Mpogoro wa ilonga+ Aishi Salum Manula but joti kama mndamba hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpogoro wa ilonga+ Aishi Salum Manula but joti kama mndamba hivi
Huyo si kasoma kibala kuna majina mfano wambura,magesa utayakuta kwa wajita wakurya waikizu..... Nafikiri kabila anajua muhusika mwenyeweMuikizu kabila moja na Steven Wassira hilo kabila linapatikana Wilayani Bunda
Si uliniambia wewe..umesahauMpenzi
umepata wapi ujasiri wa kuandika taarifa zisizo sahihi
Sheta nilishawahi kumsikia kwenye mahojiano yeye ni mngoni..labda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakika..Rihanna mmatumbi na Beyonce mmwelaJustin Bieber - mmakonde, japo kalowea Sana USA & Canada
Acha 2danganyane2
idadi ya kabila sijui..ila Kuna waburushi..washirazi..wanyamwezi na wamakonde..ndiyo makabila yaliyojaa huko..uzenji ni Kama UTanzania tu..Hivi Zanzibar kuna kabila ngapi? Au wote "Wazenji"?
Sio muikizu ni kabila moja linaitwa wasizakiKabila moja dogo linapatikana wilayani Bunda wanajulikana kama waikizu nimesoma na ndugu zake Ikizu high school
Nikumbushe
Sindano itakuhusu
Barnaba ni mchaga tena wa romboHapo kwa Barnaba umedanganya
either kwa Makusudi au bila kujua
Tutaonana baadae
Generally hakuna makabila ila kuna lahaja...japo huwa kuna vijikabila ambavyo watu hujinasibisha navyo kutokana na koo za mababu zao au asili ya mababu zao...Na kimsingi wazanzibari asili ni WASHIRAZI na hili ndio kabila pekee linalotokea kwenye vyeti vyetu vya kuzaliwa.Hivi Zanzibar kuna kabila ngapi? Au wote "Wazenji"?
Riyama labda yupo kote kote..ila niliwahi kumsikia akisema kwao ni zenji...Dah nilikuwa najuaga Riyama Ally ni mdigo wa Tanga KUMBE mzenji?
Anyways TID NI Mmakonde . Mama.ake.ndio Mngazija
Kwani wamakonde hawafai kuwa wanyamwezi? Au kabila lipi unahisi ndo limeelekea kuwa wanyamwezi?🤔Jux na unyamwezi wote huo kumbe mmakonde ndo ajiachie kma konde boy tu
Tokea utoto wangu nimekuwa nikijitambulisha kwa kabila la upande wa mama. Siifahamu hata lugha ya kisukuma, nimeenda huko usukumani kama mara 3 tu maishani kwangu, lakini binaenda ujombani na kuielewa lugha yao.Baba yako kwa sababu anazozijui yeye amekupotosha..Mjomba kuwa na nguvu kwa hayo maeneo ni katika ushauri na malezi tu ktk kumsaidia dada yao na haina uhusiano na urithi or something..wewe kuwa msukuma ni haki yako !! .. inaoenekana umekuzwa ku hate upande wa mama... .!! .. na hilo ndio tatizo la wasukuma!..