Makabila haya, yanaweza kuwa na makando kando mengine lakini suala la uchawi ni nadra kwao

Makabila haya, yanaweza kuwa na makando kando mengine lakini suala la uchawi ni nadra kwao

Uchawi umekuwa ukisumbua jamii nyingi sana watu hulalamika kulogana ama kutupia mtu jini pale anapopiga hatua, malimbwata ya mapenzi, kutupiana mabusha, kufunga vizazi, wanga wa usiku, n.k.

Pamoja na haya, kuna haya makabila machache nimeona mambo ya uchawi ni adimu (sio kwamba hamna kabisa), ni ngumu kukuta hata waganga wa kuroga katika vijiji vya makabila haya, Mtu wa huku akitaka uchawi itambidi asasafiri kwenda makabila mengine kununua uchawi.

1. Wachaga - Huko kwao ni ngumu kukuta mambo ya uchawi, sehemu ya karibu kuupata uchawi ni kusafiri uende kwa waganga wapare

2. Wakurya - Huko kwao ni ngumu kukuta mambo ya uchawi, sehemu ya karibu kuupata uchawi ni kusafiri uende kwa waganga wajaluo ama wajita.

3. Wamasai - Huko kwao ni ngumu kukuta mambo ya uchawi, sehemu ya karibu kuupata uchawi ni kusafiri uende kwa waganga warangi ama wambulu (wairaqw)
Wamasai ni wachawi
 
Hivi kwa wajita na wakwaya wapi haya mambo ya ushirikina yamezidi ?
Wanalingana tu, labda tofauti ni kuwa wajita ni wengi kwa idadi kuliko wakwaya, hivyo inaweza kuonekana wajita ni wachawi zaidi kuliko wakwaya ila wanaendana
 
Mleta mada haupo serious...Tanzania hii hakuna kabila ambalo halijihusishi kabisa na mambo ya ushirikina/uchawi & uganga.
Ila labda ungezungumzia kiwango ningekubaliana na wewe. Maana yapo makabila kwenye masuala hayo hawayahusudu sana labda litokee tatizo kubwa.....na yapo makabila ambayo wao hawafanyi chochote bila kufanya ushirikina yaani kilakitu kinaenda kwa imani ya kichwani na uganga.
Na umetaja makabila matatu ambayo umesema hayajihusishi kabisa na masuala ya uganga/ uchawi/mizimu.
Tuanze na Wakurya hapa utakutana na mkurya mwenye asili yake UMUGHAKA atakupa a,b,c
 
Uchawi umekuwa ukisumbua jamii nyingi sana watu hulalamika kulogana ama kutupia mtu jini pale anapopiga hatua, malimbwata ya mapenzi, kutupiana mabusha, kufunga vizazi, wanga wa usiku, n.k.

Pamoja na haya, kuna haya makabila machache nimeona mambo ya uchawi ni adimu, ni ngumu kukuta uchawi wa asili katika makabila haya, Mtu wa huku akitaka uchawi itambidi asasafiri kwenda makabila mengine.

1. Wamasai - Huko kwao ni ngumu kukuta uchawi wa asili yao, sehemu ya karibu kuupata uchawi ni kusafiri uende kwa waganga warangi ama wambulu (wairaqw)

2. Wachaga - Huko kwao ni ngumu kukuta uchawi wa asili yao, sehemu ya karibu kuupata uchawi ni kusafiri uende kwa waganga wapare

2. Wakurya - Huko kwao ni ngumu kukuta uchawi wa asili yao, sehemu ya karibu kuupata uchawi ni kusafiri uende kwa waganga wajaluo ama wajita.
Wakurya ni wachawi, wengine sawa.Uchawi wa kikurya ni wa kichifu ila mpaka ukitumika vibaya ndio unaitwa uchawi.Yaani ukigeuzwa matumizi.
 
Mleta mada haupo serious...Tanzania hii hakuna kabila ambalo halijihusishi kabisa na mambo ya ushirikina/uchawi & uganga.
Ila labda ungezungumzia kiwango ningekubaliana na wewe. Maana yapo makabila kwenye masuala hayo hawayahusudu sana labda litokee tatizo kubwa.....na yapo makabila ambayo wao hawafanyi chochote bila kufanya ushirikina yaani kilakitu kinaenda kwa imani ya kichwani na uganga.
Na umetaja makabila matatu ambayo umesema hayajihusishi kabisa na masuala ya uganga/ uchawi/mizimu.
Tuanze na Wakurya hapa utakutana na mkurya mwenye asili yake UMUGHAKA atakupa a,b,c
Mkuu wakurya siyo wachawi
 
Wachaga gani hao unazungumzia?
Screenshot_20230323-161311.jpg
 
Uchawi umekuwa ukisumbua jamii nyingi sana watu hulalamika kulogana ama kutupia mtu jini pale anapopiga hatua, malimbwata ya mapenzi, kutupiana mabusha, kufunga vizazi, wanga wa usiku, n.k.

Pamoja na haya, kuna haya makabila machache nimeona mambo ya uchawi ni adimu, ni ngumu kukuta uchawi wa asili katika makabila haya, Mtu wa huku akitaka uchawi itambidi asasafiri kwenda makabila mengine.

1. Wamasai - Huko kwao ni ngumu kukuta uchawi wa asili yao, sehemu ya karibu kuupata uchawi ni kusafiri uende kwa waganga warangi ama wambulu (wairaqw)

2. Wachaga - Huko kwao ni ngumu kukuta uchawi wa asili yao, sehemu ya karibu kuupata uchawi ni kusafiri uende kwa waganga wapare

2. Wakurya - Huko kwao ni ngumu kukuta uchawi wa asili yao, sehemu ya karibu kuupata uchawi ni kusafiri uende kwa waganga wajaluo ama wajita.
Umefika rombo lakiniiiii????
 
