Makabila mengi yenye wanawake wazuri kama Wapare wanapewa sifa ya kuwa malaya kwasababu ya wivu wa kijinga

Makabila mengi yenye wanawake wazuri kama Wapare wanapewa sifa ya kuwa malaya kwasababu ya wivu wa kijinga

Zamani nilijuaga weupe ni uzuri kumbe ni propaganda za western people and Asian to inferiorize black race.
Masalio ya ukoloni ni kwamba makabila yenye rangi(light skin) hudhani kuwa ni wazuri kuliko weusi tiii kama wasudan.
Dhana ya uzuri imebaki kuwa jambo lisiloeleweka kwa mtu mweusi duniani.
Wewe ni mmoja wa watu waliomezwa na fikra za kikoloni juuu ya uzuri wa mtu.
Unakuta mpare mmoja makalio kapigwa pasi halafu mtu anakwambua eti ni mzuri kisa ana karangi fulani hivi.
Swali ni je kama weupe ni uzuri wanawake wa kizungu /kiarabu/kichina/kihindi wote ni wazuri.
Mtoa mada japo hujasemea weupe ila naelewa watu wa maeneo ulootaja hawana zaidi ya uweupe.
Kwa nini mwonekano wa tofauti wa kimaumbile uwe uzuri ?
Je kundi lenye mwonekano unaofanana wote ni wazuri ?
Tabia ya kushadadia uweupe imepelekea waafrika shababi kuoa vimwanamke vya hovyo huko ulaya na china na baadae kujutia sana.
Huwezi kuniambia mbantu ni mbaya kuliko mmasai wakati watu hao ni tofauti kimaumbile. Fananisha mnyakyusa na mmakonde, muhaya na muha(they are all bantus). Mmasai na mtusi, muiraki na msomali( all noloyics) mwarabu na muhindi( Asians).
Unamlinganisha vipi mchaga na mwarabu kutafuta mzuri hali hawafanani kwa maumbile yao rangi zao nk.
DUNIA IPO KATIKA UJINGA NA UWONGO SANA Iila nambo yaliozoeleka huwa tanaonekana au kufikirika kuwa ni ya kweli hata kama hayana ushahidi wa kisayansi.
Any way dada zenu ni warembo kwa nyinnyi kaka zao.
Miaka ya 90+ pale shinyanga hakuna kundi la wanawake na wanaume lililokuwa linadharaulika kama wanyiramba na ndugu zao. Ukioa wale ulikuwa unachekwa mno. It was very inferior group in Shy social construct!
Unipinge kwa hoja.
Ndio maana weusi wanajichubua wawe weupe?!!
Mkashauriane kwanza kuwa uweusi pia ni uzuri sio unaandika waraka usio na mashiko
Mbeya na Iringa wanaongeza kwa mikorogo
 
Kitendo Cha kubadilisha wanaume 1000 ndio Umalaya wenyewe huo.
Au kwako tafsiri ya Malaya ni nini?

Hujataja sifa nyingine ya uchoyo na roho mbaya

Usiache na ile sifa ya uchawi kule kwenu, vizabi zabina na kutokuwa na kifua.

Ukifanya nao kazi hawa jamaa ni watu wenye ghiriba na hila nyingi.

Sijawahi kusikia kama wapare ni kabila lililopo kwenye Tano Bora ya uzuri Tanzania.

Lakini sikupingi labda ungeanza kutuambia ulitumia vigezo gani? au sifa ya ufupi! Usiwasahau na nduguzo Wawanji, Wabena ,Wakinga, Wapangwa na Wamanda ili mkamilishe tano bora.

Wanyaturu, Wanyiramba, Wanyisanzu na Wataturu wa porini kule ulienda kutoa posa utamkula kuanzia mama mtu mpaka shangazi zake.

Warangi sifa Yao ni uchawi kama unabisha kaoe.

Wahaya ni mapioneer kwenye miaka ya 60 mpaka Sasa kuhusu kujiuza kwa buku tatu mpaka buku na hii tabia wameitoa Uganda.

Nilitembelea miji kadhaa Uganda kama na nikajirizisha bila shaka kule ni kitu Cha kawaida na madanguro yametapakaa.

Wanyakyusa Ushamba na ujeuri usipokuwa makini watoto wako badala wawe na majina ya kipare basi wataitwa Lugano, Ipyana ,Gwalugano na mengineyo.

Wasafwa ni wachafu na usimtazame Masogange kama wote wapo vile.

Wanyiha ni makatili na ndugu zao Wanyamwanga na ndio jamii zinazo ongoza kufanya mauaji nyanda za juu.

Madem wa Arusha wakorofi na visu wanatembea navyo

Madem wa Dar nyodo na kiswahili kingi

Madem wa Mbeya sura za baba zao ila mikia Mungu kawajaharia

Madem wa Tanga wapole kwa asilimia kubwa

Tabia za kabila fulani huwa ni jumuishi na ni mwenendo wa kizazi hadi kizazi hata kama kamoja katakuwa na tabia tofauti.
You have written utterly rubbish must be stupid than what you have wrote
 
