Makabila haya, yanaweza kuwa na makando kando mengine lakini suala la uchawi ni nadra kwao

Makabila haya, yanaweza kuwa na makando kando mengine lakini suala la uchawi ni nadra kwao

Tofauti hapo ni ipi?hao wote wako kwenye kazi moja hakuna kuficha ukweli wa mambo uchawi umegawanyika na hilo la kuabudu mizimu ni kipengele kimojawapo cha uchawi. Kama mtu anaweza kumtoa mtu kwa kafara ya kulisha mizimu inywe damu ya binadamu huo sio uchawi jamani au me ndio sielewi nieleweshwe vizuri
Hakunaga tambiko lisilo na damu, hata yesu alitufia msalabani damu yake ilikuwa kafara, kabla ya hapo ili kusamehewa dhambi kulikuwa ni lazima lifanyike tambiko kuchinja ngombe na wanyama wengine.

Ishu tunayozungumzia hapa ni uchawi unaoathiri wengine, mtu kafanikiwa anapigwa kipapai, mtu unaona hakupendi unampiga limbwata, mtu anasumbuliwa na wanga usiku, mtu anaanmka kapigwa wembe wa chale, n.k
 
Muulize je ameshawahi kusikia mganga wa kienyeji mchaga?
Ushirikina wa kutafuta mali kwa waganga wa makabila mengine hatukatai tunaenda.
Lakini uchawi wa kurogana uchagani haupo.
Wapo nimewahi kushuhudia kwa macho yangu,koo zote au familia zote za kichaga unazifahamu au umeangalia sehemu moja tu
 
Unawasingizia wairanqw na warangi

Sijawahi kuona kibao cha mganga kutoka mbulu au babati ?!! Mleta uzi acha majungu.
 
Hakuna ushirikina ukuryani. Kanda maalum ni mwendo wa tit for tat. Ukizingua mnamalizana hapo hapo. Hakuna muda wa kuanza kitafuta waganga!

Siku ukikutana na mganga akakuambia yeye ni mkurya, kimbia huyo ni tapeli.
Acha kudanganya watu aisee huko mara Kuna uchawi kama hupajui Bora ukae kimyaa, ushirikina watu wa huo mkoa wameuweka mbele ndiyo maana Kuna visa vingi vya mauaji ya vikongwe, wasomi wengi na watu wanaofanikiwa wanaotoka mara wanaogopa ata kurudi kuendeleza mkoa wao
 
Sisi wachagga tunatafuta pesa popote ilipo dunia hii. Uchawi wetu ni bidii tu basi. Hakuna kulala ni lazima ukaweke heshima kijiji uko desemba .
 
Uchawi ni international makabila Yote ni wachawi kwa kiwango sawa.
Thus maeneo yote ni duni, uchawi ndo chanzo Cha umasikini nchini
 
Mhh Wachaga?!?!? Labda zamani, sio leo

Wachaga hawa hawa wenye watoto matahira wa kichawi kila familia

USSR

Mara nyingi hawa wanatokana na kuzalishana ndugu kwa ndugu kama wahindi na waarabu
Umewahi kusikia popote Mganga wa jadi kutoka Marangu Dr Shirima? Riwa au Malyi?

Umewahi kusikia Mganga wa Kienyeji Urassa, Masawe, Malisa, Kibona, Mushi na Lyimo?

Tukubaliane tu Wachaga ni watu wa mila kama za kuchinja mifugo lakini si wachawi.

Wapo Wachaga Washirikina wazuri tu lakini ushirikina huo hawaupati uchagani wanaupata sehemu nyingine na ushirikina wao ni wa kupata pesa tu siyo kutowana mabusha.
 
Umewahi kusikia popote Mganga wa jadi kutoka Marangu Dr Shirima? Riwa au Malyi?

Umewahi kusikia Mganga wa Kienyeji Urassa, Masawe, Malisa, Kibona, Mushi na Lyimo?

Tukubaliane tu Wachaga ni watu wa mila kama za kuchinja mifugo lakini si wachawi.

Wapo Wachaga Washirikina wazuri tu lakini ushirikina huo hawaupati uchagani wanaupata sehemu nyingine na ushirikina wao ni wa kupata pesa tu siyo kutowana mabusha.
Asipoelewa atakuwa Ana Elimu ya memkwa
 
MUHIMU: Hakuna kabila lisilo na Tambiko, HAKUNA !! matambiko mpaka leo hii hufanywa na kila kabila na sanasana ni zile koo za kichifu lakini bado ni tofauti kabisa na uchawi huu tunaozungumzia hapa wa kurogana, kutupiana majini, malimbwata, kuwanga usiku, n.k.

Uchawi umekuwa ukisumbua jamii nyingi sana watu hulalamika kulogana ama kutupiana majini pale mtu anapopiga hatua, malimbwata ya mapenzi, kutupiana mabusha, kufunga vizazi, wanga wanaokaba usiku, kupigwa chale, n.k.

Pamoja na haya, kuna haya makabila machache nimeona mambo ya uchawi ni adimu ama yapo kwa kiwango kidogo sana, ni ngumu kukuta uchawi wa asili katika makabila haya, Mtu wa huku akitaka uchawi itambidi asasafiri kwenda makabila mengine.

1. Wamasai - Huko kwao ni ngumu kukuta uchawi wa asili yao, sehemu ya karibu kuupata uchawi ni kusafiri uende kuununua kwa waganga warangi ama wambulu (wairaqw)

2. Wachaga - Huko kwao ni ngumu kukuta uchawi wa asili yao, sehemu ya karibu kuupata uchawi ni kusafiri uende kuununua kwa waganga wapare

2. Wakurya - Huko kwao ni ngumu kukuta uchawi wa asili yao, sehemu ya karibu kuupata uchawi ni kusafiri uende kuununua kwa waganga wajaluo ama wajita.
Wee vipi? Unawajua wachaga? Hata mifugo wanayofuga ni nyumba za mashetani na mizimu!
 
MUHIMU: Hakuna kabila lisilo na Tambiko, HAKUNA !! matambiko mpaka leo hii hufanywa na kila kabila hasa katika koo za kichifu, lakini ni tofauti kabisa na uchawi wa kurogana, kutupiana majini, malimbwata, kuwanga usiku, n.k.
Maisha yakabana mpaka basi. Nikamuambia mzee naomba kama kuna tambiko tufanye mimi hali ni mbaya akaniuliza ni lini katika kijiji chetu umewahi sikia kuna tambiko nikajibu sijawahi akaendelea kama hujawahi ndiyo ujue hayo mambo hakuna.
 
Back
Top Bottom