Uchawi umekuwa ukisumbua jamii nyingi sana watu hulalamika kulogana ama kutupia mtu jini pale anapopiga hatua, malimbwata ya mapenzi, kutupiana mabusha, kufunga vizazi, wanga wa usiku, n.k.

Pamoja na haya, kuna haya makabila machache nimeona mambo ya uchawi ni adimu, ni ngumu kukuta uchawi wa asili katika makabila haya, Mtu wa huku akitaka uchawi itambidi asasafiri kwenda makabila mengine.

1. Wamasai - Huko kwao ni ngumu kukuta uchawi wa asili yao, sehemu ya karibu kuupata uchawi ni kusafiri uende kwa waganga warangi ama wambulu (wairaqw)

2. Wachaga - Huko kwao ni ngumu kukuta uchawi wa asili yao, sehemu ya karibu kuupata uchawi ni kusafiri uende kwa waganga wapare

2. Wakurya - Huko kwao ni ngumu kukuta uchawi wa asili yao, sehemu ya karibu kuupata uchawi ni kusafiri uende kwa waganga wajaluo ama wajita.
Maviii umekunya leo wewe hujui wewe
 
Uchawi umekuwa ukisumbua jamii nyingi sana watu hulalamika kulogana ama kutupia mtu jini pale anapopiga hatua, malimbwata ya mapenzi, kutupiana mabusha, kufunga vizazi, wanga wa usiku, n.k.

Pamoja na haya, kuna haya makabila machache nimeona mambo ya uchawi ni adimu, ni ngumu kukuta uchawi wa asili katika makabila haya, Mtu wa huku akitaka uchawi itambidi asasafiri kwenda makabila mengine.

1. Wamasai - Huko kwao ni ngumu kukuta uchawi wa asili yao, sehemu ya karibu kuupata uchawi ni kusafiri uende kwa waganga warangi ama wambulu (wairaqw)

2. Wachaga - Huko kwao ni ngumu kukuta uchawi wa asili yao, sehemu ya karibu kuupata uchawi ni kusafiri uende kwa waganga wapare

2. Wakurya - Huko kwao ni ngumu kukuta uchawi wa asili yao, sehemu ya karibu kuupata uchawi ni kusafiri uende kwa waganga wajaluo ama wajita.
Huna matokeo ya utafiti. Acha ukabila
 
Uchawi umekuwa ukisumbua jamii nyingi sana watu hulalamika kulogana ama kutupia mtu jini pale anapopiga hatua, malimbwata ya mapenzi, kutupiana mabusha, kufunga vizazi, wanga wa usiku, n.k.

Pamoja na haya, kuna haya makabila machache nimeona mambo ya uchawi ni adimu, ni ngumu kukuta uchawi wa asili katika makabila haya, Mtu wa huku akitaka uchawi itambidi asasafiri kwenda makabila mengine.

1. Wamasai - Huko kwao ni ngumu kukuta uchawi wa asili yao, sehemu ya karibu kuupata uchawi ni kusafiri uende kwa waganga warangi ama wambulu (wairaqw)

2. Wachaga - Huko kwao ni ngumu kukuta uchawi wa asili yao, sehemu ya karibu kuupata uchawi ni kusafiri uende kwa waganga wapare

2. Wakurya - Huko kwao ni ngumu kukuta uchawi wa asili yao, sehemu ya karibu kuupata uchawi ni kusafiri uende kwa waganga wajaluo ama wajita.
Aliyekuambia wachaga sio wachawi ni nani. Kwani kutambika na kutoa sadaka za damu za mbuzi kuku na ngombe.. kumwaga ulezi na maziwa kupeana kwa mizimu ya mababu wiokufa zamani kila mwisho wa mwaka kuna tofauti gani na uchawi. Tena bora uchawi mwingine lakini sio huo wa kutambikia mizimu. Ndio maana wanafanikiwa sana kibiashara na huwezi kushindana na mchaga maana huo uchawi wa kafara za wanyama na watu ni mkali kupitiliza asikwambie mtu. Otherwise uwe mtu wa maombi sana ndio utampiku mchagga anayetumia nguvu za MIZIMU kwenye biashara au kazi yake.... me ni mchaga nakwambia uhalisia ninaoujua..
 
Mleta mada haupo serious...Tanzania hii hakuna kabila ambalo halijihusishi kabisa na mambo ya ushirikina/uchawi & uganga.
Ila labda ungezungumzia kiwango ningekubaliana na wewe. Maana yapo makabila kwenye masuala hayo hawayahusudu sana labda litokee tatizo kubwa.....na yapo makabila ambayo wao hawafanyi chochote bila kufanya ushirikina yaani kilakitu kinaenda kwa imani ya kichwani na uganga.
Na umetaja makabila matatu ambayo umesema hayajihusishi kabisa na masuala ya uganga/ uchawi/mizimu.
Tuanze na Wakurya hapa utakutana na mkurya mwenye asili yake UMUGHAKA atakupa a,b,c
Soma post nzima, nimeeleza kwamba ni kutokana na uwepo wa kiwango kidogo ama nadra, sijasema kwamba haupo kabisa
 
Muulize je ameshawahi kusikia mganga wa kienyeji mchaga?
Ushirikina wa kutafuta mali kwa waganga wa makabila mengine hatukatai tunaenda.
Lakini uchawi wa kurogana uchagani haupo.
Amekusikia.

Hakuna mganga wa Kichaga wala Kimeru
 
Back
Top Bottom