Makabila makubwa yakishika uongozi hujazana wao, bora nafasi za juu wapewe makabila madogo

Makabila makubwa yakishika uongozi hujazana wao, bora nafasi za juu wapewe makabila madogo

Hoja ya ukabila haihusiani na kwamba wangapi wamesoma au la.

Kwanini ofisi ikiwa na viongozi labda wangoni au wahehe tusikute wahehe au wangoni wamejazana? Ni kwamba hakuna wahehe au wangoni waliosoma ?

Miaka ya Leo uniambie kuna kabila halina wasomi waliokosa ajira, lipo hilo ?

Sasa tuje kwa makabila hayo yanayojificha kwenye kivuli kwamba wamesoma. mfano ofisini kiongozi akiwa ni mchaga wanajazana wachaga, tukitumia kigezo cha elimu ni kwamba hata hao wengine wahaya, wanyakyusa na wasukuma hawawekwi kwa kuwa hawajasoma au ni ukabila?

Ofisini akiwa mhaya ni Kiongozi makabila yote mengine Hadi hao wengine wasomi unawatafuta kwa tochi, ni kwamba hawana elimu au?

Nadhani kuna shida ya ukabila ambayo haisemwi wazi ila ipo shida ya ukabila na udini nchi hii.


Kwamba unaajiri watu wa usafi wakabila lako mpaka walinzi kwasababu wamesoma mbona hoja inakataa kabisa, zaidi ya ukabila hakuna lingine hapo.

Kuna tasisi mpaka za serikali akiingia mojawapo katika hayo makabila basi unakuta wanaanza kujazana wao kwa wao, kupandishana vyeo, kupeana mikopo, n.k.
Mlundikano wa watu wa kabila ama dini moja katika maeneo ya kazi si jambo la maana hata kidogo kulijadili endapo kama vigezo vilivyotumika katika ajira zao havikuwa na ubaguzi wowote ule. Kama michakato ya kuwapata ilikuwa ni ya haki na haikuwa na upendeleo, na iliyozingatia vigezo vyote viendanavyo na sifa zao za kuajiliwa, sasa hapo kuna kosa gani kama umahiri wao ndiyo umewapa ajira hizo?

Kwa nini malalamiko kama haya hutokea katika maeneo yasiyo hitaji utaalamu wa hali juu!? Ukiangalia kada zenye kuhitaji elimu, utaalamu, weledi, na umahiri wa hali ya utakuta hakuna malalamiko kama haya.

Lazima tukubali kuwa hata vidole hutofautiana kwa urefu na matumizi yake. Lazima tuyape kongole makabila yaliyofanya uwekezaji mkubwa katika elimu, kwa kuwa kile kinachotokea hivi sasa ni matunda ya jitihada zao za muda mrefu.

Mbona ukienda katika mashirika ya kimataifa, unakuta mlundikano wa watu wa kabila ama dini moja lakini wote wameajiliwa kutoka nchi na mamalka tofauti!? Jamani elimu inalipa, kama mtu anakidhi vigezo acha apewe haki yake pasipo kuangalia dini ama kabila lake.
 
Hoja ya ukabila haihusiani na kwamba wangapi wamesoma au la.

Kwanini ofisi ikiwa na viongozi labda wangoni au wahehe tusikute wahehe au wangoni wamejazana? Ni kwamba hakuna wahehe au wangoni waliosoma ?

Miaka ya Leo uniambie kuna kabila halina wasomi waliokosa ajira, lipo hilo ?

Sasa tuje kwa makabila hayo yanayojificha kwenye kivuli kwamba wamesoma. mfano ofisini kiongozi akiwa ni mchaga wanajazana wachaga, tukitumia kigezo cha elimu ni kwamba hata hao wengine wahaya, wanyakyusa na wasukuma hawawekwi kwa kuwa hawajasoma au ni ukabila?

Ofisini akiwa mhaya ni Kiongozi makabila yote mengine Hadi hao wengine wasomi unawatafuta kwa tochi, ni kwamba hawana elimu au?

Nadhani kuna shida ya ukabila ambayo haisemwi wazi ila ipo shida ya ukabila na udini nchi hii.


Kwamba unaajiri watu wa usafi wakabila lako mpaka walinzi kwasababu wamesoma mbona hoja inakataa kabisa, zaidi ya ukabila hakuna lingine hapo.

