Makabila haya yanaongoza kwa ulevi Tanzania, yanaongoza kwa akili pia

Makabila haya yanaongoza kwa ulevi Tanzania, yanaongoza kwa akili pia

Unazungumzia pombe zipi za kisasa zile zenye za TBS na zimepimwa au zile za kwenye lita kila mtu anakunywa na inzi wanadumbukia na wanapochota mpaka mikono inadubumbukia kwenye ndoo
 
1. Wachagga: hivi kuna mchaga asiye kunywa pombe? Nahisi atakuwa anatumia dawa, ila hakuna asiejua wachaga kwenye utafutaji,akili na maendeleo pia.

2. Wanyakyusa: kwanza kabisa Mbeya hakujawahi kutokea njaa na mkoa wa Mbeya ukiacha kulima Tanzania kutakuwa na baa la njaa. Hawa watu wanapiga pombe sio masihara, pamoja na utumiaji huo wa kileo lakini Mbeya kuna maendeleo.

3. Wahaya: nani asiyejua wahaya darasani,vyuoni na maofisini? Kwa takwimu zisizo rasmi wanaongoza kwa kuwa na maprofesa wengi. Pamoja na usomi wao lakini kwenye pombe,sio watu wabana pesa. Inasemekana mwisho wa mwaka pombe za ghali kama Hennessy, Hennessy, jackdaniel n.k ziliishajini Bukoba.

Bonus: Wahehe, kwanza ni wasomi wazuri tu,ni majasiri toka zamani lakini mitingi wanapiga sana. Sijui mengi kuhusu Iringa.

Sasa swali kwa msiokunywa pombe mbona maendeleo yenu ya kawaida kuliko wanaokunywa? Je, dhana ya pombe inasababisha umasikini ni kweli ama si kweli?
Eti akili darasani.Fanya utafiti.No research no right to speak.
 
Mtu akilewa Mara nyingi anaongea Ukweli tu Huo ndio Msingi wa Kulewa
Iko hivi, SIo Ukweli tuu hata Uongo unaweza ukaongelewa;
Kimsingi ni kwamba Mtu napokunywa pombe ndio anakuwa mtu halisi; Wengi huwa anaona labda yupo out of concious lakini binafsi sidhani kama ni kweli.
Anapokuwa amelewa, hajizuii kwa chochote, maana anakuwa out of Control na mwili wake; Lakini kama hujalewa watu huwa wanajizuia sana kufanya baadhi ya mambo kuhofia aibu, credibility, heshima yao kupotea kwenye jamii etc, lakini ukilewa hujizuii;
Kama mtu ni wa kutukana, akiwa hajaliewa anaweza kujizuia kutoa matusi, lakini akilewa ndo anakuwa Mtu halisi.
 
2021 unajadili makabila ungebaki huko kwenu.
 
Pombe inaharibu uchumi hadi akili!! (Kamata hiyo kwanza)baada ya uchumi kuharibiwa na pombe then akili nayo inakurupushwa kuwa hali si shwari!! Akili inaamka kama ilivyo na kufanya maamuzi ya kishindo! Umenipata? Mtu aliyepoteza hela ya bosi kwenye pombe wakati asubuhi anatakiwa airejeshe anaju vizuri jinsi anavyo lazimika kuwa aggressive ili kupata nyingine ya kufidia!! Hata ukimwambia akuuzie mtoto wake hawazi mara mbili!! Akiendelea hivyo inakuwa ndiyo tabia yake,muda wote atakuwa resi kuzisaka na kuzispend,na angalau kujiwekezea zaidi na zaidi ili aweze kumudu gharama za maisha yake ya kijinga,mwisho anakuwa tajiri mwenye mali nyingi na matumizi mengi, ila kwenye hili kunahitajika proper equation!!! Dont try it
Pombe inyweke kwa staha tu baaas. Nilikunywa nikaacha mwaka juzi.
 
1. Wachagga: hivi kuna mchaga asiye kunywa pombe? Nahisi atakuwa anatumia dawa, ila hakuna asiejua wachaga kwenye utafutaji,akili na maendeleo pia.

2. Wanyakyusa: kwanza kabisa Mbeya hakujawahi kutokea njaa na mkoa wa Mbeya ukiacha kulima Tanzania kutakuwa na baa la njaa. Hawa watu wanapiga pombe sio masihara, pamoja na utumiaji huo wa kileo lakini Mbeya kuna maendeleo.

3. Wahaya: nani asiyejua wahaya darasani, vyuoni na maofisini? Kwa takwimu zisizo rasmi wanaongoza kwa kuwa na maprofesa wengi. Pamoja na usomi wao lakini kwenye pombe, sio watu wabana pesa. Inasemekana mwisho wa mwaka pombe za ghali kama Hennessy, Hennessy, Jack Daniels n.k ziliishajini Bukoba.

Bonus: Wahehe, kwanza ni wasomi wazuri tu, ni majasiri toka zamani lakini mitingi wanapiga sana. Sijui mengi kuhusu Iringa.

Sasa swali kwa msiokunywa pombe mbona maendeleo yenu ya kawaida kuliko wanaokunywa? Je, dhana ya pombe inasababisha umasikini ni kweli ama si kweli?
Germany ni kati ya nchi zinazoongoza kwa unywaji wa pombe na ni kati ya nchi yenye watu wenye akili sana na maendeleo makubwa kisayansi na kiuchumi. Somalia hakuna baa hata moja ila hali zao mnazijua
 
Germany ni kati ya nchi zinazoongoza kwa unywaji wa pombe na ni kati ya nchi yenye watu wenye akili sana na maendeleo makubwa kisayansi na kiuchumi. Somalia hakuna baa hata moja ila hali zao mnazijua
So unamaanisha pombe ndio inaleta maendeleo ya kitaifa in technology, maadili na uchumi?
 
Germany ni kati ya nchi zinazoongoza kwa unywaji wa pombe na ni kati ya nchi yenye watu wenye akili sana na maendeleo makubwa kisayansi na kiuchumi. Somalia hakuna baa hata moja ila hali zao mnazijua
🤣🤣🤣🤣
 
Wangoni wao pombe na wanawake. Akili kichwani za kawaida sana na hawapendi kuendeleza kwao.
Wee sisi wangoni tupo vizuri kichwani, but sio wote ambao hawapendi kuendeleza kwetu,
Pombe na ngono kwetu ni chakula. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom