Major Claude NDIKUMANA wa jeshi la Burundi, akamatwa akiwa mzima na M23 huko Kivu kusini

Major Claude NDIKUMANA wa jeshi la Burundi, akamatwa akiwa mzima na M23 huko Kivu kusini

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
350
Reaction score
576
1741783408116.png

Baada ya kupigwa risasi mguuni na kushindwa kutembea, wapiganaji na walinzi wake waliamua kuokoa maisha yao huku wakimuacha nyuma, na kukamatwa na wapiganaji wa kundi la M23. Ni katika majibizano ya risasi huko Kivu kusini, eneo la Kaziba.

Mpaka sasa,anaendelea na matibabu akiwa mikononi mwa M23.
 
View attachment 3267817
Baada ya kupigwa risasi mguuni na kushindwa kutembea, wapiganaji na walinzi wake waliamua kuokoa maisha yao huku wakimuacha nyuma, na kukamatwa na wapiganaji wa kundi la M23. Ni katika majibizano ya risasi huko Kivu kusini, eneo la Kaziba.

Mpaka sasa,anaendelea na matibabu akiwa mikononi mwa M23.
Burundi wameaibisha sana. Major; Major wa Jeshi!!! Major gani wa jeshi la nchi anavaa gum-boots zinazouzwa na machinga ilhali yupo uwanja wa mapambano? :AYOOO: Halafu inaelekea haikuwa ni uwanja wa mapambano. Mbona gumboots alizovaa ni safi kiasi hicho au mapigano yalikuwa ni kwenye barabara ya lami?? Major wa mchongo huyo. Mbona mabegani hakuna viashiria vya cheo chake?
 
Burundi wameaibisha sana. Major; Major wa Jeshi!!! Major gani wa jeshi la nchi anavaa gum-boots zinazouzwa na machinga ilhali yupo uwanja wa mapambano? :AYOOO: Halafu inaelekea haikuwa ni uwanja wa mapambano. Mbona gumboots alizovaa ni safi kiasi hicho au mapigano yalikuwa ni kwenye barabara ya lami?? Major wa mchongo huyo. Mbona mabegani hakuna viashiria vya cheo chake?
Bro, mi sijawahi kukupa habari za mchingo. Kwa cheo chake, yeye ni kamanda. Ambush kwani ni nini? Kumbuka wapipo sasa si mapolini ni kwenye makazi ya watu.
 
Burundi wameaibisha sana. Major; Major wa Jeshi!!! Major gani wa jeshi la nchi anavaa gum-boots zinazouzwa na machinga ilhali yupo uwanja wa mapambano? :AYOOO: Halafu inaelekea haikuwa ni uwanja wa mapambano. Mbona gumboots alizovaa ni safi kiasi hicho au mapigano yalikuwa ni kwenye barabara ya lami?? Major wa mchongo huyo. Mbona mabegani hakuna viashiria vya cheo chake?
Hari imbonerakure kitaramenyekana igitigiri zarasiwe mu kibira n'abantu bataramenyekana,igihe zariko zirahabwa inyigisho za gisirikare,kugira ngo zice zitwarwa i #Buvira muri #Congo.Haje abantu biyoberanije bafise inkoho zikomeye niko kubarasa.Irabandanya. Source: Rabin


tafuta na hiyo kwanza
 
Mmmh! Mkuu; Hizo gum-boots walimsaidia kuzisafisha matope halafu wakampa nafasi ya kuoga na kuvaa kombati safi kabla ya kumpiga picha? Aisee mbona mnatulisha matango pori??
Kwamba unaamini jeshi linakosa boots ya kijeshi?!
Mkuu kwa jiografia ya kivu, rutshuru hadi bukavu kwa kipindi cha mvua hiyo ni kawaida kabisa.
Nadhani ukiangalia hata hao m23 na askari kwa kongo wengi wanavaa, fatlia
 
M23 naomba muingie tanzania tupate matokeo ya darby kuhusu jeshi letu kila siku likiambiwa ndio jeshi namba moja duniani.
Wengine matomaso maana wanavyo pasua matofari siku za maadhimisho ya jeshi na kubeba mizigo mikubwa utazani wapo store ya kubebea magunia
 
Bro, mi sijawahi kukupa habari za mchingo. Kwa cheo chake, yeye ni kamanda. Ambush kwani ni nini? Kumbuka wapipo sasa si mapolini ni kwenye makazi ya watu.
Inawezekana; lakini jamaa (huyo afande)anaonekana mtanashati, uso unang'aa na wakamataji wake(Wapiganaji) hawaonekani japo jirani kumlinda asitoroke. Yan ni kama mtu yupo kwenye Interview au mahojiano fulani hivi. Hana wasiwasi kabisa.
 
Mmmh! Mkuu; Hizo gum-boots walimsaidia kuzisafisha matope halafu wakampa nafasi ya kuoga na kuvaa kombati safi kabla ya kumpiga picha? Aisee mbona mnatulisha matango pori??
Umeambiwa na nani walipo huko ni msimu wa mvua?
 
M23 naomba muingie tanzania tupate matokeo ya darby kuhusu jeshi letu kila siku likiambiwa ndio jeshi namba moja duniani.
Wengine matomaso maana wanavyo pasua matofari siku za maadhimisho ya jeshi na kubeba mizigo mikubwa utazani wapo store ya kubebea magunia
Hawana haja ya kuingia huko. Uliza kwanza, wale waliokwenda mission ya SAMIDRC wako wapi? Leo mwezi wa ngapi?
 
Inawezekana; lakini jamaa (huyo afande)anaonekana mtanashati, uso unang'aa na wakamataji wake(Wapiganaji) hawaonekani japo jirani kumlinda asitoroke. Yan ni kama mtu yupo kwenye Interview au mahojiano fulani hivi. Hana wasiwasi kabisa.
Nadhani unapomuona hana siraha.

Pili, taarifa zote hazitoki ofisini, zingine za kuibia ibia tu.
Tatu, yupo katika mikono salama hakuna wa kumdhuru. Kumbuka yeye ni commander, mpaka kufikia cheo chake, kuoga na kupumzika ni harari yake. Anatumia kichwa kuliko nguvu(mwili).
 
Kwahiyo baada ya mkuu kupigwa risasi ya mguu walinzi wakaamua kuokoa maisha yao na kutokomea kusikojulikana.

Hawa M23 ni moto wa kuotea mbali ukienda kichwa kichwa unarudishwa kwenu bendera iko juu ya jeneza
 
Soma hapo juu komenti # 6
Huyo achana nae. Macho hayakupi!! Hata hapo alipoketi hapana dalili za matope. Za nyuma ya kapeti ni kwamba hakukuwa kwenye uwanja wa vita(kama ntaeleweka vizuri). Warundi, Wazalendo na FDLR wapo maeneo ya makazi, ni kama kulikuwa na patrol, hakukuwa kwenye direct confrontation. M23 iliweza kupenya maeneo hayo, hawa wakashitukia wanamiminiwa risasi. Senior officers hawakamatwi hivi hivi, hapo imetumika akili ya ziada
 
Back
Top Bottom