Kuna tasisi mpaka za serikali akiingia mojawapo katika hayo makabila basi unakuta wanaanza kujazana wao kwa wao, kupandishana vyeo, kupeana mikopo, n.k.
Naamini hujawasikia
WAZANZIBARI
WACHAGA
WAPARE
WANYIRAMBA
WASAMBAA/WADIGO/WABONDEI
 
Wewe ni lijinga na umejaa chuki. Polepole msukuma??? Bashiru msukuma???? Lete story zingine ila kumsingizia ukabila no tena big no. Labda wizara ya fedha aliweka hilo lijamaa lijinga lijinga li dotto hapo alikosea sana maana halikuwa na akili na lilikuwa mzigo yaani zero kabisa.
Hata huyo si kosa ni mtu mmoja tu
 
Mlundikano wa watu wa kabila ama dini moja katika maeneo ya kazi si jambo la maana hata kidogo kulijadili endapo kama vigezo vilivyotumika katika ajira zao havikuwa na ubaguzi wowote ule. Kama michakato ya kuwapata ilikuwa ni ya haki na haikuwa na upendeleo, na iliyozingatia vigezo vyote viendanavyo na sifa zao za kuajiliwa, sasa hapo kuna kosa gani kama umahiri wao ndiyo umewapa ajira hizo?

Kwa nini malalamiko kama haya hutokea katika maeneo yasiyo hitaji utaalamu wa hali juu!? Ukiangalia kada zenye kuhitaji elimu, utaalamu, weledi, na umahiri wa hali ya utakuta hakuna malalamiko kama haya.

Lazima tukubali kuwa hata vidole hutofautiana kwa urefu na matumizi yake. Lazima tuyape kongole makabila yaliyofanya uwekezaji mkubwa katika elimu, kwa kuwa kile kinachotokea hivi sasa ni matunda ya jitihada zao za muda mrefu.

Mbona ukienda katika mashirika ya kimataifa, unakuta mlundikano wa watu wa kabila ama dini moja lakini wote wameajiliwa kutoka nchi na mamalka tofauti!? Jamani elimu inalipa, kama mtu anakidhi vigezo acha apewe haki yake pasipo kuangalia dini ama kabila lake.
Hawa watu wanaoanzisha hizi nyuzi za "Makabila" hawana lolote lile walijualo na ni Wapumbavu

Swali kubwa kujiuliza au kuuliza ni 'Wamefanya wapi huo utafiti na takwimu wanazitoa wapi?

Sensa ilifanyika nchini, na results zake hazikutaja haya mambo ya 'kipumbavu'

Anyways, Mkuu mbenge, Umenena.

Hawa wapumbavu wakemewe ipasavyo.
 
Tupo 2024 mnajdili makabila ya watu kwa lengo gani?

Tunajitapa na Ukabila? Tunazodoa makabila? Tuna nyanyapaa makabila? huo ni Upumbavu.

Mwl. Julius K. Nyerere alipokuwa akiwahutubia wahudhuri wa Mkutano mkuu wa CCM Dodoma mwaka 1995, aliwahi kuligusia suala hili la ukabila na jinsi linavyoathiri "Fikra" na "Mafikirio" ya Mtanzania, na nita mnukuu hapa kiunagaubaga- bila mpangilio maalum,

Nyerere alimaka....

"...Faida ya makabila iliyobaki ni kufanya matambiko tu...!

"Watanzania wanafikiri ni jambo la maana sana kujua kabila la mtu. Mnataka kutambika?" aliuliza Nyerere

"Katika nchi ya watu wazima, kabila lina maana gani nyingine?" Nyerere aliyasema hayo kwa masikitiko makubwa na kuongeza.....

"Tanzania ya leo, mnazungumzia Ukabila?"

"Mnazungumza lugha ya makabila?"

Mwl Nyerere aliwaasa na kuwaonya wajumbe na wananchi


"...tunataka, mtuchagulie mtu, ambaye anajua kwamba huko ni upumbavu na ni hatari.....hukooo"

Sasa tumefika 'hukoooo' alipokuwa anatuonya Rais Julius Kambarage Nyerere.

Tunapoleta na kujadili ukabila na makabila ni Upumbavu.


Jamiiforums ikemee mabandiko kama hili ili kuepusha Vijana na Wananchi kuwa na mafikirio na fikra za "Kibaguzi" na 'Utengano'
 
Hoja ya ukabila haihusiani na kwamba wangapi wamesoma au la.

Kwanini ofisi ikiwa na viongozi labda wangoni au wahehe tusikute wahehe au wangoni wamejazana? Ni kwamba hakuna wahehe au wangoni waliosoma ?

Miaka ya Leo uniambie kuna kabila halina wasomi waliokosa ajira, lipo hilo ?

Sasa tuje kwa makabila hayo yanayojificha kwenye kivuli kwamba wamesoma. mfano ofisini kiongozi akiwa ni mchaga wanajazana wachaga, tukitumia kigezo cha elimu ni kwamba hata hao wengine wahaya, wanyakyusa na wasukuma hawawekwi kwa kuwa hawajasoma au ni ukabila?

