Makabila haya mtu ukifanikiwa jiandae kujaza ndugu tegemezi kwako ama kukuomba misaada kila mara, ukikataa unaonekana huna undugu

Makabila haya mtu ukifanikiwa jiandae kujaza ndugu tegemezi kwako ama kukuomba misaada kila mara, ukikataa unaonekana huna undugu

Kuna aina ya kwanza ya makabila wana umoja lakini sio umoja wa kuwa tegemezi kama wachaga, wakinga, wakuria, n.k yaani kama wewe ni mgeni ukienda kwa ndugu utapokelewa vizuri tu lakini itabidi uwe umeshaweka ujio wako, ratiba yako ikoje, upo mpaka lini, mipango yako, n.k. kama ni kusalimiana ni sawa kukaa hata wiki 2 ila baada ya hapo unarudi kwenye shughuli zako, sahau kuweka kambi hapo ya kudumu. kama huna shughuli na umefika hapo labda muwe mshaelewana mwenyeji wako atakusaidia mtaji na kukuzoesha mazingira ya hapo ili nawe uanze kujitegemea uwe na pako.

Kuna aina ya pili ya makabila Ukiachana na yale makabila ambayo ni mengi ambayo hayataki kabisa ndugu kqenda kuwasalimia haga tutayazungumzia siku nyingine na haya na


Ila kuna hii aina ya tatu ya makabila mengine, yaani mmoja akipata utasikia shangazi, mjomba, mtoto wa baba mkubwa, mawifi, mashemeji, n.k yaani wote wanaenda kwa mji mmoja wa mtu mwenye familia moja wanakula na kulala hapo kisa eti wamesikia anafanya benki.😅😅 hii kitu inafanya mtu ashindwe kujikwamua kiuchumi yaani mtu mshahara laki7 au laki 5 mnamgandaa hivyo hawezi tobo.
kwa wachagga wengi huu utaratibu amna.

Makabila haya kwangu niliyoyaona ni kama.

-Wanyakyusa
-Wazaramo
-wasambaa
-Wabena


Kuna ile kujifich nyuma ya kivuli cha undugu lakini inakuwa inazidi sasa, mtu hata maendeleo yanashuka
Bila waha list haijakamilika
 
Wasukuma ni watu wa kazi. Hata kama akija kwako hawezi kukaa kizembe.

Kama una shughuli za kufanya msukuma hawezi kukuangusha.

Ingawa magufuli alikuja kutengeneza kundi la wasukuma wapumbavu sana.

Ingawa wasukuma wengi Bado ni watu wema sana
Wasukuma watakupendacukiwa huna kitu ila ukianza kutoboa wana roho mbaya sana
Pia ni waktili sana wanaua sana wazee vijijini huko kuwasingizia uchawi,usiwachukulie poa
 
Yote hiyo ni sababu ya umaskini tu. Lakini kama mtu anajiweza anawezaje kwenda kwa mtu kukaa tu. Kama una connection wape waweze kujitegemea. Kuna leo na kesho mzee
 
Kuna aina ya kwanza ya makabila wana umoja lakini sio umoja wa kuwa tegemezi kama wachaga, wakinga, wakuria, n.k yaani kama wewe ni mgeni ukienda kwa ndugu utapokelewa vizuri tu lakini itabidi uwe umeshaweka ujio wako, ratiba yako ikoje, upo mpaka lini, mipango yako, n.k. kama ni kusalimiana ni sawa kukaa hata wiki 2 ila baada ya hapo unarudi kwenye shughuli zako, sahau kuweka kambi hapo ya kudumu. kama huna shughuli na umefika hapo labda muwe mshaelewana mwenyeji wako atakusaidia mtaji na kukuzoesha mazingira ya hapo ili nawe uanze kujitegemea uwe na pako.

Kuna aina ya pili ya makabila Ukiachana na yale makabila ambayo ni mengi ambayo hayataki kabisa ndugu kqenda kuwasalimia haga tutayazungumzia siku nyingine na haya na


Ila kuna hii aina ya tatu ya makabila, yaani mmoja akipata ajira na awe na makazi hasa nje ya mikoa waliyoyokea basi wenzake watamfata kwenda kujazana kwake... Na hii pia inahusika ukioa makabila ya aina haya basi utegemee ndugu wa mkeo kujazana hapo kwako. yani mashangazi, wajomba, watoto wa baba mkubwa, mawifi, mashemeji, n.k kati yao hawakosi hapo si chini ya nne wote wanaenda kwa mji wa mtu wao kwenda kuishi huko huko kwa mda mrefu... wanakula na kulala hapo kisa eti wamesikia anafanya benki.[emoji28][emoji28] hii kitu inafanya mtu ashindwe kujikwamua kiuchumi yaani mtu mshahara laki7 au laki 5 mnamgandaa hivyo hawezi tobo.
kwa wachagga wengi huu utaratibu amna.

Makabila haya kwangu niliyoyaona ni kama.

-Wanyakyusa
-Wazaramo
-wasambaa
-wasukuma
-Wabena
-wanyamwezi
-waha




Kuna ile kujifich nyuma ya kivuli cha undugu lakini inakuwa inazidi sasa, mtu hata maendeleo yanashuka
Kilichokufanya uweke mnyakyusa hapo namba moja ni nn? Una lako jambo sio bure

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwa wasambaa nimeishi nao hili nakubali 😀 dingi yangu mkubwa alioa huko. Mzigo anao kiaina basi ndugu hawakauki hasa dada wa mkewe na nahisi wengine aliwagonga 😂😂😂 maana mzee wangu baharia yule!
Yaan hao kama ukimuoa dada yao alafu ana wadogo zake wa kike basi utabandua wote maana wote watakuja kujazana kwako hao makaka zao na wajomba zao wote watakuja
 
Kilichokufanya uweke mnyakyusa hapo namba moja ni nn? Una lako jambo sio bure

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wanyakyusa wanaupa undugu uzito mkubwa sana hata uwe ule ambao ni wa kizazi cha babu zake,,,, yani hata mjukuu wa mke wa baba mdogo wa babu si ajabu undugu ukawa unaendelea hapo, wanyakyusa wameendekeza sana undgugu, hii inapelekea hata kujazana kwenye nyumba
 
Back
Top Bottom