Makabila gani wasimamizi wa familia ni wanawake

Makabila gani wasimamizi wa familia ni wanawake

Annonymous

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2013
Posts
688
Reaction score
1,126
Habari wana JF
Nahitaji kujua ni makabila gani tanzania ambayo wasimamizi wa mambo yote na waratibu wa majukumu ya familia ni wanawake. (yaani ni makabila ambayo baba ni yupo kama picha ya mlinzi na mtoaji mahitaji ya familia na anahusika tu pale majukumu makubwa yanayohitaji maamuzi yametokea, mfn. Kuoza mtoto, kuuza kiwanja, vikao vya ukoo n. K). Ila mengine yte sijui ni mama ndio msimamizi. Familia hizi zaidi ni zike ambazo baba n mnywa pombe mama ndio mtunza familia au baba n msimamizi wa maeneo mama au wake zake ndio wakulima kuvuna na kulisha familia

Kwa kuanzia makabila haya wanawake (mama) ndio mtendaji mkuu wa familia. Naomba mengine unayoyafahamu
1. Wachaga
2. Wahaya
3. Wakulya
4. Waha
5. Nitajie kabila unalojua linamlengo huo au lina tamaduni hii

Revised& Edited
 
Habari wana JF
Nahitaji kujua ni makabila gani tanzania ambayo wasimamizi wa mambo yote na waratibu wa majukumu ya familia ni wanawake. (matrilineal societies)

Kwa kuanzia makabila haya wanawake (mama) ndio mtendaji mkuu wa familia. Naomba mengine unayoyafahamu
1. Wachaga
2. Wahaya
3. Wakulya
4. Waha
5. Wanyakyusa
Wanyakyusa umetusingizia
 
Habari wana JF
Nahitaji kujua ni makabila gani tanzania ambayo wasimamizi wa mambo yote na waratibu wa majukumu ya familia ni wanawake. (matrilineal societies)

Kwa kuanzia makabila haya wanawake (mama) ndio mtendaji mkuu wa familia. Naomba mengine unayoyafahamu
1. Wachaga
2. Wahaya
3. Wakulya
4. Waha
5. Wanyakyusa
Sidhani kama wachaga ni matrilineal na wengine hapo,,,,,kuna makabila sawa wanawake wanaweza wakawa na nguvu kwenye familia ila sio matrilineal.......matrilineal ukoo wa mtoto anafata kwa mama (ujombani)
 
unataka desa? unalipwa? kama unalipwa itabidi tugawane hela nikupe majibu
Nataka kuoa ila nataka mke anayetokea ukoo ambao mama ndio msimamizi wa familia kila kitu. Lengo kupata mama anayejituma hata nyumban anawwza kulima vimajani, kamba ya nguo ikikatika anaifunga upya n. K.
NAtaka niachane na hizi koo za kuangalia azam tv 2 na sinema zetu. Kisu kikikatika hawez kurepair
Lkn mbali zaisi watoto wapate roho ya uchapakazi waombe mfano kwa mama yao mchakalikaji. Mkuu napanga team vzr uzeeni niishi vzr c unajua tena
 
Watoe wachaga hapo, labda kwa wachaga waliathirika na ulevi ambao hao ni wachache kulinganisha na wachaga wanaojitambua.
Mkuu nmekaa uchagani miaka 6 nimezunguka vijiji vingi hawa nauhakika nao sana na waarusha. Wameathiriwa zaidi na wakenya kwsbb wanapakana ndio maana nahs wako hvyo
 
Habari wana JF
Nahitaji kujua ni makabila gani tanzania ambayo wasimamizi wa mambo yote na waratibu wa majukumu ya familia ni wanawake. (matrilineal societies)

Kwa kuanzia makabila haya wanawake (mama) ndio mtendaji mkuu wa familia. Naomba mengine unayoyafahamu
1. Wachaga
2. Wahaya
3. Wakulya
4. Waha
5. Wanyak

Habari wana JF
Nahitaji kujua ni makabila gani tanzania ambayo wasimamizi wa mambo yote na waratibu wa majukumu ya familia ni wanawake. (matrilineal societies)

Kwa kuanzia makabila haya wanawake (mama) ndio mtendaji mkuu wa familia. Naomba mengine unayoyafahamu
1. Wachaga
2. Wahaya
3. Wakulya
4. Waha
5. Wanyakyusa
Sijajua mkuu hizi data umezitoa wapi. Lakini kuweka sawa hapa "Haya" is never a materenial society, labda kama una tafsiri binafsi, ama ni story tu
 
Nataka kuoa ila nataka mke anayetokea ukoo ambao mama ndio msimamizi wa familia kila kitu. Lengo kupata mama anayejituma hata nyumban anawwza kulima vimajani, kamba ya nguo ikikatika anaifunga upya n. K.
NAtaka niachane na hizi koo za kuangalia azam tv 2 na sinema zetu. Kisu kikikatika hawez kurepair
Lkn mbali zaisi watoto wapate roho ya uchapakazi waombe mfano kwa mama yao mchakalikaji. Mkuu napanga team vzr uzeeni niishi vzr c unajua tena
Wanawake familiar yangu hauwajui unataka kuoa ? ndio maana tunasema KATAA NDOA ukimuoa anakuletea visa mgombane then adai talaka mgawane Mali ulizopamba kwa jasho lako. 😂
 
Back
Top Bottom