Makabila mengi Tanzania hayaendelei sababu ni watoto wa mama, Wachaga wapo mbali sababu wanakuzwa kuwa watoto wa baba.

Makabila mengi Tanzania hayaendelei sababu ni watoto wa mama, Wachaga wapo mbali sababu wanakuzwa kuwa watoto wa baba.

gearbox

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2024
Posts
563
Reaction score
1,768
Uzi umegeuka kuwa wa chuki zaa kikabila, haufai tena kuendelezwa

Na sio wachaga tu hata waarabu, wahindi, wasomali, n.k.

Mtoto wa mama - mtoto ambae kwenye makuuzi yake anaujua zaidi upande wa mama kuzidi baba, ndugu wengi anaowajua na aliowazoea ni wa mama kina mjomba, mama mdogo, mama mkubwa na watoto zao., kazoea kwenda zaidi kijijini kwa mama kiijini kwa baba anaweza akawa hapajui ama kaenda zamani sana kiasi hata ndugu wa huko washamsahau ama kupoteza ukaribu.

Mtoto wa baba - Mtoto ambae kwenye makuuzi yake anaujua zaidi upande wa baba kuzidi mama, ndugu alio nao karibu zaidi ni wale upande wa baba kina baba mkubwa, baba mdogo, mashangazi na watoto zao, kazoeshwa na kazoea kwenda zaidi kijijini kwa baba, huko wnamjua ni mtoto wa kaka yao wala si mgeni sana.

Kwanini watoto wa baba wana uwezekano (sio fuarantee) mkubwa wa kufanikiwa zaidi

Kwa asili ya ndoa, Mwanaume anaeoa huwa ana mafanikio zaidi kuzidi mwanamke anaemuoa, mara nyingi hali za wanawake kuwa chini kimaendeleo zina reflect na hali zao walikotoka + ndugu waliowazunguka, kuna vitu vingi hata visivyoonekana watoto wanavibebeba kwa kuwa upande wa baba au mama, si ajabu watoto wa mama kuw by product za asili za mama zao hata kimaendeleo na wale wa baba kuwa reflection ya maendeleo ya sehemu waliyozungukwa zaidi upande wa baba.
 
Hawahawa wachaga wa marangu na rombo au Kuna wengine!?
Anyway sikatai hapo kabla wachaga walitawala sana tz ila kama ilivyokawaida ya mkaa kuzaa majivu ndivyo ilivyo kwa Sasa si ajabu tena kukuta top ten ya matokeo hakuna mchaga
Si ajabu kukuta maduka 10 mtaani hakuna la mchaga
Si ajabu ukipita kariakoo na ukakuta maduka 10 yote ya wakinga na wasukuma mixer waha
Sijaongelea mabasi pale ubungo ya wakinga na wasukuma kibao yamejaa na wagogo ndani
Zama zimebadilika
Asanteni kwa kuonesha njia
 
Hawahawa wachaga wa marangu na rombo au Kuna wengine!?
Anyway sikatai hapo kabla wachaga walitawala sana tz ila kama ilivyokawaida ya mkaa kuzaa majivu ndivyo ilivyo kwa Sasa si ajabu tena kukuta top ten ya matokeo hakuna mchaga
Think out of the box, wewe unawaza matokeo ya Necta wenzako wameshazoea huko tangu enzi za mkoloni.

Kwenye elimu wamejiongeza, Arusha na Moshi ndio mikoa yenye international schools nyingi zaidi nyuma ya dsm, watoto wengi utaowakuta wenye asili ya Tz ni wachaga. shule kama Braeburn, International school of Mpshi, Consolata, n.k.

hizi saint mary, saint anthony sio interneational hazijakidhi wamepamba tu majina, International schools hazitumii mfumo wa necta, zinatumia mitaala international kiasi kwamba mtoto wa balozi wa Marekani anaweza kuja leo Tz na kuendelea shule kesho.
 
