Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Jukumu kubwa la Wizara ya Kilimo (ikiwa pamoja na Waziri) ni kutunga na kusimamia sera zinahlzohusiana na kilimo na chakula) ikiwa pamoja na kulinda maslahi ya mzalishaji. Haihusiki sana na mlaji kwasababu baada ya kuzalisha na kufikisha mazao sokoni, jukumu lililobaki linahusika pia na Wizara ya Biashara, usafirishaji nk.Ndio maana nadhani haujaelewa majukumu ya Wizara..., Jukumu la kuhakikisha gharama za uendeshaji ni rafiki ni nani ? na wakati mahindi yanashuka bei na kuozea mashambani huwa gharama za uendeshaji analipia nani...
Aidha, kutunga na kusimamia sera ni jambo moja na kufikiwa malengo ya utekelezaji wa sera hiyo ni jambo lingine. Hivyo sera ni lazima iweke mazingira ya kuvutia uwekezaji kwenye kilimo under open and free market system. Huenda si mara zote Wizara ya Kilimo inahusika moja kwa moja na bei ya mazao kwani kuna factors nyingi zinazohusika along the value chain ya kilimo.