Adverse Effect
JF-Expert Member
- Oct 8, 2017
- 2,049
- 5,449
Nimekusoma mkuuUsijiloge mtu wangu. Ndio maana tunaangalia kwenda vijini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekusoma mkuuUsijiloge mtu wangu. Ndio maana tunaangalia kwenda vijini
Wewe unachanganya mambo...Mkuu wachaga 60% wanaume wamekufa hawa wakibosho, wauru, waoldmoahi na wamachane waliojaa mbuyuni na memoria wanawake wanafanya nn au mimi niko biased sana kwenye kupna
Si umefata Mali zake 😁 kisa umemuona huyo Masai ana ng'ombe 50 ukapagawa mwenyewe, sahizi anakutoa roho vumilia tu. Uvumilivu ni sifa ya mwanamke mwema.Loh huyu niliyenae Maasai nakoma kuringa😔
@mwafudenge_wakizogoa😂😂😂😂Wewe unachanganya mambo...
Hao unaowaona Mbuyuni, memorial....Iko hivyo tangu enzi...
Mwanamke wa Kichagga hasa Mama zetu wanapenda sana kujishughulisha...siyo watu utawakuta wamekaa tu kibarazani kama kina Mwafudenge wakizogoa...
Loh hana hata mbuzi ni mapenzi tuSi umefata Mali zake 😁 kisa umemuona huyo Masai ana ng'ombe 50 ukapagawa mwenyewe, sahizi anakutoa roho vumilia tu. Uvumilivu ni sifa ya mwanamke mwema.
Kwahio na wewe unataka ukafe.....Mkuu wachaga 60% wanaume wamekufa hawa wakibosho, wauru, waoldmoahi na wamachane waliojaa mbuyuni na memoria wanawake wanafanya nn au mimi niko biased sana kwenye kupna
Mimi nawajua vzr maaana ni mama zangu na wajomba zangu, sioni kama mna upendoChunguza Familiar alafu utakuja kuniambia watu wa Tabora jinsi tulivyo.
Napendaga sana wanawake wenye mapenzi ya kweli lakini asaivi Kuna matapeli hamna mapenzi ya dhati. Ndio hapo tunarudi kwenye kanuni yetu ileile MWANAUME KATAA. NDOA NI UTAPELI.Loh hana hata mbuzi ni mapenzi tu
Ni kweli ndoa ni utapeli. Hata wanaume ambao hawana mapenzi ya kweli mpo.Napendaga sana wanawake wenye mapenzi ya kweli lakini asaivi Kuna matapeli hamna mapenzi ya dhati. Ndio hapo tunarudi kwenye kanuni yetu ileile MWANAUME KATAA. NDOA NI UTAPELI.
Wanyakyusa wanatawala sana waume zao. Wanaume hawafurukuti kabisa. Wanawaroga kabisa wanaume wanakuwa mabwegeHabari wana JF
Nahitaji kujua ni makabila gani tanzania ambayo wasimamizi wa mambo yote na waratibu wa majukumu ya familia ni wanawake. (yaani ni makabila ambayo baba ni yupo kama picha ya mlinzi na mtoaji mahitaji ya familia na anahusika tu pale majukumu makubwa yanayohitaji maamuzi yametokea, mfn. Kuoza mtoto, kuuza kiwanja, vikao vya ukoo n. K). Ila mengine yte sijui ni mama ndio msimamizi. Familia hizi zaidi ni zike ambazo baba n mnywa pombe mama ndio mtunza familia au baba n msimamizi wa maeneo mama au wake zake ndio wakulima kuvuna na kulisha familia
Kwa kuanzia makabila haya wanawake (mama) ndio mtendaji mkuu wa familia. Naomba mengine unayoyafahamu
1. Wachaga
2. Wahaya
3. Wakulya
4. Waha
5. Nitajie kabila unalojua linamlengo huo au lina tamaduni hii
Revised& Edited
Siyo kweli, warudishe hao wanyakyusa ndiyo namba 1Sawa nawatoa kwenye kundi. Asante kwa mrejeaho. Sema sasa lipi jingine
Dunia imeisha hii asaivi. Sijui tufanyeje ili hali irudi kama awali. Nachukia sana Utapeli wa mapenzi. Unadhani ninini kifanyike ili mambo yaende sawa kwenye suala la mahusiano.Ni kweli ndoa ni utapeli. Hata wanaume ambao hawana mapenzi ya kweli mpo.
Binafsi binti yangu akiniambia hataki kuolewa nitamuelewa.
Hatupo hivyoWanyamwezi
Mhenga mwenzangu na wewe ni mnyamwezi kumbe!Hatupo hivyo
Kabisa mzee mwenzangu, ila ni mnyamwezi wa kuchovya, hatujui hata lugha yetu 😂Mhenga mwenzangu na wewe ni mnyamwezi kumbe!
Ndio maana unanibishia..wale wanya.wezi OG kabisa wapo hivyo nilivyosema😀Kabisa mzee mwenzangu, ila ni mnyamwezi wa kuchovya, hatujui hata lugha yetu 😂
nna jamaa yangu mchaga,mkewe ndio kila kitu,jamaa kawa kama zuzu, wachaga ni mazuzu sana kwenye nyumba zao,wanawake ndio wana sauti, hawa watani zangu bure kabisa ujanja tu wa njeWatoe wachaga hapo, labda kwa wachaga walioathirika na ulevi ambao hao ni wachache kulinganisha na wachaga wanaojitambua.