Think out of the box, wewe unawaza matokeo ya Necta wenzako walishapita huko,

Stage waliyopo wachaga kwa sasa kwenye elimu ni mbali mno, wapo bize kupeleka watoto international schools za kimataifa, huko hawatumii mfumo wa Necta wanatumia cambridge, Arusha na Moshi ndio mikoa yenye international schools nyingi zaidi nyuma ya dar.
Kwa hiyo ukienda pale St James utakuta ni wasukuma ndio wanasoma!?
Hakuna out of the box mkaa umezaa majivu wachaga wa Sasa sio wale hustlers wa kwanza hata hizo Mali walizoachiwa zinachechemea
Wakati naanza biashara ukikuta sehem Kuna mchaga unaogopa kama utatoboa kwa Sasa unawatoa road vizuri TU na wanakimbilia nje ya mji na kitu kimoja nimejifunza kwa wachaga ni waoga mnooo wa ushindani kidogo tu anahama eneo au biashara inageuka zilipendwa
 
Kwa hiyo ukienda pale St James utakuta ni wasukuma ndio wanasoma!?
Hakuna out of the box mkaa umezaa majivu wachaga wa Sasa sio wale hustlers wa kwanza hata hizo Mali walizoachiwa zinachechemea
Wakati naanza biashara ukikuta sehem Kuna mchaga unaogopa kama utatoboa kwa Sasa unawatoa road vizuri TU na wanakimbilia nje ya mji na kitu kimoja nimejifunza kwa wachaga ni waoga mnooo wa ushindani kidogo tu anahama eneo au biashara inageuka zilipendwa
Upo nyuma sana kielimu, hizi saint mary, saint james, sio shule international, zimeongezewa hilo neno "international" kuwazuzua watu msiojua vigezo vya shule international

Shule international haitumii mtaala wa necta, wanatumia mitaala ya kimataifa, balozi wa Marekani akija Tanzania mtoto wake anaendelea shule bila tatizo.
 
Upo nyuma sana kielimu, hizi saint mary, saint james, sio shule international, zimeongezewa hilo neno "international" kuwazuzua watu msiojua vigezo vya shule international

Shule international haitumii mtaala wa necta, wanatumia mitaala ya kimataifa, balozi wa Marekani akija Tanzania mtoto wake anaendelea shule bila tatizo.
Mkuu sitaki kuweka attacks nimekupa as a wake up call utoke kwenye usingizi huo mzito wa ukabila
Najua sana kuhusu the so called international and English medium na mengine mengi mfano niliokupa ni kujibu hoja Yako kuwa wachaga wako kwenye Cambridge curriculum na sio hii yetu nami nikakuuliza je ukienda st James hutokuta wachaga pale na je ukienda kwenye Cambridge curriculum hutakuta wasukuma na waha huko!?
Toka huko uliko acha ukabila wachaga wamekuwa na mchango mkubwa wa maendeleo kwenye nchi hii kama walivyo wanyakyusa wakurya wasukuma wakerewe na Kila mmoja aliweka tofali kwenye pale alipewa kuweka
Umesema nipo nyuma ki elimu basi kama mbele ki elimu ni huko uliko naomba niendelee kubaki nyuma😥
 
Mkuu sitaki kuweka attacks nimekupa as a wake up call utoke kwenye usingizi huo mzito wa ukabila
Najua sana kuhusu the so called international and English medium na mengine mengi mfano niliokupa ni kujibu hoja Yako kuwa wachaga wako kwenye Cambridge curriculum na sio hii yetu nami nikakuuliza je ukienda st James hutokuta wachaga pale na je ukienda kwenye Cambridge curriculum hutakuta wasukuma na waha huko!?
Toka huko uliko acha ukabila wachaga wamekuwa na mchango mkubwa wa maendeleo kwenye nchi hii kama walivyo wanyakyusa wakurya wasukuma wakerewe na Kila mmoja aliweka tofali kwenye pale alipewa kuweka
Umesema nipo nyuma ki elimu basi kama mbele ki elimu ni huko uliko naomba niendelee kubaki nyuma😥
Naomba ukae chini ujielimishe zaidi kuhusu international schools, hio saint james haikidhi vigezo, international schools hazimo kwenye mfumo wa necta

1718377973821.png
 
Na sio wachaga tu hata waarabu, wahindi, wasomali, n.k.

