Makabila gani wasimamizi wa familia ni wanawake

Makabila gani wasimamizi wa familia ni wanawake

Mkuu wachaga 60% wanaume wamekufa hawa wakibosho, wauru, waoldmoahi na wamachane waliojaa mbuyuni na memoria wanawake wanafanya nn au mimi niko biased sana kwenye kupna
Wewe unachanganya mambo...
Hao unaowaona Mbuyuni, memorial....Iko hivyo tangu enzi...

Mwanamke wa Kichagga hasa Mama zetu wanapenda sana kujishughulisha...siyo watu utawakuta wamekaa tu kibarazani kama kina Mwafudenge wakizogoa...
 
Wewe unachanganya mambo...
Hao unaowaona Mbuyuni, memorial....Iko hivyo tangu enzi...

Mwanamke wa Kichagga hasa Mama zetu wanapenda sana kujishughulisha...siyo watu utawakuta wamekaa tu kibarazani kama kina Mwafudenge wakizogoa...
@mwafudenge_wakizogoa😂😂😂😂
 
Mkuu wachaga 60% wanaume wamekufa hawa wakibosho, wauru, waoldmoahi na wamachane waliojaa mbuyuni na memoria wanawake wanafanya nn au mimi niko biased sana kwenye kupna
Kwahio na wewe unataka ukafe.....
 
Loh hana hata mbuzi ni mapenzi tu
Napendaga sana wanawake wenye mapenzi ya kweli lakini asaivi Kuna matapeli hamna mapenzi ya dhati. Ndio hapo tunarudi kwenye kanuni yetu ileile MWANAUME KATAA. NDOA NI UTAPELI.
 
Napendaga sana wanawake wenye mapenzi ya kweli lakini asaivi Kuna matapeli hamna mapenzi ya dhati. Ndio hapo tunarudi kwenye kanuni yetu ileile MWANAUME KATAA. NDOA NI UTAPELI.
Ni kweli ndoa ni utapeli. Hata wanaume ambao hawana mapenzi ya kweli mpo.
Binafsi binti yangu akiniambia hataki kuolewa nitamuelewa.
 
Mkuu, nafikiri lengo lako sio kuangalia jamii zinazobase umamani/ujombani (Matrilineal society).

Lengo lako ni jamii zilizoathiriwa na mwanamke kuact kama mkuu wa kaya, mchakarikaji katika majukumu ya kuleta ugali mezani, ikitokea mwanaume yuko mbali hakuna kinachosimama.
………
1. Chaga
2. Nyakyusa
3. Kurya
4. Jaluo
5. Nyaturu
 
Habari wana JF
Nahitaji kujua ni makabila gani tanzania ambayo wasimamizi wa mambo yote na waratibu wa majukumu ya familia ni wanawake. (yaani ni makabila ambayo baba ni yupo kama picha ya mlinzi na mtoaji mahitaji ya familia na anahusika tu pale majukumu makubwa yanayohitaji maamuzi yametokea, mfn. Kuoza mtoto, kuuza kiwanja, vikao vya ukoo n. K). Ila mengine yte sijui ni mama ndio msimamizi. Familia hizi zaidi ni zike ambazo baba n mnywa pombe mama ndio mtunza familia au baba n msimamizi wa maeneo mama au wake zake ndio wakulima kuvuna na kulisha familia

Kwa kuanzia makabila haya wanawake (mama) ndio mtendaji mkuu wa familia. Naomba mengine unayoyafahamu
1. Wachaga
2. Wahaya
3. Wakulya
4. Waha
5. Nitajie kabila unalojua linamlengo huo au lina tamaduni hii

Revised& Edited
Wanyakyusa wanatawala sana waume zao. Wanaume hawafurukuti kabisa. Wanawaroga kabisa wanaume wanakuwa mabwege
 
Ni kweli ndoa ni utapeli. Hata wanaume ambao hawana mapenzi ya kweli mpo.
Binafsi binti yangu akiniambia hataki kuolewa nitamuelewa.
Dunia imeisha hii asaivi. Sijui tufanyeje ili hali irudi kama awali. Nachukia sana Utapeli wa mapenzi. Unadhani ninini kifanyike ili mambo yaende sawa kwenye suala la mahusiano.
 
Watoe wachaga hapo, labda kwa wachaga walioathirika na ulevi ambao hao ni wachache kulinganisha na wachaga wanaojitambua.
nna jamaa yangu mchaga,mkewe ndio kila kitu,jamaa kawa kama zuzu, wachaga ni mazuzu sana kwenye nyumba zao,wanawake ndio wana sauti, hawa watani zangu bure kabisa ujanja tu wa nje
 
Back
Top Bottom