Ofisini akiwa mhaya ni Kiongozi makabila yote mengine Hadi hao wengine wasomi unawatafuta kwa tochi, ni kwamba hawana elimu au?

Nadhani kuna shida ya ukabila ambayo haisemwi wazi ila ipo shida ya ukabila na udini nchi hii.


Kwamba unaajiri watu wa usafi wakabila lako mpaka walinzi kwasababu wamesoma mbona hoja inakataa kabisa, zaidi ya ukabila hakuna lingine hapo.

Kuna tasisi mpaka za serikali akiingia mojawapo katika hayo makabila basi unakuta wanaanza kujazana wao kwa wao, kupandishana vyeo, kupeana mikopo, n.k.
Utafiti huu. uliufanyia wqpi? Manake unahitaji chanzo chanzo cha uhakika na kinachojulikana ili kuunga mkono madai yako.

Otherwise, kuleta mada kama hii is a non-starter. Unapoleta masuala yanayogusa Usalama wa Taifa, lazima uwe tayarinkuonyesha vyanza vyako.

What are your sources?

Umeanza kwa kukanusha kwamba haiuhusiani na Ukabila, halafu unatiririka na Ukabila!

Au labda mie ndie sijaelewa?
 
Nasomq comments za wenye makabila tajwa hapo juu
 
kwani aliyefariki alikuwa ni kabila gani
Alijaza Baraza la mawaziri wote wakawa waukuma. Kama siyo .sukuma basi kuna maslahi fulani.

Bora alikufa kwa kweli. Tarehe 17 march inakaribia, siku ya furaha kubwa kwangu kuliko siku nyingine zote kila mwaka.
 
Na sisi Wangoni.
Ila sisi tangu Babu yetu Songea aligwe risasi tumekuwa wapole sana.
 
Na sisi Wangoni.
Ila sisi tangu Babu yetu Songea aligwe risasi tumekuwa wapole sana.
Wangoni na wahehe ni mfano wa kuigwa, kwa upande wa wangoni huwa ni wale wanaoitwa wamatengo maana ndio watu wanaowakilisha zaidi maofisini kutoka Ruvuma,

Hawanaga mambo ya kibaguzi
 
Wangoni na wahehe ni mfano wa kuigwa, kwa upande wa wangoni huwa ni wale wanaoitwa wamatengo maana ndio watu wanaowakilisha zaidi maofisini kutoka Ruvuma,

Hawanaga mambo ya kibaguzi
Wamatengo ndio wanaoongoza kwa ukabila Tz

Fanya research.
 
Alijaza Baraza la mawaziri wote wakawa waukuma. Kama siyo .sukuma basi kuna maslahi fulani.

Bora alikufa kwa kweli. Tarehe 17 march inakaribia, siku ya furaha kubwa kwangu kuliko siku nyingine zote kila mwaka.
Wewe ni muongo, mzandiki, mzushi na mfitini likija suala la Ukabila Tanzania.

Na popote pale utakapo tokea, iwe ni hapa jamvini au huko mtaani kwako, ulaaniwe na ukemewe ipasavyo kwa kuchagiza Ukabila, Uadui, Utengano na uvurugaji wa Mshikamano wa Taifa na kupandikiza chuki miongoni mwa Watanzania.

Endelea kujiodoa ufahamu, utaja jua hujui.
 
Wewe ni muongo, mzandiki, mzushi na mfitini likija suala la Ukabila Tanzania.

Na popote pale utakapo tokea, iwe ni hapa jamvini au huko mtaani kwako, ulaaniwe na ukemewe ipasavyo kwa kuchagiza Ukabila, Uadui, Utengano na uvurugaji wa Mshikamano wa Taifa na kupandikiza chuki miongoni mwa Watanzania.

Endelea kujiodoa ufahamu, utaja jua hujui.
Sukuma gang naona mnatapa tapa. Imekula kwenu, mungu wenu kafa
 
Ukiwa mkurya pale Brela wewe ni sawa mtendaji mkuu wa Brela. Ukiwa mchaga TRA wewe utapata kula jema la nchi hii. Ukiwa mrangi au mnyaturu wizara ya viwanda na biashara ni kwako, ukiwa mchaga pale Shirika meli za serikali umeula. Ukiwa mchaga GIPSA wewe utakuwa ni kama bosi wa hiyo taasisi. Ukiwa mnyakyusa pale UDSM wewe ni proffesa hata kama huna PhD.
 
Ila ukienda TRA na CRDB ni kama taasis binafsi za wachaga!
 
Back
Top Bottom