Mtoto wa mama - mtoto ambae kwenye makuuzi yake anaujua zaidi upande wa mama kuzidi baba, ndugu wengi anaowajua na aliowazoea ni wa mama kina mjomba, mama mdogo, mama mkubwa na watoto zao., kazoea kwenda zaidi kijijini kwa mama kiijini kwa baba anaweza akawa hapajui ama kaenda zamani sana kiasi hata ndugu wa huko washamsahau ama kupoteza ukaribu.

Mtoto wa baba - Mtoto ambae kwenye makuuzi yake anaujua zaidi upande wa baba kuzidi mama, ndugu alio nao karibu zaidi ni wale upande wa baba kina baba mkubwa, baba mdogo, mashangazi na watoto zao, kazoeshwa na kazoea kwenda zaidi kijijini kwa baba, huko wnamjua ni mtoto wa kaka yao wala si mgeni sana.

Kwanini watoto wa baba wana uwezekano (sio fuarantee) mkubwa wa kufanikiwa zaidi

Kwa asili ya ndoa, Mwanaume anaeoa huwa ana mafanikio zaidi kuzidi mwanamke anaemuoa, mara nyingi hali za wanawake kuwa chini kimaendeleo zina reflect na hali zao walikotoka + ndugu waliowazunguka, kuna vitu vingi hata visivyoonekana watoto wanavibebeba kwa kuwa upande wa baba au mama, si ajabu watoto wa mama kuw by product za asili za mama zao hata kimaendeleo na wale wa baba kuwa reflection ya maendeleo ya sehemu waliyozungukwa zaidi upande wa baba.
Umefurahi sana kwa kutaja "wachagga". Kula nnyaa yako! Shwaini na ukabila wako! Mxiuuuhh!
 
Na sio wachaga tu hata waarabu, wahindi, wasomali, n.k.

Mtoto wa mama - mtoto ambae kwenye makuuzi yake anaujua zaidi upande wa mama kuzidi baba, ndugu wengi anaowajua na aliowazoea ni wa mama kina mjomba, mama mdogo, mama mkubwa na watoto zao., kazoea kwenda zaidi kijijini kwa mama kiijini kwa baba anaweza akawa hapajui ama kaenda zamani sana kiasi hata ndugu wa huko washamsahau ama kupoteza ukaribu.

Mtoto wa baba - Mtoto ambae kwenye makuuzi yake anaujua zaidi upande wa baba kuzidi mama, ndugu alio nao karibu zaidi ni wale upande wa baba kina baba mkubwa, baba mdogo, mashangazi na watoto zao, kazoeshwa na kazoea kwenda zaidi kijijini kwa baba, huko wnamjua ni mtoto wa kaka yao wala si mgeni sana.

Kwanini watoto wa baba wana uwezekano (sio fuarantee) mkubwa wa kufanikiwa zaidi

Kwa asili ya ndoa, Mwanaume anaeoa huwa ana mafanikio zaidi kuzidi mwanamke anaemuoa, mara nyingi hali za wanawake kuwa chini kimaendeleo zina reflect na hali zao walikotoka + ndugu waliowazunguka, kuna vitu vingi hata visivyoonekana watoto wanavibebeba kwa kuwa upande wa baba au mama, si ajabu watoto wa mama kuw by product za asili za mama zao hata kimaendeleo na wale wa baba kuwa reflection ya maendeleo ya sehemu waliyozungukwa zaidi upande wa baba.
Wale wachaga wale wachaga wa Marangu, Rombo, na Moshi vijijini?
 
