Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AbsolutelyMkuu, nafikiri lengo lako sio kuangalia jamii zinazobase umamani/ujombani (Matrilineal society).
Lengo lako ni jamii zilizoathiriwa na mwanamke kuact kama mkuu wa kaya, mchakarikaji katika majukumu ya kuleta ugali mezani, ikitokea mwanaume yuko mbali hakuna kinachosimama.
………
1. Chaga
2. Nyakyusa
3. Kurya
4. Jaluo
5. Nyaturu
Sio hasa hivyo kwa makabila haya. Kuna makabila ambayo ni strictly matrilineal, yaan mama ndio anaoa, na ndiyo mpangaji na mmiliki wa kila kitu katika familia. Hapa Tanzania nafikiri Wayao kama sijakosea na makabila kadhaa kaskazini mwa Zambia, Mozambique na Malawi kama vile Wabemba. Ila kwingineka Afrika Wakikuyu wa Kenya pia ni matrilineal. Akan people wa Ghana nao.Habari wana JF
Nahitaji kujua ni makabila gani tanzania ambayo wasimamizi wa mambo yote na waratibu wa majukumu ya familia ni wanawake. (yaani ni makabila ambayo baba ni yupo kama picha ya mlinzi na mtoaji mahitaji ya familia na anahusika tu pale majukumu makubwa yanayohitaji maamuzi yametokea, mfn. Kuoza mtoto, kuuza kiwanja, vikao vya ukoo n. K). Ila mengine yte sijui ni mama ndio msimamizi. Familia hizi zaidi ni zike ambazo baba n mnywa pombe mama ndio mtunza familia au baba n msimamizi wa maeneo mama au wake zake ndio wakulima kuvuna na kulisha familia
Kwa kuanzia makabila haya wanawake (mama) ndio mtendaji mkuu wa familia. Naomba mengine unayoyafahamu
1. Wachaga
2. Wahaya
3. Wakulya
4. Waha
5. Nitajie kabila unalojua linamlengo huo au lina tamaduni hii
Revised& Edited
Basi nenda kwa Wabemba huko Zambia na hata Wayao utaolewa kule, pengine wewe na wanaume wengine kama watatu hivi mnaweza kuolewa na mwanamke mmoja kwani hawa wanawake wana tabia ya kuoa mme zaidi ya mmoja.Nataka kuoa ila nataka mke anayetokea ukoo ambao mama ndio msimamizi wa familia kila kitu. Lengo kupata mama anayejituma hata nyumban anawwza kulima vimajani, kamba ya nguo ikikatika anaifunga upya n. K.
NAtaka niachane na hizi koo za kuangalia azam tv 2 na sinema zetu. Kisu kikikatika hawez kurepair
Lkn mbali zaisi watoto wapate roho ya uchapakazi waombe mfano kwa mama yao mchakalikaji. Mkuu napanga team vzr uzeeni niishi vzr c unajua tena