wanaitumia hiyo kama fursa kuichafua Burundi; Burundi watajitetea wenyewe labda kwa kukanusha dai la Taarifa hiyo kwamba ni Fake news au kumkataa sio mtu wao au watakavyoona inafaa.
 
Inawezekana; lakini jamaa (huyo afande)anaonekana mtanashati, uso unang'aa na wakamataji wake(Wapiganaji) hawaonekani japo jirani kumlinda asitoroke. Yan ni kama mtu yupo kwenye Interview au mahojiano fulani hivi. Hana wasiwasi kabisa.
Angalia mguu wake wa kulia unaodaiwa kupigwa risasi, atawezaje kukimbia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…