cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Wangoni hoyeeeeeeeeh.Si wale wa Ruvuma? Afu wana madem wakali sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangoni hoyeeeeeeeeh.Si wale wa Ruvuma? Afu wana madem wakali sana.
Babu bhana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umetumwa wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtuache wangoni bhana, Kwan hamjui Ngono tamuuuuh? HahahahNasikia wanasemaga eti siku zote Mngoni mpe pesa atafikisha ila sio mke. [emoji3]
Ndio ukweli wenyewe sasa, [emoji419][emoji419][emoji419]Na huo utabak kuwa ukweli,mm sitoki mikoa hiyo lakini nimekaa nao sana. Bila watu wa mikoani Dar ingekuwa kama bagamoyo tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani nimecheka mbavu sina lol. Wangoni on the truck.hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Kuna rafiki yangu mngoni akiona mwanamke mzuri barabarani hata kama alikuwa akitoa stori ya maana kiasi gani husahau story yote hadi akumbushwe alichokuwa akisema! 😀
Kwani hujui chini kutamuuuuu? [emoji23][emoji23][emoji23]Asees hao raia wanapenda chini balaaa si wanaume wala wanawake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahnitakuzaba vibao
Hii haina tofauti na ile dhana ya ulaji wa samaki kupelekea kua na akili1. Wachagga: hivi kuna mchaga asiye kunywa pombe? Nahisi atakuwa anatumia dawa, ila hakuna asiejua wachaga kwenye utafutaji,akili na maendeleo pia.
2. Wanyakyusa: kwanza kabisa Mbeya hakujawahi kutokea njaa na mkoa wa Mbeya ukiacha kulima Tanzania kutakuwa na baa la njaa. Hawa watu wanapiga pombe sio masihara, pamoja na utumiaji huo wa kileo lakini Mbeya kuna maendeleo.
3. Wahaya: nani asiyejua wahaya darasani, vyuoni na maofisini? Kwa takwimu zisizo rasmi wanaongoza kwa kuwa na maprofesa wengi. Pamoja na usomi wao lakini kwenye pombe, sio watu wabana pesa. Inasemekana mwisho wa mwaka pombe za ghali kama Hennessy, Hennessy, Jack Daniels n.k ziliishajini Bukoba.
Bonus: Wahehe, kwanza ni wasomi wazuri tu, ni majasiri toka zamani lakini mitingi wanapiga sana. Sijui mengi kuhusu Iringa.
Sasa swali kwa msiokunywa pombe mbona maendeleo yenu ya kawaida kuliko wanaokunywa? Je, dhana ya pombe inasababisha umasikini ni kweli ama si kweli?
unamaanisha pombe ndio inaleta maendeleo ya kitaifa in technology, maadili na uchumi?Wewe wasema
Wachaga wanakunywa pombe kwa akili wala siyo wote wanaokunywa pombe idadi kubwa ni ya wale wasiokunywa ila kuna kabila la wangoni, wamasai wote walevi hadi wanawake1. Wachagga: hivi kuna mchaga asiye kunywa pombe? Nahisi atakuwa anatumia dawa, ila hakuna asiejua wachaga kwenye utafutaji,akili na maendeleo pia.
2. Wanyakyusa: kwanza kabisa Mbeya hakujawahi kutokea njaa na mkoa wa Mbeya ukiacha kulima Tanzania kutakuwa na baa la njaa. Hawa watu wanapiga pombe sio masihara, pamoja na utumiaji huo wa kileo lakini Mbeya kuna maendeleo.
3. Wahaya: nani asiyejua wahaya darasani, vyuoni na maofisini? Kwa takwimu zisizo rasmi wanaongoza kwa kuwa na maprofesa wengi. Pamoja na usomi wao lakini kwenye pombe, sio watu wabana pesa. Inasemekana mwisho wa mwaka pombe za ghali kama Hennessy, Hennessy, Jack Daniels n.k ziliishajini Bukoba.
Bonus: Wahehe, kwanza ni wasomi wazuri tu, ni majasiri toka zamani lakini mitingi wanapiga sana. Sijui mengi kuhusu Iringa.
Sasa swali kwa msiokunywa pombe mbona maendeleo yenu ya kawaida kuliko wanaokunywa? Je, dhana ya pombe inasababisha umasikini ni kweli ama si kweli?
Nakubali, but not to that extent (in Jiwe's voice)Kwani hujui chini kutamuuuuu? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaa ila mmezidi jamani. Chaaaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtuache wangoni bhana, Kwan hamjui Ngono tamuuuuh? Hahahah
Miss u madame
Hakuna mbantu anayeendesha hii nchi kwa muktadha unaouleta. Hii nchi inaendeshwa na watanzania wenye asili ya asia.Hivi unajua makabila haya wanyakyusa, wachaga na wahaya ndio wanaoendesha nchi kwa utajiri, usomi na maendeleo kidogo na wakinga pekua utajua
Kabla ya uhuru na baada ya uhuru Dar ilikuwaje? Unafahamu kuwa wabantu wa mbali na hayo makabila walikuwa na majengo makubwa tu kariakoo na kufanya biashara na kujiwekeza kwa aina tofauti?Na huo utabak kuwa ukweli,mm sitoki mikoa hiyo lakini nimekaa nao sana. Bila watu wa mikoani Dar ingekuwa kama bagamoyo tu
Miongoni mwa tamaduni ya wajerumani ni kufanya kazi na kusoma. Wanafahamu elimu ni nini na imewasaidiaje! Ndiyo maana elimu kwao haikufanywa ghali kama mataifa mengine.Germany ni kati ya nchi zinazoongoza kwa unywaji wa pombe na ni kati ya nchi yenye watu wenye akili sana na maendeleo makubwa kisayansi na kiuchumi. Somalia hakuna baa hata moja ila hali zao mnazijua
Aaaah wee acha miili ipewe ile kitu inapenda,Nakubali, but not to that extent (in Jiwe's voice)
Inshaaallah Madame.Hahahaa ila mmezidi jamani. Chaaaa.
Miss u pia. Nipo mzima wa afya mie.
Unatudanganya mkuu, top ten ya billionaires ni wahindi na waarabu hakuna mbongo hata mmoja walikuwepo Mengi na Ali Mufuruki ambao they are no more.Hivi unajua makabila haya wanyakyusa, wachaga na wahaya ndio wanaoendesha nchi kwa utajiri, usomi na maendeleo kidogo na wakinga pekua utajua
Jibu unalo mwenyewe,kwanin wanywaji ndio wenye akili na maendeleo?
Mbona ukienda Mbeya , Kagera na Kilimanjaro maskini kibao tu,Na huo utabak kuwa ukweli,mm sitoki mikoa hiyo lakini nimekaa nao sana. Bila watu wa mikoani Dar ingekuwa kama bagamoyo tu