Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Mie sikupingi hata mm upande wa mama ,ila sijawahi kuwaelewa hawaUpande wa mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie sikupingi hata mm upande wa mama ,ila sijawahi kuwaelewa hawaUpande wa mama
Hahahaha nisamehe mjomba,ujue mjomba ni mama eehKudaadeq zako ni typing Error hio Familiar wewe haujawahi kuchapia kwani.
Wanaume wa kinyanwezi ni wapole sanaMie sikupingi hata mm upande wa mama ,ila sijawahi kuwaelewa hawa
Wanyamwezi ndio kabila linaloongoza kwa utulivu,upole na ukarimu huwezi ukakuta mnyamwezi ana akili za kipuuzi.Hahahaha,hili Kabila naonaga km hawapendani hv ? Ni wajomba Zang Fulani hv
Uko sahihi kabisa, sikupingi dada anguMwanamke wa kinyamwezi na mwanaume wa kabila lingine wataenda vzr. Ila ukikuta wote wanyamwezi basi mama anakuwa na nguvu.
Huwa tunakuwa na meetings za ndugu upande wa mama, wanaume wa kinyamwezi wamezubaa hata hawana maamuzi..vikao vinaendeshwa na wamama na wana nguvu kweli kweli si utani.
MmmhWanyamwezi ndio kabila linaloongoza kwa utulivu,upole na ukarimu huwezi ukakuta mnyamwezi ana akili za kipuuzi.
Wamepitiliza upoleWanaume wa kinyanwezi ni wapole sana
Asante kwa kukazia😀Uko sahihi kabisa, sikupingi dada angu
Sisi wanyamwezi wakiume sifa zetu ni wapole na niwakarimu na hicho kikao inategemea mlikuwa mnaongelea nini ? Sisi hatupendagi upuuzi, kwenye haki tunasimamia vzr hatujisifii.Mwanamke wa kinyamwezi na mwanaume wa kabila lingine wataenda vzr. Ila ukikuta wote wanyamwezi basi mama anakuwa na nguvu.
Huwa tunakuwa na meetings za ndugu upande wa mama, wanaume wa kinyamwezi wamezubaa hata hawana maamuzi..vikao vinaendeshwa na wamama na wana nguvu kweli kweli si utani.
Chunguza Familiar alafu utakuja kuniambia watu wa Tabora jinsi tulivyo.Mmmh
NI vikao tu vya kudumisha undugu. Hamchangii na hamna maamuzi. Wake zenu na dada zenu wanawaongozaSisi wanyamwezi wakiume sifa zetu ni wapole na niwakarimu na hicho kikao inategemea mlikuwa mnaongelea nini ? Sisi hatupendagi upuuzi, kwenye haki tunasimamia vzr hatujisifii.
Kiukweli sina ushahidi wa kutosha juu ya hili. Lakini kuna pahala niliona wanasema wamwela pia wana sifa hizo. Japo sina uthibitisho juu ya hili.Umeunga mkono wahaya. Je kuna kabila jingine unaloona linamlengo huo sawa na wahaya na wasukuma na wakulya?
Wee dada mbishi kinomer, wewe kabila gani kwanza usikute nabishana na msukuma 😂NI vikao tu vya kudumisha undugu. Hamchangii na hamna maamuzi. Wake zenu na dada zenu wanawaongoza
Bila kujali kabila kama ni issue ya kuoa, tafuta mwalimu wa shule ya msingi, sekondari au chekechea. Ni wazuri kwenye uangalizi na malezi ya familia na hawana mambo mengi.Nataka kuoa ila nataka mke anayetokea ukoo ambao mama ndio msimamizi wa familia kila kitu. Lengo kupata mama anayejituma hata nyumban anawwza kulima vimajani, kamba ya nguo ikikatika anaifunga upya n. K.
NAtaka niachane na hizi koo za kuangalia azam tv 2 na sinema zetu. Kisu kikikatika hawez kurepair
Lkn mbali zaisi watoto wapate roho ya uchapakazi waombe mfano kwa mama yao mchakalikaji. Mkuu napanga team vzr uzeeni niishi vzr c unajua tena
Sio msukuma bana😀,hii tabia nimerithi kwa wanyamwezi wa kikeWee dada mbishi kinomer, wewe kabila gani kwanza usikute nabishana na msukuma 😂
Big mistake kuoa mwanamke mwenye Elimu atakusumbua FamiliarBila kujali kabila kama ni issue ya kuoa, tafuta mwalimu wa shule ya msingi, sekondari au chekechea. Ni wazuri kwenye uangalizi na malezi ya familia na hawana mambo mengi.
Sawa mama lakini chonde chonde na unyamwezi wako fake huo usije ukamtawala mwanaume utaachwa kila siku sister yangu 😂.Sio msukuma bana😀,hii tabia nimerithi kwa wanyamwezi wa kike
Loh huyu niliyenae Maasai nakoma kuringa😔Sawa mama lakini chonde chonde na unyamwezi wako fake huo usije ukamtawala mwanaume utaachwa kila siku sister yangu 😂.
Usijiloge mtu wangu. Ndio maana tunaangalia kwenda vijiniBila kujali kabila kama ni issue ya kuoa, tafuta mwalimu wa shule ya msingi, sekondari au chekechea. Ni wazuri kwenye uangalizi na malezi ya familia na hawana mambo mengi.