MAJUTO: Nimejenga kimya kimya Mume wangu kajua hanishirikishi tena mambo yake

Very selfish creatures. They justwana get rid of us men in their lives sema ndio hivyo hawawezi maana pesa zipo kwetu 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kubali matokeo tu!
Kama ulijenga bila kumshirikisha huenda unaweza hata kumcheat kwa mwanamme mwingine.
 
Sio wachagga tu... ubinafsi ni kaliba ya mtu tu amini hivyo
Ni kweli ila hili la kujenga kimya kimya nishalishuhudia kwa wanawake wengi wa kichaga sijui huogopa nini, kwani mme akijua unajenga kuna shida gani.
 
Hadi umekamilisha nyumba na kuweka wapangaji kimyakimya, manake Huna nia njema nae, kama imani, umeipoteza... hivyo ndo basi tena!
 
Mnaanzaga hivihivi mwisho wa siku utataka kumuua mumeo ili urithi na nyumba zingine zote
 
Ulikuwa unahitaji nn katika maisha yako kabla ya uamuzi wa kujenga?
 
Umemfundisha mwenyewe, alikuchukulia kama mke, rafiki yake lakini wewe ukamuona bwege amekuwa kuwa kama wewe
 
Hehehehehe!Niko ndoani najionea mwenyewe asili ya mwanamke.jenga nyumba nyingine mamaaa😃
 
Yani wanawake akikuta.mtu mpole lazima alete matatizo.kukuamini itachukua mda .
 
Ongeza umakini kwenye uchunguzi atakua ameshapata na mwanamke mwingine wamezaa na mtoto na huyo mwanamke ndo anaependwa na familia ya mme wako
 
Wenzako wanatafuta wanaume wanaojenga nyumba kwa majina ya wake zao lakini hawapati, wewe umempata umemgeuza falah...!
Nilisema mimi Tatizo mwanamke ukimzingatia sana anakuona fala yan hueleweki kichaa Yan wanawake sijui wapoje wanapenda watu machakaramu
 
Wanawake wengi mko hivyo (wabinafsi, wachoyo n.k), unachopata ndicho unachostahili.
Mume wako ana wema kama wangu ila yeye amenizidi ujinga kwa kukuandika kwenye mali usizochangia.
 
Shukuru kwakuwa hakushirikilishi! Huyo ni muungwana Sana amegundua anaishi na mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo! Me ningekuondoa kabisaaaa kwenye ramani ya Dunia
Acha uuaji....siyo deal
 
Nilisema mimi Tatizo mwanamke ukimzingatia sana anakuona fala yan hueleweki kichaa Yan wanawake sijui wapoje wanapenda watu machakaramu
Sio kweli! Mwanaume anachezea wanawake akichoka ndio anatulia anajifanya good man lazima uisome namba karma ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…