Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
- Thread starter
- #41
Mkuu unawajua hawa wadau ? (NFRA - https://www.nfra.go.tz/) Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula ? Hakuna mtu aliyesema wanunue mazao yote ila wanunue kiasi cha kutosha wakifanya hivyo wanaongeza demand wakati wa supply kubwa....My friend huo ni mtihani mkubwa sana kwa serikali yako unataka kuipa.
Yaani inunue mazao ya wakulima mikoa yote itawezea wapi aisee.
Mazao hayo wanayoyahifadhi bei zikipanda maradufu wanayaingiza sokoni ili kubalance bei (wanaongeza supply)
Kwamba bei ikiwa ndogo mijini walanguzi wamejaza maghala yao na wanaona hakuna faida ya kuchoma mafuta kwenda vijijini kutafuta mazao na huko kijijini watu hawana capacity ya kutosha kutunza mazao yao mpaka mwaka ujao unadhani yatafanya nini kama sio kuoza...Kuhusu mazao kuozea shamban labda mali mbichi hizi nyanya, viazi n.k.
Lakini kwa mazao ya nafaka yakiozea shamban ni vile mkulima kaamua kulingana na tumaini la soko halipo.
Ma ghala yapo nimeyaona yamejengwa sana huku kusini sijajua maeneo mengine.!
Ngoja nikupe statistics mojawapo 1/3 of food in the world is wasted; ingawa 1 in every 7 people are hungry (ingawa hili ni janga la kidunia sio Tanzania pekee)