Hawahawa wachaga wa marangu na rombo au Kuna wengine!?
Anyway sikatai hapo kabla wachaga walitawala sana tz ila kama ilivyokawaida ya mkaa kuzaa majivu ndivyo ilivyo kwa Sasa si ajabu tena kukuta top ten ya matokeo hakuna mchaga
Si ajabu kukuta maduka 10 mtaani hakuna la mchaga
Si ajabu ukipita kariakoo na ukakuta maduka 10 yote ya wakinga na wasukuma mixer waha
Sijaongelea mabasi pale ubungo ya wakinga na wasukuma kibao yamejaa na wagogo ndani
Zama zimebadilika
Asanteni kwa kuonesha njia
Kwahiyo wewe ukikosa duka la wahindi mjin akili yko inakuambia wamefilisika. Poor minded. Jiulize wameenda wapi wanafanya nini wapi. Mzee ule msimu wa kutafuta hela kwa style ya hard way ulishaisha sasa hiv wenzio wanatafuta in softway. Pesa hazitafutwi kijana pesa inategwa Chief.
 
Na sio wachaga tu hata waarabu, wahindi, wasomali, n.k.

Mtoto wa mama - mtoto ambae kwenye makuuzi yake anaujua zaidi upande wa mama kuzidi baba, ndugu wengi anaowajua na aliowazoea ni wa mama kina mjomba, mama mdogo, mama mkubwa na watoto zao., kazoea kwenda zaidi kijijini kwa mama kiijini kwa baba anaweza akawa hapajui ama kaenda zamani sana kiasi hata ndugu wa huko washamsahau ama kupoteza ukaribu.

Mtoto wa baba - Mtoto ambae kwenye makuuzi yake anaujua zaidi upande wa baba kuzidi mama, ndugu alio nao karibu zaidi ni wale upande wa baba kina baba mkubwa, baba mdogo, mashangazi na watoto zao, kazoeshwa na kazoea kwenda zaidi kijijini kwa baba, huko wnamjua ni mtoto wa kaka yao wala si mgeni sana.

Kwanini watoto wa baba wana uwezekano (sio fuarantee) mkubwa wa kufanikiwa zaidi

Kwa asili ya ndoa, Mwanaume anaeoa huwa ana mafanikio zaidi kuzidi mwanamke anaemuoa, mara nyingi hali za wanawake kuwa chini kimaendeleo zina reflect na hali zao walikotoka + ndugu waliowazunguka, kuna vitu vingi hata visivyoonekana watoto wanavibebeba kwa kuwa upande wa baba au mama, si ajabu watoto wa mama kuw by product za asili za mama zao hata kimaendeleo na wale wa baba kuwa reflection ya maendeleo ya sehemu waliyozungukwa zaidi upande wa baba.
Wachaga wapo vizuri sana tuache matani
 
Mkoa unaoongoza kwa marioo, wanaume wake kulelewa, wanaume kukimbia majukumu na kuwaachia wanawake malezi (hasa Rombo).

Kilimanjaro ni mkoa wa bara unaoongoza kwa idadi ya mashoga, ukiachana na Dar. Nimeishi kule na hili sio la kuambiwa ni la kuona kabisa. Kama unataka kuona nenda clubs mbalimbali kama Redstone, club D, ule ukumbi wa harusi pembeni ya soko la Memorial kama unakatisha barabara ya mjini karibu na uwanja. Nenda mashuleni hadi seminari za uko kina Uru mashoga wanagundulika.

Vijana wa Kilimanjaro wanaongoza kwa kuomba misaada kwa wadada, kuhamia magheto ya mademu zao vyuoni, kulelewa na mashangazi, kulilia birthday gifts, kukopakopa kwa wanawake na kujichekesha hovyo kwa wenye hela.

Hizi sio tabia za kiumeni, ni umama.
 
Ni kweli kabisa unaamaanisha MATRILINEAL na PATRILINEAL SOCIETIES. Makabila Matrilineal mtoto ana base ukoo wa mama, yanaongoza kwa ujinga na umasikini eg wagogo, wamakonde, wazaramo etc etc, I'm sure hii ni LAANA kudharau mzazi mmoja ambaye ni wa kiume na ndugu zake.
 
