Makabila haya yanaongoza kwa kuwekana wao kwa wao kwenye nafasi za Umma

Wahaya!
 
nafasi ya wachaga weka wahaya!!! wachaga wanajitegemea mazee!!
 
Mmh wasukuma unewaonea mkuu au mi ndo siwafaham vzr
Wahaya at least?😳
 
miyeyusho sana hao watu... ila wachaga,wahaya na wanyakyusa hiyo nafasi ya kwanza wanaigombania
 
Unawajua wajaluo na wairaq? Siyo wengi sana lkn Wana unduguzation sana
 
Hao hasa #1 wamesoma sana kule kwao kila kijiji kina shule ya sekondari na wanaongoza nchi hii pamoja na ka-mkoa kao kadogo sana wanaishinda Dar na mikoa mingine kwa shule. Pia kiuchumi wapo freshi sio ajabu wamejaa Kariakoo na TRA pia! Hao wengine ndio sheeda hasa #2 na #4.
 
NI Ujinga tu, hasa wa Watu weusi
 
Wachagga tukosekane kila mahali hhhhhhhhhhhhhhh[emoji126]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…