Makabila makubwa yakishika uongozi hujazana wao, bora nafasi za juu wapewe makabila madogo

Makabila makubwa yakishika uongozi hujazana wao, bora nafasi za juu wapewe makabila madogo

Ondoa kabisa wasukuma! Hawana ukabila, ni utendaji wako tu na tena hawana upendeleo. Cheki hata kuoa, wangekuwa kama wachaga au wahaya au wanyakyusa wasingeoa wachaga au kabila hizo kama wahaya
Ni kweli wasukuma amewaonea kuwachanganya na hao wengine. Hao wengine hata mashuleni tu tulikuwa tunawajua, lakini wasukuma walikuwa watu wazuri tu.
 
Sijajua kabila langu la unyakyusa lipo sector Gani Ili niombe nami nipate ilo shavu, mana Kila sector napambana na wachaga na wasukuma , wanapeana Kazi tu wao kwa wao
 
Wachaga nao wapo over 5m ,ni lazima nao wawe na portion kubwa
 
Back
Top Bottom