Makabila ya wasanii na watu maarufu wa Bongo

Makabila ya wasanii na watu maarufu wa Bongo

Acha kabsa! Tulikuwa hatuna simu naenda kumsubilia pale stand nyamswa kwenye mti mkubwa kabsa umezungushiwa matofali ya kukalia. Nilikuwa nasoma pia na kijana mmoja anaitwa Manyoli walikuwa matajiri sana pande za Salama A njia ya kwenda Serengeti. Baba yake alikuwa anamiliki hotel za orange tree Mwanza na Musoma mjini huyu mzee alifia hotelini kwake Mwanza,kijana wake tulikuwa tulikuwa tunaweka kambi nyamswa hata siku tatu ndo tunaenda shule ni mwendo wa monde na kubanjuka tu Ujana huu jamani khaaa.
Binti yako atakulipia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom