Makabila haya yanaongoza kwa ulevi Tanzania, yanaongoza kwa akili pia

Mtoa Maada atakuwa nae Mchaga amekuja kujionesha anachangia Pato la Taifa Kupitia Pombe, Ni kweli kabisa Wanywaji Pombe Wanaushirikiano na Mtu akilewa Mara nyingi anaongea Ukweli tu Huo ndio Msingi wa Kulewa. Ndio Maana watu wakilewa wanaanza kukutambulisha bila hata kuwauliza kazi zao Mara huyu TRA, Takukuru, Polisi, Jwtz, Mwalimu, Daktari, Tiss, Mgambo, Madini, Boss, Mkuu wa Kitengo na Wengine kibao Hiyo ndio Raha ya Pombe [emoji3]
 
Mi mzaramo sema ni mtu wa kujichanganya
 

Umefunga uzi Mkuu 😀
 
Aisee mbona unatuzarau wa Gamboshi, utaipata habari yako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…