Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Wema sepetu mama mnyiramba, baba mnyamwezi, hivyo ni mnyamwezi.Wema sepetu ni mnyiramba kama sio mnyaturu....sio mnyamwezi
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wema sepetu mama mnyiramba, baba mnyamwezi, hivyo ni mnyamwezi.Wema sepetu ni mnyiramba kama sio mnyaturu....sio mnyamwezi
For sureKabila la mtu ni kule alipozaliwa sio kule wazazi wake walipozaliwa.
Huwezi kusema mtu ni mchaga wakati kazaliwa uzaramoni, huyo ni mzaramo tu hata kama wazazi wake walizaliwa uchagani.
Free thinker. [emoji125] [emoji125]
Kabila la mtu ni kule alipozaliwa sio kule wazazi wake walipozaliwa.
Huwezi kusema mtu ni mchaga wakati kazaliwa uzaramoni, huyo ni mzaramo tu hata kama wazazi wake walizaliwa uchagani.
Free thinker. [emoji125] [emoji125]
Rainfreeeed Masakoooo wa ITVMbona sisi Wapogolo vipi ?!!
Mbona sijaona mtu hapa
Jux n mkwele wa morogoro ubini wake ni mkambala.Sugu nahisi ni kweliSema ukweli wako-Sugu anaitwa Joseph Mbilinyi kijijini kwao ni Maweso Ruvuma,Jux-Juma Mpolopoto kakulia Dar ila kwa baba ni Morogoro haya nipe ukweli wako
Brother K wa futuhi mbona hujamtajaKigoma boss,Diamond,Alikiba,Kaseja,Rashid juma,Muzamuri Yassini,Chege,Baba levo,Mzee Majuto,Salum kanoni,Said Swed,Mwasiti,Baruani Muhuza,wote hao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kwa kiafrika haina mantiki kabisa, kwahiyo wale wahindi waliozaliwa arusha kabila lao ni wamasaiAnafuata la mahali alipozaliwa
Mh acha uongo, tuletee majina yake matatu tuondoe ubishi.Mpogoro pure
Binti yako atakulipia.Acha kabsa! Tulikuwa hatuna simu naenda kumsubilia pale stand nyamswa kwenye mti mkubwa kabsa umezungushiwa matofali ya kukalia. Nilikuwa nasoma pia na kijana mmoja anaitwa Manyoli walikuwa matajiri sana pande za Salama A njia ya kwenda Serengeti. Baba yake alikuwa anamiliki hotel za orange tree Mwanza na Musoma mjini huyu mzee alifia hotelini kwake Mwanza,kijana wake tulikuwa tulikuwa tunaweka kambi nyamswa hata siku tatu ndo tunaenda shule ni mwendo wa monde na kubanjuka tu Ujana huu jamani khaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amber ruty-Msodoma
Menina- Mgomora
Kigoma. Ni dizaini kama wamanyema vile
🙈🙈🙈 Sokolo! User name yako umenikumbusha viunga vya bukama,kialano,chamtigiti,bisalye,busegwe,ikomwa.
Sio wamasai ni waarusha.Mh acha uongo, tuletee majina yake matatu tuondoe ubishi.
Mchaga utamtujua tu kwa jina
Mkuu maana ya nasaba unaijua?Kabila ni zaidi ya nasaba. Kuna utamaduni, lugha n.k