Makabila haya yanaongoza kwa kuwekana wao kwa wao kwenye nafasi za Umma

Makabila haya yanaongoza kwa kuwekana wao kwa wao kwenye nafasi za Umma

Hapo unazungumzia simulizi. Toa mfano.

Wachaga wasomi ni wengi. Hata darasa la watoto 30 huko Lindi si ajabu ukakuta wachaga wako 5 hadi 10.

Wanyakyusa wameshika ofisi ipi na ipi, na wamemsaidia nani?

Wasukuma kwa idadi ni wengi, waliosoma ni wengi, ingawa ambao hawajasoma ni wengi zaidi.

Hayo makabila, wachaga, wasukuma yameshika nafasi nyingi, si kwa sababu wanapendeleana. Wenye shule wako wengi. Wanyakyusa, unawasingizia. Labda enzi za Nsekela na Mwaikambo. Wanyakyusa hata kusaidiana ni kugumu, watu wote watokao nyanda za juu kusini hawapendi kubebana.
Me mwenyewe mnyaki mpaka Leo na hasle kusambaza baasha nakuta wachaga tu, wanyaki sizani kama wanabebana.
 
Back
Top Bottom