Sana, kulikua na maktaba ila ilikua haifungulwi mpaka siku ya Mahafali wageni ndo wanaenda kula misosi humoUkitoka same boys ni zaidi ya jeshi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana, kulikua na maktaba ila ilikua haifungulwi mpaka siku ya Mahafali wageni ndo wanaenda kula misosi humoUkitoka same boys ni zaidi ya jeshi
Wapare umalaya wao hauwi reported kwenye takwimu za kitaifa. Ila ni MALAYA haswa
Ila mtibeli watoto wakipare ni wazuri sana lazima wahuni tujazane.Sasa kama hakuna evidence hizo zinabaki kuwa porojo tuu.
Report za ukimwi zinakuwa reported kila Mwaka. Same, mwanga kuna hospitali. Wajawazito wote lazima wapimwe Ukimwi. Utasemaje hakuripotiwi?
Moja ya indicators za umalaya ni pamoja na kiwango cha maambukizi ya ukimwi kwa eneo husika. Hiyo weka kichwani.
Pili, angalia idadi au kiwango cha wanafunzi wanaopata mimba.
Mwisho angalia, matukio yanayotokana na kushikwa ugoni.
Je upareni inashika nafasi ya ngapi? Kama hujui nikujie na data Hapa
wewe hapa umeweka evidence gani?Sasa kama hakuna evidence hizo zinabaki kuwa porojo tuu.
Report za ukimwi zinakuwa reported kila Mwaka. Same, mwanga kuna hospitali. Wajawazito wote lazima wapimwe Ukimwi. Utasemaje hakuripotiwi?
Moja ya indicators za umalaya ni pamoja na kiwango cha maambukizi ya ukimwi kwa eneo husika. Hiyo weka kichwani.
Pili, angalia idadi au kiwango cha wanafunzi wanaopata mimba.
Mwisho angalia, matukio yanayotokana na kushikwa ugoni.
Je upareni inashika nafasi ya ngapi? Kama hujui nikujie na data Hapa
Ila mtibeli watoto wakipare ni wazuri sana lazima wahuni tujazane.
wewe hapa umeweka evidence gani?
utamu wanao ila ujue mnachangia wengi
Huu hauna sifa za ushahidi (evidence) maana hujaweka chanzo chake. Zaidi umeendelea kupiga porojoAndiko langu linasema Wapare sio Malaya. Na vigezo nimeshaeleza. Kwenye suala la ushahidi ndio nakuambia kuwa
1. Upareni hatupo hata top 20 ya wanaoongoza kwa maambukizi ya ukimwi kwenye nchi hii.
Elewa kuwa maambukizi ya ukimwi husambazwa kwa njia nyingi lakini kubwa kuliko ni kungonoka kusiko salama.
2. Upareni hatupo hata top 20 ya mimba za utotoni au mimba za wanafunzi.
Elewa kuwa kama umalaya ungekuwa ni hulka ya kipare basi tungeiona katika mimba za utotoni au mimba za wanafunzi.
3. Upareni hatupo hata top 20 ya wanaoongoza kutoa talaka
4. Upareni hatupo hata top 50 ya jamii zinazoongoza kwa matukio ya mafumanizi na kushikwa ugoni.
Sasa wewe unatumia indicators zipi kusema uparen6kuna umalaya?
Ameona hapa anasema AVACHEMsalimie dada yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu hauna sifa za ushahidi (evidence) maana hujaweka chanzo chake. Zaidi umeendelea kupiga porojo
WAPARE hawapo Upareni tu. Wapo pia kwenye hiyo mikoa inayoongoza maambukizi. StukaFuatilia
WAPARE hawapo Upareni tu. Wapo pia kwenye hiyo mikoa inayoongoza maambukizi. Stuka
Ethina mburi mlamuwa😊
Unacheka nini sasa?
Upo sahihi mia.Ukitoka same boys ni zaidi ya jeshi
We dada wee weee....Kuna Hawa wapare wa Same, wao panga moja mbuyu chini, ndo wanaharibia wapare sifa
Huna lolote, wapare ni moja ya kabila la ovyo nchi nzima, Bora wachaga ni wabahili lakini pesa wanazobana wanafanyia maendeleo, ila wapare ni wabahili na hawafanyi maendeleo, pesa anataka zikae tu.Kwema Wakuu!
Acheni wivu! Yaani mkiona Watu wamebarikiwa jambo fulani roho mbaya zenu mbaya hazitulii. Wivu na maumivu moyoni yanawachoma. Mnaanza kuropoka mashudu yenu.
Mkiona mdada mzuri tuu mnaanza kumpa majina Mabaya. Kisa anatongozwa na Wanaume wengi. Utajiri wa mvuto wa kisura na kimaumbile haihusiani na tabia ya umalaya.
Makabila yenye wanawake wazuri hapa Tanzania imekuwa kawaida kuwahusisha na Umalaya lakini ukichunguza vizuri unakuja kugundua ni Wivu tuu. Kwa mfano Makabila kama Wambulu(Wairaq), Wanyaturu na ndugu zao Wanyiramba, Warangi wote hao ni makabila yènye wanawake wazuri na wanahusishwa na Umalaya jambo ambalo sio Kweli.
Wanawake wa Wapare wapo top five ya wanawake wazuri hapa Bongo, na Kwa wanaume wao wapo top 3 ya wanaume wazuri hapa Tanzania. Hiyo ukubali au ukatae. Upareni kukutana na Handsome boy sio jambo la kushangaza kwa sababu wapo wengi. Kukutana na Wanawake wazuri sio suala la ajabu.
Tabia hiyo pia ya roho mbaya imehamishwa kwenye mambo ya kiuchumi. Makabila yenye Mafanikio ya kiuchumi kama Wachagga, Wakinga, au Wapemba hupewa majina Mabaya kama wizi, ujambazi, ufisadi na uchawi. Acheni wivu.
Huwezi kuoa mke mzuri asitongozwe na wanaume. Kwa sababu wanaume wanapenda wanawake wazuri. Wewe kama kipimo cha kutotongozwa kwa mkeo ndio kutokuwa malaya basi elewa kuwa mkeo hana mvuto, sio mzuri na hana la maana.
Upande wa pili, huwezi kuwa na Mwanaume Handsome boy au mwenye uchumi alafu wanawake wenzako wasimsarandie. Haipo hivyo. Ukiona mumeo yupoyupo tuu na hakuna Mwanamke hata mmoja anayemtaka ujue hapo hakuna kitu. Umepoteza.
Wanawake wa kipare wanajiamini, hawataki kuonewa, hawataki unyanyasaji wa kijinsia kwa Jina la Mfumo dume, wapo radhi wabadilishe wanaume hata elfu moja ikiwa tuu wanapata Wanaume Mabwege wasiojitambua.
Wanawake wa kipare au kichaga, kama unapenda kwenu lazima upende na Kwao. Kuhusu ufupi nyundo ni sifa yao pia, lakini pia wapo Warefu hasa wanaôtokea Upareni kaskazini maeneo ya Mwanga.
Wapare kwa ujumla sio Watu wa kusikiliza maneno ya Watu Wajinga na watu wasiojiamini au wenye roho za chuki kisa tumewazidi mambo nyeti ambayo hayanunuliwi kwa pesa.
Povu Rukhsa!