Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Imetokea kasumba mbovu ambayo mwisho wa siku ninaiita cheap politics na divide and rule..., Waziri amekuwa akijinasibu mtetezi wa wakulima kwamba hawapangii Bei na kuonyesha kana kwamba walaji ni wanyonyaji ambao wanataka kunyonya jasho la mkulima.
Lakini ukiangalia kwa marefu na mapana hawa walaji sio kwamba wanasema mkulima apangiwe bei au pa kuuza bali wanalalamila bei zimepanda kuliko uwezo wao, kwahio nadhani Waziri atakuwa na myopic thinking kwa kudhani njia pekee ya kuzuia mfumuko ni kuzuia wakulima wasipate faida kubwa iwezekanavyo (ingawa nadhani hata hio faida wanapata walanguzi/ middle men na sio peasants ambao anajifanya kuwatetea)...
Kwa ufupi ukiangalia hili suala kwa ujumla wake ni kwamba amekosea/ tumekosea sehemu sababu kupata soko la nje sio vibaya bali ni baraka (kupata faida na watu kukuza uchumi wao) lakini kwa kuwa na demand kubwa kuliko supply kunaonyesha lack of long term planning kwa Wizara, na hapo ashutumiwe kwa kutokuwa na production ya kutosha kuweza kuuza nje na bado kubaki na mzigo wa kutosha ndani..., Mambo ya ukame tunayajua na yanatabirika kwahio ununuzi ungefanyika kabla na kuweka stock ya kutosha ili supply ikipungua waachie mzigo.
Na huko wanakotembeza bakuli hawashindwi kununua mahindi in volumes na kwa bei ya chini ili kuja kupunguza makali kwa kuongeza supply.
In short ni mengi ya kufanya kuliko kuendelea na mipasho (jambo ambalo sidhani kama ni moja ya majukumu yake)..., wananchi wanahitaji results na results ni bei ya chakula kuwa rafiki kulingana na kipato chao; kama wanashindwa kufanya hayo mimi kama mlipa kodi na bosi wao sioni umuhimu wa uwepo wao (tutaendelea kuuza nje na kulima na kulishana na hali itaendelea kuwa ngumu hivi hivi hata wasipokuwepo)
Lakini ukiangalia kwa marefu na mapana hawa walaji sio kwamba wanasema mkulima apangiwe bei au pa kuuza bali wanalalamila bei zimepanda kuliko uwezo wao, kwahio nadhani Waziri atakuwa na myopic thinking kwa kudhani njia pekee ya kuzuia mfumuko ni kuzuia wakulima wasipate faida kubwa iwezekanavyo (ingawa nadhani hata hio faida wanapata walanguzi/ middle men na sio peasants ambao anajifanya kuwatetea)...
Kwa ufupi ukiangalia hili suala kwa ujumla wake ni kwamba amekosea/ tumekosea sehemu sababu kupata soko la nje sio vibaya bali ni baraka (kupata faida na watu kukuza uchumi wao) lakini kwa kuwa na demand kubwa kuliko supply kunaonyesha lack of long term planning kwa Wizara, na hapo ashutumiwe kwa kutokuwa na production ya kutosha kuweza kuuza nje na bado kubaki na mzigo wa kutosha ndani..., Mambo ya ukame tunayajua na yanatabirika kwahio ununuzi ungefanyika kabla na kuweka stock ya kutosha ili supply ikipungua waachie mzigo.
Na huko wanakotembeza bakuli hawashindwi kununua mahindi in volumes na kwa bei ya chini ili kuja kupunguza makali kwa kuongeza supply.
In short ni mengi ya kufanya kuliko kuendelea na mipasho (jambo ambalo sidhani kama ni moja ya majukumu yake)..., wananchi wanahitaji results na results ni bei ya chakula kuwa rafiki kulingana na kipato chao; kama wanashindwa kufanya hayo mimi kama mlipa kodi na bosi wao sioni umuhimu wa uwepo wao (tutaendelea kuuza nje na kulima na kulishana na hali itaendelea kuwa ngumu hivi hivi hata wasipokuwepo)