Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
Hakuna RC aombaye fedha kwa Wakurugenzi - RC anatekeleza majukumu yake kupitia fedha za OC ambazo ziko chini ya RAS kama Afisa Masululi wa MkoaHiyo ni demotion mkuu wala huhitaji akili kubwa. Mkuu wa mkoa hata hela anaomba kwa wakurugenzi wa halmashauri
Umesema sidhani Kama ameenda shule hvyo humfahamu..Sidhani kama ameenda shule yule jamaa wale ni kizazi Cha wwnajeshi walioingia kupigana tu elimu alisoma baada ya kuwa Major na baada ya hapo hakuna shule tena.
Alikuwa anamsnitch sana CDF kwa mwendazake ana majungu fulani, naona amekomeshwa. Kutoka kupiga deal za ujenzi na madili kibao ya JKT kwenda kukimbizana na budget za Halmashauri Tena kigoma huko
Sawa bwana mbuge.Umesema sidhani Kama ameenda shule hvyo humfahamu..
Kisha unasema alikuwa ana msnitch cdf
Wabongo bwana mtu hajui ila anatengeza story umejuaje Kama alikuwa anam snitch na wskati mbuge mwenyewe humjui bali una mdhania
Kwani ameshuka rank yake?Cheo cha Mkuu wa JKT ni nafasi ya kiuongozi wa kitafa na huwa moja tu wakati Mkuu wa Mkoa ni cheo cha watu zaidi ya mmoja katika taifa. Kwa mtazamo huu naweza kusema huyu mwamba ameporomoka cheo.
Kwa taarifa tu ni kuwa cheo cha mkuu wa mkoa hapa Tanzania ni sawa na waziriHabari wanabodi? naomba kupata uelewa kidogo, kwa nafasi kama ya Major General Mbuge kutoka kuwa Mkuu wa JKT na kwenda kuwa RC je hapo kapanda cheo ama kashuka? naomba uelewa wa kina juu ya hili tafadhali.
Hongera kwake kwa uteuzi!!
Awezi kushuka cheo ndugu. Anabaki na cheo chake hivyohivyo. Labda wadhifa kupungua. Mkoa na JKT. Nikweli Command sio sawa na mkoa. Command ya JKT ni kubwa sana, karibu mkoa 18 na vikosi karibu 28Habari wanabodi? naomba kupata uelewa kidogo, kwa nafasi kama ya Major General Mbuge kutoka kuwa Mkuu wa JKT na kwenda kuwa RC je hapo kapanda cheo ama kashuka? naomba uelewa wa kina juu ya hili tafadhali.
Hongera kwake kwa uteuzi!!
Hivi unadhani ungechangia hicho unachokijua bila kuitana mjinga usingeeleweka?Ukisikia Mkuu wa JKT Tanzania nzima unadhani hao JKT ni kama mamilioni hivi? Kumbe hata 5000 hawafiki....hahaha ujinga kipaji. Mkuu wa mkoa kimajukumu is far a million than Mkuu wa JKT. Anzia hapo... Mwakilishi wa Rais Mkoa wenye watu zaidi milioni 3+ M/kiti wa Baraza la usalama la mkoa... Kuomba fedha kwa mkurugenzi ni formality sawa na wewe uwe boss wa taasisi then uombe fedha kwa watu wa finance.
Malizia hapa gari yake inapeperusha bendera ya nchi muda wote mpaka tu Rais anapokuwa mgeni wa mkoa husika.
Lengo lake halijatimiaNani anakumbuka upandaji wa vyeo kwa huyu Major General Charles Mbuge!!....Paul Makonda analijua sana hili jambo
Huyu jamaa alizingua sana akiwa Mkuu wa JKT alikuwa anawachukia sana Makamanda waliokwenda shule na alipenda sana kuwaweka vibaraka wake kwenye nafasi mbalimbali JKT, professionalism kwa huyu Kamanda ilikuwa zeero kabisa!!
Kuna jamaa alimchukia sana kisa hakuenda kumpongeza alivyopandishwa cheo na mwendazake. Akaamua kumtupa Kigoma and then wakati wenzake wanapandishwa vyeo mwezi wa 2 kuwa Ma-Major jjna la huyo jamaa akalinyofoa makusudi tu kwa sababu ya chuki zake binafsi . Kwahiyo wenzake wamekuwa Ma-Major yeye bado ni Captain. Huyu jamaa yuko kambi ya Mtabila Kigoma na ni Msomi mzuri tu.
Acha karma imle!!!
Lini Mbuge alipandishwa na kupata hicho cheo cha Major General?Nani anakumbuka upandaji wa vyeo kwa huyu Major General Charles Mbuge!!....Paul Makonda analijua sana hili jambo
Huyu jamaa alizingua sana akiwa Mkuu wa JKT alikuwa anawachukia sana Makamanda waliokwenda shule na alipenda sana kuwaweka vibaraka wake kwenye nafasi mbalimbali JKT, professionalism kwa huyu Kamanda ilikuwa zeero kabisa!!
Kuna jamaa alimchukia sana kisa hakuenda kumpongeza alivyopandishwa cheo na mwendazake. Akaamua kumtupa Kigoma and then wakati wenzake wanapandishwa vyeo mwezi wa 2 kuwa Ma-Major jjna la huyo jamaa akalinyofoa makusudi tu kwa sababu ya chuki zake binafsi . Kwahiyo wenzake wamekuwa Ma-Major yeye bado ni Captain. Huyu jamaa yuko kambi ya Mtabila Kigoma na ni Msomi mzuri tu.
Acha karma imle!!!
Pale kilaza anapotaka kujifanya mjuajiKinachonishangaza kila mchangiaji kwenye hii mada anamjadili Charles Mbuge kama Major General wakati ukweli ni kwamba cheo chake alichonacho hadi dakika hii ni Brigadier General na wala siyo Major General.
Mmhhh!!!!,Mpaka nione ndio nitaamini.tena si ukubwa kiongozi tu hata umri.
lakini anapiga salute bro,usipate wenge.
Kwanini walikuwa wanakimbia ukuu wa mkoa kwenda kwenye ubunge?Kwa taarifa tu ni kuwa cheo cha mkuu wa mkoa hapa Tanzania ni sawa na waziri
maslahi tu ndio tatizo.Kwanini walikuwa wanakimbia ukuu wa mkoa kwenda kwenye ubunge?
Wakuu wa mikoa wapo chini ya wizara ya Tamisemi- Ummy Mwalimu
Kulifanyika makosa wakarekebisha bado ni Meja General rank yake akaandikwa gaguti na rank ya gaguti akaandikwa MbugheKinachonishangaza kila mchangiaji kwenye hii mada anamjadili Charles Mbuge kama Major General wakati ukweli ni kwamba cheo chake alichonacho hadi dakika hii ni Brigadier General na wala siyo Major General.
Brigedia Mbungo aliyekuwa Takukuru ndio atapewa hii nafasi ya kuwa mkuu jkt. Ni swala la muda tu.Nyota mbili zinabakia palepale sema siyo tena mkuu wa JKT. Either itamlazimu Rais kumpandisha cheo brigedia general ili ashike nafasi hiyo ama atalazimika kumhamisha meja jenero mwingine ili awe mkuu wa JKT. Kwanza wamelundikwa huko hovyo hovyo tuu na hakuna wanalofanya. Madam chomoa kimeja kimoja kikave pengo!
Mkoa wa MaraMajor General Mbuge ni kutoka kanda gani ?.