Kwa wasambaa nimeishi nao hili nakubali 😀 dingi yangu mkubwa alioa huko. Mzigo anao kiaina basi ndugu hawakauki hasa dada wa mkewe na nahisi wengine aliwagonga 😂😂😂 maana mzee wangu baharia yule!wasambaa kwa tabia hizo ndo wenyewe hao ukoo mzima utahamia kwa ndugu au kama mtoto wao kaolewa na mume mwenye unafuu wa maisha basi timu nzima itaweka kambi ya pre season hapo nyumbani
Wasukuma wavivu labda ila ambao wako njema hawana hizo ratiba.Umewasahau wasukuma..
#MaendeleoHayanaChama
Alafu sisi hata harusi tu na mambo mengine hatuchangishani pesa. Huwezi kuta msukuma wa kijijini anakuja kifalafala mjini kwa ndugu yakeWasukuma ni watu wa kazi. Hata kama akija kwako hawezi kukaa kizembe.
Kama una shughuli za kufanya msukuma hawezi kukuangusha.
Ingawa magufuli alikuja kutengeneza kundi la wasukuma wapumbavu sana.
Ingawa wasukuma wengi Bado ni watu wema sana
Ambao nina uhakika nao kujazana kwa ndugu:Kuna aina ya kwanza ya makabila wana umoja lakini sio umoja wa kuwa tegemezi kama wachaga, wakinga, wakuria, n.k yaani kama wewe ni mgeni ukienda kwa ndugu utapokelewa vizuri tu lakini itabidi uwe umeshaweka ujio wako, ratiba yako ikoje, upo mpaka lini, mipango yako, n.k. kama ni kusalimiana ni sawa kukaa hata wiki 2 ila baada ya hapo unarudi kwenye shughuli zako, sahau kuweka kambi hapo ya kudumu. kama huna shughuli na umefika hapo labda muwe mshaelewana mwenyeji wako atakusaidia mtaji na kukuzoesha mazingira ya hapo ili nawe uanze kujitegemea uwe na pako.
Kuna aina ya pili ya makabila Ukiachana na yale makabila ambayo ni mengi ambayo hayataki kabisa ndugu kqenda kuwasalimia haga tutayazungumzia siku nyingine na haya na
Ila kuna hii aina ya tatu ya makabila mengine, yaani mmoja akipata utasikia kaja baba, mama, shangazi, mjomba, mtoto wa baba mkubwa, mawifi, mashemeji, n.k yaani wote wanaenda kwa mji mmoja wa mtu mwenye familia moja wanakula na kulala hapo kisa eti wamesikia anafanya benki.😅😅 hii kitu inafanya mtu ashindwe kujikwamua kiuchumi yaani mtu mshahara laki7 au laki 5 mnamgandaa hivyo hawezi tobo.
kwa wachagga wengi huu utaratibu amna.
Makabila haya kwangu niliyoyaona ni kama.
-Wanyakyusa
-Wazaramo
-wasambaa
-Wabena
Kuna ile kujifich nyuma ya kivuli cha undugu lakini inakuwa inazidi sasa, mtu hata maendeleo yanashuka
Waha🤣🤣🤣 akina ZZK nyumba kwa Spika SittaAmbao nina uhakika nao kujazana kwa ndugu:
-Wasambaa
-Wazaramo
-Watu wa kusini
Ukiona huko jiandae kisaikolojia 😂😂😂
Hv unaongelea wasukuma gani ww?Alafu sisi hata harusi tu na mambo mengine hatuchangishani pesa. Huwezi kuta msukuma wa kijijini anakuja kifalafala mjini kwa ndugu yake
Hahahahah WAHA mfano tunao kwa kijana wetu Mondi Platinumz yani 😀😀😀 huitaji degree kutambua jinsi gani kijana alivyozungukwa na wa Chigoma.Waha🤣🤣🤣 akina ZZK nyumba kwa Spika Sitta
Wewe unawajua wasukuma wa wapi?Hv unaongelea wasukuma gani ww?
Wasukuma wepi hao? Umeolewa na Kaka yao tajiri au😂😂😂Wasukuma jmn kibokooo, wanakuja hata 6 alafu jinsia tofauti mpaka unawaza uwalaze wapi?
Labda wasukuma wa masumbwe , kahama ambao kiasili sio wasukumaWasukuma wepi hao? Umeolewa na Kaka yao tajiri au😂😂😂
Wabena wa wapi hao. Umewaonea sana.Kuna aina ya kwanza ya makabila wana umoja lakini sio umoja wa kuwa tegemezi kama wachaga, wakinga, wakuria, n.k yaani kama wewe ni mgeni ukienda kwa ndugu utapokelewa vizuri tu lakini itabidi uwe umeshaweka ujio wako, ratiba yako ikoje, upo mpaka lini, mipango yako, n.k. kama ni kusalimiana ni sawa kukaa hata wiki 2 ila baada ya hapo unarudi kwenye shughuli zako, sahau kuweka kambi hapo ya kudumu. kama huna shughuli na umefika hapo labda muwe mshaelewana mwenyeji wako atakusaidia mtaji na kukuzoesha mazingira ya hapo ili nawe uanze kujitegemea uwe na pako.
Kuna aina ya pili ya makabila Ukiachana na yale makabila ambayo ni mengi ambayo hayataki kabisa ndugu kqenda kuwasalimia haga tutayazungumzia siku nyingine na haya na
Ila kuna hii aina ya tatu ya makabila mengine, yaani mmoja akipata utasikia kaja baba, mama, shangazi, mjomba, mtoto wa baba mkubwa, mawifi, mashemeji, n.k yaani wote wanaenda kwa mji mmoja wa mtu mwenye familia moja wanakula na kulala hapo kisa eti wamesikia anafanya benki.[emoji28][emoji28] hii kitu inafanya mtu ashindwe kujikwamua kiuchumi yaani mtu mshahara laki7 au laki 5 mnamgandaa hivyo hawezi tobo.
kwa wachagga wengi huu utaratibu amna.
Makabila haya kwangu niliyoyaona ni kama.
-Wanyakyusa
-Wazaramo
-wasambaa
-Wabena
Kuna ile kujifich nyuma ya kivuli cha undugu lakini inakuwa inazidi sasa, mtu hata maendeleo yanashuka
Wajaluo umekosea pakubwaaa hiyo tabia ni wahaBila kuwasahau wajaluo na warangi?
Kwa wasambaa nimeishi nao hili nakubali [emoji3] dingi yangu mkubwa alioa huko. Mzigo anao kiaina basi ndugu hawakauki hasa dada wa mkewe na nahisi wengine aliwagonga [emoji23][emoji23][emoji23] maana mzee wangu baharia yule!