Makabila haya yanaongoza kwa ulevi Tanzania, yanaongoza kwa akili pia

Makabila haya yanaongoza kwa ulevi Tanzania, yanaongoza kwa akili pia

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
1. Wachagga: hivi kuna mchaga asiye kunywa pombe? Nahisi atakuwa anatumia dawa, ila hakuna asiejua wachaga kwenye utafutaji,akili na maendeleo pia.

2. Wanyakyusa: kwanza kabisa Mbeya hakujawahi kutokea njaa na mkoa wa Mbeya ukiacha kulima Tanzania kutakuwa na baa la njaa. Hawa watu wanapiga pombe sio masihara, pamoja na utumiaji huo wa kileo lakini Mbeya kuna maendeleo.

3. Wahaya: nani asiyejua wahaya darasani, vyuoni na maofisini? Kwa takwimu zisizo rasmi wanaongoza kwa kuwa na maprofesa wengi. Pamoja na usomi wao lakini kwenye pombe, sio watu wabana pesa. Inasemekana mwisho wa mwaka pombe za ghali kama Hennessy, Hennessy, Jack Daniels n.k ziliishajini Bukoba.

Bonus: Wahehe, kwanza ni wasomi wazuri tu, ni majasiri toka zamani lakini mitingi wanapiga sana. Sijui mengi kuhusu Iringa.

Sasa swali kwa msiokunywa pombe mbona maendeleo yenu ya kawaida kuliko wanaokunywa? Je, dhana ya pombe inasababisha umasikini ni kweli ama si kweli?
 
Pombe inaharibu uchumi hadi akili. (Kamata hiyo kwanza) baada ya uchumi kuharibiwa na pombe then akili nayo inakurupushwa kuwa hali si shwari!! Akili inaamka kama ilivyo na kufanya maamuzi ya kishindo! Umenipata? Mtu aliyepoteza hela ya bosi kwenye pombe wakati asubuhi anatakiwa airejeshe anaju vizuri jinsi anavyo lazimika kuwa aggressive ili kupata nyingine ya kufidia.

Hata ukimwambia akuuzie mtoto wake hawazi mara mbili. Akiendelea hivyo inakuwa ndiyo tabia yake, muda wote atakuwa resi kuzisaka na kuzispendi, na angalau kujiwekezea zaidi na zaidi ili aweze kumudu gharama za maisha yake ya kijinga, mwisho anakuwa tajiri mwenye mali nyingi na matumizi mengi, ila kwenye hili kunahitajika proper equation. Dont try it
 
Ebu tuachane na makabila tuangie na mtu mmoja mmoja kwanza,then tupeane mrejesho je hii ni kweli?
 
Pombe inaharibu uchumi hadi akili!! (Kamata hiyo kwanza)baada ya uchumi kuharibiwa na pombe then akili nayo inakurupushwa kuwa hali si shwari!! Akili inaamka kama ilivyo na kufanya maamuzi ya kishindo! Umenipata? Mtu aliyepoteza hela ya bosi kwenye pombe wakati asubuhi anatakiwa airejeshe anaju vizuri jinsi anavyo lazimika kuwa aggressive ili kupata nyingine ya kufidia!! Hata ukimwambia akuuzie mtoto wake hawazi mara mbili!! Akiendelea hivyo inakuwa ndiyo tabia yake,muda wote atakuwa resi kuzisaka na kuzispend,na angalau kujiwekezea zaidi na zaidi ili aweze kumudu gharama za maisha yake ya kijinga,mwisho anakuwa tajiri mwenye mali nyingi na matumizi mengi, ila kwenye hili kunahitajika proper equation!!! Dont try it
UCHUMI wa Russia umeharibiwa na pombe, eti ehh?
 
Back
Top Bottom