Zamani nilijuaga weupe ni uzuri kumbe ni propaganda za western people and Asian to inferiorize black race.
Masalio ya ukoloni ni kwamba makabila yenye rangi(light skin) hudhani kuwa ni wazuri kuliko weusi tiii kama wasudan.
Dhana ya uzuri imebaki kuwa jambo lisiloeleweka kwa mtu mweusi duniani.
Wewe ni mmoja wa watu waliomezwa na fikra za kikoloni juuu ya uzuri wa mtu.
Unakuta mpare mmoja makalio kapigwa pasi halafu mtu anakwambua eti ni mzuri kisa ana karangi fulani hivi.
Swali ni je kama weupe ni uzuri wanawake wa kizungu /kiarabu/kichina/kihindi wote ni wazuri.
Mtoa mada japo hujasemea weupe ila naelewa watu wa maeneo ulootaja hawana zaidi ya uweupe.
Kwa nini mwonekano wa tofauti wa kimaumbile uwe uzuri ?
Je kundi lenye mwonekano unaofanana wote ni wazuri ?
Tabia ya kushadadia uweupe imepelekea waafrika shababi kuoa vimwanamke vya hovyo huko ulaya na china na baadae kujutia sana.
Huwezi kuniambia mbantu ni mbaya kuliko mmasai wakati watu hao ni tofauti kimaumbile. Fananisha mnyakyusa na mmakonde, muhaya na muha(they are all bantus). Mmasai na mtusi, muiraki na msomali( all noloyics) mwarabu na muhindi( Asians).
Unamlinganisha vipi mchaga na mwarabu kutafuta mzuri hali hawafanani kwa maumbile yao rangi zao nk.
DUNIA IPO KATIKA UJINGA NA UWONGO SANA Iila nambo yaliozoeleka huwa tanaonekana au kufikirika kuwa ni ya kweli hata kama hayana ushahidi wa kisayansi.
Any way dada zenu ni warembo kwa nyinnyi kaka zao.
Miaka ya 90+ pale shinyanga hakuna kundi la wanawake na wanaume lililokuwa linadharaulika kama wanyiramba na ndugu zao. Ukioa wale ulikuwa unachekwa mno. It was very inferior group in Shy social construct!
Unipinge kwa hoja.
Sasa mkuu kwenye ile miss bantu competition inabdi hawa wengine wasishiriki sio? Tuwe na miss nilotics
 
Kwema Wakuu!

Acheni wivu! Yaani mkiona Watu wamebarikiwa jambo fulani roho mbaya zenu mbaya hazitulii. Wivu na maumivu moyoni yanawachoma. Mnaanza kuropoka mashudu yenu.

Mkiona mdada mzuri tuu mnaanza kumpa majina Mabaya. Kisa anatongozwa na Wanaume wengi. Utajiri wa mvuto wa kisura na kimaumbile haihusiani na tabia ya umalaya.

Makabila yenye wanawake wazuri hapa Tanzania imekuwa kawaida kuwahusisha na Umalaya lakini ukichunguza vizuri unakuja kugundua ni Wivu tuu. Kwa mfano Makabila kama Wambulu(Wairaq), Wanyaturu na ndugu zao Wanyiramba, Warangi wote hao ni makabila yènye wanawake wazuri na wanahusishwa na Umalaya jambo ambalo sio Kweli.

Wanawake wa Wapare wapo top five ya wanawake wazuri hapa Bongo, na Kwa wanaume wao wapo top 3 ya wanaume wazuri hapa Tanzania. Hiyo ukubali au ukatae. Upareni kukutana na Handsome boy sio jambo la kushangaza kwa sababu wapo wengi. Kukutana na Wanawake wazuri sio suala la ajabu.

Tabia hiyo pia ya roho mbaya imehamishwa kwenye mambo ya kiuchumi. Makabila yenye Mafanikio ya kiuchumi kama Wachagga, Wakinga, au Wapemba hupewa majina Mabaya kama wizi, ujambazi, ufisadi na uchawi. Acheni wivu.

Huwezi kuoa mke mzuri asitongozwe na wanaume. Kwa sababu wanaume wanapenda wanawake wazuri. Wewe kama kipimo cha kutotongozwa kwa mkeo ndio kutokuwa malaya basi elewa kuwa mkeo hana mvuto, sio mzuri na hana la maana.

Upande wa pili, huwezi kuwa na Mwanaume Handsome boy au mwenye uchumi alafu wanawake wenzako wasimsarandie. Haipo hivyo. Ukiona mumeo yupoyupo tuu na hakuna Mwanamke hata mmoja anayemtaka ujue hapo hakuna kitu. Umepoteza.

Wanawake wa kipare wanajiamini, hawataki kuonewa, hawataki unyanyasaji wa kijinsia kwa Jina la Mfumo dume, wapo radhi wabadilishe wanaume hata elfu moja ikiwa tuu wanapata Wanaume Mabwege wasiojitambua.

Wanawake wa kipare au kichaga, kama unapenda kwenu lazima upende na Kwao. Kuhusu ufupi nyundo ni sifa yao pia, lakini pia wapo Warefu hasa wanaôtokea Upareni kaskazini maeneo ya Mwanga.

Wapare kwa ujumla sio Watu wa kusikiliza maneno ya Watu Wajinga na watu wasiojiamini au wenye roho za chuki kisa tumewazidi mambo nyeti ambayo hayanunuliwi kwa pesa.

Povu Rukhsa!
Nilikuwa siamini kama wanawake wa Kinyaturu ni washenzi hadi pale lile limwanamke la kinyaturu lilivyonisaliti bila aibu.
 
Screenshot_20240425-152330.png
 
Unawatetea dada zako kwani Huwa unawala?


Inabidi utuulize shemeji zako kujua Umalaya wa dada zako ?
 
Wanawake wa kipare wanajiamini, hawataki kuonewa, hawataki unyanyasaji wa kijinsia kwa Jina la Mfumo dume, wapo radhi wabadilishe wanaume hata elfu moja ikiwa tuu wanapata Wanaume Mabwege wasiojitambua.
Ulianza vizuri kwateta dhidi ya umalaya mpaka ulipofika hapa ndo nika confirm... 🗑️🗑️
 
Back
Top Bottom