Lukwafya bhagasi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 1,236
- 1,252
Wajaluo1.warangi
2.wanyaturu
3.wameru
4.wamasai
5.wasukuma
6.wachagga
7.wahaya
8.wanyamwenzi
9.wapare
10.wanyakysa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajaluo1.warangi
2.wanyaturu
3.wameru
4.wamasai
5.wasukuma
6.wachagga
7.wahaya
8.wanyamwenzi
9.wapare
10.wanyakysa
Hv hii namba 10 inamatatizo gani?...Naona umejiweka wa mwisho kabisa 10
Nyie kwa nyie ndo mnawezana ni kama wachaga tuKumbe Dada zangu warangi wanakimbiza..nikitaka kuoa nitarudi kondoa (haubi) nikaoe.
Wanyantuzu ndio wasukuma tu acha uzushi..hivi wewe unawafahamu wanyantuzu?
Ha! ha! ha!warangi ni waajabu sana! Sura nzuri ila mguu kama tubelight!
Unaumwa wewe.. Yani hapo Mmbulu hayupo alafu unaweka Mmeru? Acha ujinga, fanya research kabla hujabandika mada
Watoto wa kinyatuzu sio? Aha ha a ila mahali yao sasa ujipangeKanda ya ziwa imebebwa na simiyu kwa uzuri, mwanza inafatia, shy, kagera, geita, mwisho kabisa n mara
Bado sekunde kadhaa ukamatwe kwa uchocheziHivi Chato wanatoka watu gani? Hivi hakuna mzuri huko?
Wanyiramba mbona hawapo[/QUOT
NASHANGAA HAWA JAMAA SIJUI HAWAJUI NCHI HII WANYIRAMBA TUNA WAREMBO STANDARD KULIKO.
Wengi hawajui hilo, hawa nao wapo top 10 kwa uzuri, tabia na uvumilivuWasukuma hamna, weka wangoni
IKama unataka Mke wako awe demu wa jumuia oa MRANGI
Wanyantuzu ni wasukuma kutoka Ntuzu iliyopo mashariki mwa Usukumani.hivi wewe unawafahamu wanyantuzu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanyiramba mbona hawapo
mbona mm ni mnyakyusa na nina sifa zote mzuri, nina shepu na nina mguu wa biaa...sio wanyakyusa wote wabaya lekebisha kauli yakoWanyakyusa hapo sikubali hata kwa ngumi
nyoooWanyakyusa watoe
sio wote sema baadhWanyakyusa wanapenda kujichubua hao