Na sio wachaga tu hata waarabu, wahindi, wasomali, n.k.

Mtoto wa mama - mtoto ambae kwenye makuuzi yake anaujua zaidi upande wa mama kuzidi baba, ndugu wengi anaowajua na aliowazoea ni wa mama kina mjomba, mama mdogo, mama mkubwa na watoto zao., kazoea kwenda zaidi kijijini kwa mama kiijini kwa baba anaweza akawa hapajui ama kaenda zamani sana kiasi hata ndugu wa huko washamsahau ama kupoteza ukaribu.

Mtoto wa baba - Mtoto ambae kwenye makuuzi yake anaujua zaidi upande wa baba kuzidi mama, ndugu alio nao karibu zaidi ni wale upande wa baba kina baba mkubwa, baba mdogo, mashangazi na watoto zao, kazoeshwa na kazoea kwenda zaidi kijijini kwa baba, huko wnamjua ni mtoto wa kaka yao wala si mgeni sana.

Kwanini watoto wa baba wana uwezekano (sio fuarantee) mkubwa wa kufanikiwa zaidi

Kwa asili ya ndoa, Mwanaume anaeoa huwa ana mafanikio zaidi kuzidi mwanamke anaemuoa, mara nyingi hali za wanawake kuwa chini kimaendeleo zina reflect na hali zao walikotoka + ndugu waliowazunguka, kuna vitu vingi hata visivyoonekana watoto wanavibebeba kwa kuwa upande wa baba au mama, si ajabu watoto wa mama kuw by product za asili za mama zao hata kimaendeleo na wale wa baba kuwa reflection ya maendeleo ya sehemu waliyozungukwa zaidi upande wa baba.
Acha kuendekeza ujinga wa ukabila, wachaga wako mbali wapi. Ule umaskini uliotamalaki uchagani huuoni? Kuna mahali kuna umaskini km uchagani? Wadanganye wasiojua uchagani. Wachaga wenye unafuu ni wale waliokimbia uchagani. Nenda Rombo, Kibosho, Machame, Masama umaskini ni mkubwa sana. Mngekuwa mbali mji wenu wa Moshi ungekufa vile, Moshi is a dead town. Shida ya wachaga kudanganya wasiowafahamu kwa visifa vya kijinga. Wachaga ndio kabila maskini sana kwa rasilimali. Wachaga wamshukuru baba wa Taifa kujenga utaifa na kupiga vita ukabila wachaga wamepinea Taifa ingawa walivyo wapumbavu bado wanashabikia ukabila. Wachaga wanafanya kazi gani ngumu, hawana mashamba, hawafugi, hawavui. Kazi wanazoweza uwizi, magendo, ukwepaji kodi, dhuluma, ushirikina. Mngejijua mngekaa kimya.
 
Hawahawa wachaga wa marangu na rombo au Kuna wengine!?
Anyway sikatai hapo kabla wachaga walitawala sana tz ila kama ilivyokawaida ya mkaa kuzaa majivu ndivyo ilivyo kwa Sasa si ajabu tena kukuta top ten ya matokeo hakuna mchaga
Si ajabu kukuta maduka 10 mtaani hakuna la mchaga
Si ajabu ukipita kariakoo na ukakuta maduka 10 yote ya wakinga na wasukuma mixer waha
Sijaongelea mabasi pale ubungo ya wakinga na wasukuma kibao yamejaa na wagogo ndani
Zama zimebadilika
Asanteni kwa kuonesha njia
Wachaga walikuwa kabila dogo ambapo kipindi cha mjerumani hawakuwa hata na wilaya walikuwa kijiji ndani ya wilaya ya Arusha jimbo la Kaskazini. Bora wapare walikuwa na Pare District ndani ya jimbo la Tanga awali jimbo la kaskazini mashariki. Hao nyau kinachowasumbua nu inferiority complex. Wachaga wengi bado ni maskini tena sana. Uchagani hakuna kitu, ni umaskini
 
Back
Top Bottom