Makabila haya yanaongoza kwa kuwekana wao kwa wao kwenye nafasi za Umma

Makabila haya yanaongoza kwa kuwekana wao kwa wao kwenye nafasi za Umma

Hapo unazungumzia simulizi. Toa mfano.

Wachaga wasomi ni wengi. Hata darasa la watoto 30 huko Lindi si ajabu ukakuta wachaga wako 5 hadi 10.

Wanyakyusa wameshika ofisi ipi na ipi, na wamemsaidia nani?

Wasukuma kwa idadi ni wengi, waliosoma ni wengi, ingawa ambao hawajasoma ni wengi zaidi.

Hayo makabila, wachaga, wasukuma yameshika nafasi nyingi, si kwa sababu wanapendeleana. Wenye shule wako wengi. Wanyakyusa, unawasingizia. Labda enzi za Nsekela na Mwaikambo. Wanyakyusa hata kusaidiana ni kugumu, watu wote watokao nyanda za juu kusini hawapendi kubebana.
Wahaya!
 
kuweka watu wa kabila lako kwenye kampuni yako ama biashara yako binafsi ni ruksa maana mwisho wa siku hata hasara ni yako mwenyewe, Lakini ajabu mambo haya yanafanyika serikalini kwenye mjumuiko wa taifa zima bado mtu anaweka kipaumbele kwenye jamii anayotokea hata kama wapo wenye sifa chache

1. Wachaga.
2. Wasukuma
3. Wanyakyusa

Wahaya at least.
nafasi ya wachaga weka wahaya!!! wachaga wanajitegemea mazee!!
 
kuweka watu wa kabila lako kwenye kampuni yako ama biashara yako binafsi ni ruksa maana mwisho wa siku hata hasara ni yako mwenyewe, Lakini ajabu mambo haya yanafanyika serikalini kwenye mjumuiko wa taifa zima bado mtu anaweka kipaumbele kwenye jamii anayotokea hata kama wapo wenye sifa chache

1. Wachaga.
2. Wasukuma
3. Wanyakyusa

Wahaya at least.
Mmh wasukuma unewaonea mkuu au mi ndo siwafaham vzr
Wahaya at least?😳
 
kuweka watu wa kabila lako kwenye kampuni yako ama biashara yako binafsi ni ruksa maana mwisho wa siku hata hasara ni yako mwenyewe, Lakini ajabu mambo haya yanafanyika serikalini kwenye mjumuiko wa taifa zima bado mtu anaweka kipaumbele kwenye jamii anayotokea hata kama wapo wenye sifa chache

1. Wachaga.
2. Wasukuma
3. Wanyakyusa
4.Wahaya
miyeyusho sana hao watu... ila wachaga,wahaya na wanyakyusa hiyo nafasi ya kwanza wanaigombania
 
Unawajua wajaluo na wairaq? Siyo wengi sana lkn Wana unduguzation sana
 
kuweka watu wa kabila lako kwenye kampuni yako ama biashara yako binafsi ni ruksa maana mwisho wa siku hata hasara ni yako mwenyewe, Lakini ajabu mambo haya yanafanyika serikalini kwenye mjumuiko wa taifa zima bado mtu anaweka kipaumbele kwenye jamii anayotokea hata kama wapo wenye sifa chache

1. Wachaga.
2. Wasukuma
3. Wanyakyusa
4.Wahaya
Hao hasa #1 wamesoma sana kule kwao kila kijiji kina shule ya sekondari na wanaongoza nchi hii pamoja na ka-mkoa kao kadogo sana wanaishinda Dar na mikoa mingine kwa shule. Pia kiuchumi wapo freshi sio ajabu wamejaa Kariakoo na TRA pia! Hao wengine ndio sheeda hasa #2 na #4.
 
Wachagga tukosekane kila mahali hhhhhhhhhhhhhhh[emoji126]
 
Back
Top Bottom