Makabila haya yanaongoza kwa ulevi Tanzania, yanaongoza kwa akili pia

Makabila haya yanaongoza kwa ulevi Tanzania, yanaongoza kwa akili pia

Kabla ya uhuru na baada ya uhuru Dar ilikuwaje? Unafahamu kuwa wabantu wa mbali na hayo makabila walikuwa na majengo makubwa tu kariakoo na kufanya biashara na kujiwekeza kwa aina tofauti?

Ikiwa Dar bila watu wa mikoani ingekuwa kama Bagamoyo vipi hao waliyotoka mikoani imekuwaje mikoa yao haikuendelelea kabla ya Dar?
Imetokana na serikali kupendelea kila fursa,kama kungekuwa na majimbo kungekuwa na mgawanyo sawa
 
Unatudanganya mkuu, top ten ya billionaires ni wahindi na waarabu hakuna mbongo hata mmoja walikuwepo Mengi na Ali Mufuruki ambao they are no more.
Orgin ya waindi ni Tanzania?
 
Unatudanganya mkuu, top ten ya billionaires ni wahindi na waarabu hakuna mbongo hata mmoja walikuwepo Mengi na Ali Mufuruki ambao they are no more.
Yaani wewe ni kilaza kabisa hao wanje wanakuhusu nini wanarisishana tu hao halafu eti kabisaa waarabu???tafuta real tanzania mahotel makubwa mfano piccock, landmark ambayo sasa wameyageuza myanyakyusa anamiliki na sio hayo tu tembea mikoani kisha uliza makabila hayo kwa uchacharikaji nakupa hiyo kilaza wewe mbaka leo unasifia tu mwarabu ambao wanahesabika mbona kwao huko masikini kibao
 
Back
Top Bottom